MWALIMU AWEKWA KWENYE RADA ZA TIMU KUBWA BONGO

MSHAMBULIAJI namba moja kwa utupiaji ndani ya Fountain Gate ni Suleman Mwalimu ambaye katupia mabao 6 msimu wa 2024/25. Taarifa zinaeleza kuwa Mwalimu amewekwa kwenye hesabu za timu kubwa Bongo ambazo zipo ndani ya tatu bora. Ikumbukwe kwamba mbali na kuwa namba moja kwa Fountain Gate ni namba moja kwa wazawa wenye mabao mengi kinara…

Read More

ATEBA KATUPIA TATU KWA PENALTI BONGO

MSHAMBULIAJI kiongozi kwenye safu ya ushambuliaji Leonel Ateba ni mabao matano amefunga kibindoni msimu wa 2024/25 akiwa amecheza mechi 9 na kukomba dakika 673. Kwenye mechi mbili mfululizo Ateba amekuwa kwenye mwendelezo wa kufunga ndani ya ligi na kutwaa tuzo ya mchezaji bora mara baada ya dakika 90 kukamilika. Ikumbukwe kwamba mchezo dhidi ya Pamba…

Read More

CHAMA, AZIZ OUT YANGA

MASTAA wanne Yanga bado hali zao hazijawa imara kutokana na kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu kwenye mechi zao za ushindani zilizopita hivyo kuna hatihati wakakosekana kwenye mchezo wa leo dhidi ya Mashujaa, Uwanja wa KMC, Complex. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo wachezaji ambao bado hawajawa imara kwa ajili ya mechi…

Read More

REAL MADRID YATWAA UBINGWA WA KOMBE LA MABARA

Klabu ya Real Madrid imetwaa ubingwa wa kombe la Mabara kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Pachuca Fc ya Mexico kwenye fainali iliyopigwa katika dimba la Lusail mjini Lusail, Qatar. Ushindi wa Real Madrid unamfanya kocha Carlo Ancelotti kuweka rekodi ya kuwa kocha mwenye Mataji mengi zaidi katika historia ya klabu hiyo akifikisha jumla ya…

Read More

MUTALE AWEKWA BENCHI, AHOUA NAYE

KIUNGO Joshua Mutale ameanza benchi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Wengine waliopo benchi ni Ally Salim, Hamza, Zimbwe Jr, Kagoma, Okejapha, Jean Ahoua, Mukwala, Mashaka na Alexander. Kikosi cha kwanza ni Camara, Kijili, Nouma, Chamou, Che Malone, Mzamiru Yassin akiwa na kitambaa cha unahodha….

Read More

DAKIKA 450 SIMBA IMEKIMBIZA, KAZI NYINGINE LEO

KATIKA mechi tano zilizopita ndani ya Ligi Kuu Bara Simba imefunga jumla ya mabao 10 kwa safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Leonel Ateba, Steven Mukwala wenye mabao mawilimawili, kinara kutoka Simba kwenye upande wa kutupia ni Jean Ahoua mwenye mabao matano na pasi nne za mabao. Timu hiyo imekuwa na mwendelezo mzuri ndani ya…

Read More

SIMBA KUBADILI MBINU MBELE YA KEN GOLD

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema kuwa kuelekea katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold watabadili mbinu kupata matokeo chanya. Simba itawakaribisha Ken Gold, Uwanja wa KMC Complex ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa kwaza unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Timu hiyo metoka kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More