
SAUTI:VITA YA UFUNGAJI BORA PHIRI NA MAYELE YAKOLEZWA
VITA ya ufungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara yakolezwa kati ya Moses Phiri na Mayele Fiston
VITA ya ufungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara yakolezwa kati ya Moses Phiri na Mayele Fiston
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa mastaa wake wanne wanatarajia kukosekana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Zalan FC ya Sudan Kusini. Djuma Shaban, Khalid Aucho, Bernard Morrison na Joyce Lomalisa hawa wanatarajia kuwakosa Wasudan hao. Leo Jumamosi, Uwanja wa Mkapa Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa…
STAA wa Manchester City Erling Haaland ametajwa kuwa Mchezaji Bora Premier katika mwezi Agosti, (mwezi uliopita). Mshambuliaji huyo Mnorway ametwaa tuzo hiyo baada ya kuanza vyema maisha yake kwenye Premier, akitimiza majukumu yake kwa kuifanya City kutokufungwa hadi sasa katika ligi hiyo. Wampeta ushindi dhidi ya West Ham United, AFC Bournemouth, Crystal Palace, Nottingham Forest…
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa umempa mkataba wa muda kocha Juma Mgunda na hatma yakeipo kwa kocha mpya ambaye atakuja kukinoa kikosi hicho hivi karibuni. Mgunda amekabidhiwa timu na mabosi wa Simba baada ya kutangaza kuachana na Mserbia, Zoran Maki ambaye alikiongoza kikosi hicho kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na alishinda zote. Maki ametangazwa…
MWAMBA huyu hapa, Nabi achekelea Kisinda kuruhusiwa, amuingiza kikosi cha kwanza, Simba:Tunawashushia Wamalawi full mziki, Inonga ashusha presha
Meridianbet wameunga mkono jitihada za kampeni ya Buku ya Hedhi salama inayoratibiwa na Shufaa Hemed Nasoro. Kampeni hii ilikuwa imelenga kuchangisha michango ya kiwango cha angalau shilingi elfu moja kuwasaidia mabinti ambao wanapata changamoto za kumudu gharama za taulo za kike. Meridianbet, ambao ni wadau wakubwa wa shughuli za kijamii, wanaona umuhimu wa hedhi salama…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wanasumbuliwa na tatizo la uchovu kutokana na kucheza mechi mfululizo lakini apo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zalan FC unaotarajiwa kuchezwa kesho, Uwanja wa Mkapa
TAZAMA mwanzo mwisho namna Yanga wanavyoishi kishua
KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika,kati ya Yanga v Zalan FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa mastaa wa Yanga wanatarajiwa kuukosa mchezo huo ikiwa ni pamoja na Djuma, Bernard Morrison na Lomalisa
HASSAN Nassoro kiungo wa Mbeya City ni miongoni mwa wazawa wenye uwezo wa kupiga mipira mirefu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Kiungo huyo mwenye rasta kichwani ni ingizo jipya ndani ya Mbeya City akitokea kikosi cha Dodoma Jiji. Alikuwa miongoni mwa nyota walioshuhudia timu hiyo ikipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Singida Big…
DStv wanaenedelea kuwa mstari wa mbele kuwaletea wapenzi wa soka mechi hizi na tiketi yako ni dikoda tu! Kwa ofa yao kabambe ya TSH 69,000 tu unaweza kupata DStv dikoda yako safi, pamoja na kifurushi bure cha Shangwe! Baada ya kipindi cha maombolezo barani Uingereza, ligi kuu ya soka PREMIER LEAGUE inarudi wikiendi hii, na…
MOHAMED Hussein,nahodha msaidizi wa Simba amesema kuwa mashabiki wa timu hiyo wanapaswa kuendelea kuwa pamoja nao kwenye mechi zote wanazocheza ili kuwapa nguvu ya kupambana. Simba inapambana kusaka taji la ligi ambalo lipo mikononi mwa Yanga ililotwaa kwa msimu wa 2021/22 bila kupoteza kwenye mechi 30 na ilikusanya pointi 74. Imerejea Dar kutoka Mbeya ilipokuwa…
MZAWA Reliats Lusajo ni mtu wa kazikazi kwenye kikosi cha timu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Bara ujue umeona pointi kutokana na nyota yake kuwa kali kwenye miguu yake. Lusajo ni namba moja kwa kutupia akiwa na mabao manne ambayo amefunga kwenye mechi tatu mfululizo alizocheza ndani ya kikosi cha Namungo. Mchezo wa kwanza…
MSHAMBULIAJI wa Simba Moses Phiri amemtangazia vita mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele na wote kwenye ligi wametupia mabao matatumatatu
CLATOUS Chama, kiungo wa Simba pamoja na wachezaji wengine ikiwa ni nahodha John Bocco, Moses Phiri na Aishi Manula wamepewa angalizo kuelekea mchezo wao dhidi ya Nyasa Big Bullets wa marudio. Simba inatarajiwa kumenyana na Big Bullets Jumapili ikiwa inakumbuka imetoka kushinda mabao 2-0 ugenini na mabao yakifungwa na Phiri pamoja na Bocco. Meneja wa…
UWANJA wa Zimbru kwenye mchezo wa Europa kwa kundi E ni mabao mawili Sheriff walishuhudia yakizama nyavuni huku watupiaji wakiwa ni Jadon Sancho dakika ya 17 na Cristiano Ronaldo dakika ya 39. Mabao ya nyota hao yaliwapa furaha mashabiki wa Manchester United ambao walikuwa wakihitaji kuona timu inashinda. Bao la Ronaldo lilipachikwa kwa mkwaju wa…
MASTAA wa Simba tayari wamereja Dar wakitokea Mbeya walipokuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons na ulikuwa mchezo wa kwanza kwa Kocha Mkuu, Juma Mgunda kukiongoza kikosi hicho kwenye mchezo wa ligi