
MESSI AWATULIZA CROATIA ARGENTINA WAKITINGA FAINALI
NAHODHA wa Timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi amefanikiwa kuandika rekodi nyingine kufika na timu hiyo mara mbili kwenye hatua ya fainali ya Kombe la Dunia. Ushindi wa mabao 3-0 waliopata mbele ya Croatia kwenye mchezo wa nusu fainali ya kwanza iliyochezwa Uwanja wa Lusail Iconic umewapa tiketi hiyo Argentina. Mastaa wawili muungano wao…