MBAPPE ANACHEKA NDOTO YAKE KUTIMIA
INGIZO jipya ndani ya Real Madrid, Kylian Mbappe ambaye ameletwa duniani Desemba 20 1998 amebainisha kuwa ndoto yake imetimia. Kwa muda mrefu tetesi zilikuwa zinaeleza kuwa mwamba huyo ambaye ana rekodi ya kufunga hat trick katika fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Argentina alikuwa kwenye rada za Real Madrid. Hatimaye dili limejibu kwa nahodha…