CHEZA KIBINGWA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET! CHEZA USHINDE NA DEUCES WILD POKER

Usisubiri kuhadithiwa! Jiunge na Meridianbet sasa ili uweze kupata bonasi na promosheni kibao katika michezo mingi. Kila wiki, Meridianbetinakuletea bonasi na promosheni kabambe kabisa. Wiki hii, Meridianbet inakuletea mchezo bomba na wa kipekee uitwao Deuces Wild Poker uliotengenezwa na Habanero. Ukiingia katika Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, utakuta mchezo wa Deuces Wild Poker ambao ni…

Read More

YANGA YAIBAMIZA COASTAL UNION,DUA KWA NKANE

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union. Mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa, dakika 90 Yanga ilikuwa kwenye umiliki wa mpira jambo lililoipa Coastal Union kutoboa ngome iliyokuwa chini ya nahodha Bakari Mwamnyeto. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia mabao mawili na bao…

Read More

SIMBA KAMILI KUIVAA KAGERA SUGAR KAITABA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema mchezo wao wa kesho dhidi ya Kagera Sugar maandalizi yake yapo sawa kinachosubiriwa ni dakika 90. Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Geita Gold Uwanja wa Kirumba, Mwanza. Inakutana na Kagera Sugar ambayo imetoka kulazimisha sare ya kufungana mabao…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA

RUVU Shooting chini ya Kocha Mkuu, Mbwana Makata ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru katika msako wa point tatu muhimu. Mchezo uliopita Ruvu Shooting ilipoteza pointi tatu mbele ya Ihefu ambapo ilifungwa mabao 2-0 lile moja ni mali ya…

Read More

RASMI KOCHA COASTAL UNION ABWAGA MANYANGA

RASMI uongozi wa Coastal Union umetangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Yusuf Chipo ambaye alikuwa ni kocha mkuu wa timu hiyo. Taarifa rasmi iliyotolewa na Coastal Union leo Desemba 20,2022 imeeleza kuwa Desemba 19, 2022 walifikia makubaliano ya kusitisha mkataba huo kwa makubaliano ya pande zote mbili. Kwa sasa timu hiyo ambayo ina mchezo…

Read More

MKUDE NDANI YA BUKOBA KAZI IPO

 LEGEND Jonas Mkude ni miongoni mwa nyota wa kikosi cha Simba ambao wapo kwenye msafara uliowea kambi Bukoba. Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba. Ikumbukwe kwamba Simba msimu wa 2021/22 ilinyooshwa bao 1-0 na Kagera Sugar katika mchezo uliochezwa…

Read More

MZEE WA SPIDI 120 HATIHATI KUWAVAA COASTAL UNION

MZEE wa spidi 120 Tuisila Kisinda kuna hatihati ya kuanza kwenye mchezo wa kesho kutokana na kutokuwa fiti. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kesho Desemba 20,2022 ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Coastal Union. Kwa mujibu wa Cedrick Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wachezaji wote wapo tayari kwa mchezo…

Read More

MESSI KABEBA TAJI, MBAPPE KAWEKA REKODI

NYOTA Lionel Messi aliiongoza Argentina kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa kuwashinda mabingwa watetezi Ufaransa kwa mikwaju ya penalti 4-2 baada ya sare ya 3-3 ndani ya dakika 120. Katika mchezo huo ambao utaingia kwenye historia ya kuwa miongoni mwa mchezo mkubwa wa fainali kupata kuchezwa kwa vigogo hao wawili Uwanja wa Lusail Iconic….

Read More

KOCHA COASTAL UNION MAMBO MAGUMU

SEPTEMBA 12,2022 Katibu Mkuu wa Coastal Union, Omar A.S Ayoub alimtambulisha kocha Yusuf Chipo kuwa kocha mkuu wa timu hiyo. Chipo alisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuinoa timu hiyo ambapo alichukua mikoba ya Juma Mgunda anayeinoa Simba. Taarifa zinaeleza kuwa kocha huyo kwa sasa yupo kwenye mazungumzo na mabosi wa timu hiyo ili aweze…

Read More

CHAMA CHA WASIOONA TANZANIA WANEEMEKA NA MSAADA KUTOKA MERIDIANBET

Chama cha Wasioona Tanzania (TLB) kwa furaha kubwa wamepokea msaada wa fimbo za kutembelea “White canes” kutoka Meridianbet Tanzania ikiwa ni moja ya utamaduni wa kampuni hiyo kuyashika mkono makundi yenye mahitaji maalum pamoja na jamii kwa ujumla kwa kutoa misaada mbalimbali. Akitoa ushuhuda wake akiwa haamini kile kilichotokea, Katibu wa Chama hicho ndugu Iddi…

Read More