YANGA SC YAMTAJA SILLAH NA FEI

NYOTA wawili kutoka Azam FC ambao wanatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga SC wametajwa na bosi wa kutoka mitaa ya Jangwani. Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji ambaye ni kinara kwa utengenezaji pasi za mwisho akiwa nazo 13 na Giblil Sillah mwenye pasi mbili za mabao. Mbali na pasi mbili za mabao alizonazo Sillah…

Read More

LAMINE YAMAL AONGEZA MKATABA BARCELONA HADI 2031

Lamine Yamal amesaini mkataba utakaomuwezesha kuendelea kubakia na FC Barcelona hadi mwaka 2030, klabu hiyo ilitangaza Jumanne , Maelezo ya mkataba huo – ambao ulitiwa saini katika ofisi za klabu mbele ya rais Joan Laporta na mkurugenzi wa michezo Deco – hayakutolewa na Barca, lakini ripoti nyingi kutoka kwa vyombo vya habari vya Uhispania zinasema…

Read More

Simba SC 1-0 Singida Black Stars, Mei 28 2025

Simba SC imevuna pointi tatu kwenye mchezo wa ligi mzunguko wa pili dhidi ya Singida Black Stars, Mei 28 2025, Uwanja wa KMC Complex. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba SC 1-0 Singida Black Stars ikiwa ni mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili. Bao pekee la ushindi limepachikwa na Steven Mukwala…

Read More

SIMBA SC vs SINGIDA BLACK STARS VITA YA POINTI TATU

BENCHI la ufundi la Simba SC limebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars wanatambua utakuwa ni mgumu kutokana na uimara wa wapinzani wao ila wapo tayari kupambana kupata pointi tatu muhimu. Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids imetoka kucheza mechi mbili za fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane…

Read More

GATES OF OLYMPIA SASA LIVE KWENYE MERIDIANBET – HII SI KAWAIDA, NI FURSA YA KISHINDO!

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania, imezindua rasmi mchezo mpya wa kipekee unaoitwa GATES OF OLYMPIA, mchezo ambao umewasha moto Ulaya na sasa umefika Tanzania kupitia jukwaa lako pendwa, Meridianbet! ⚡ NI NANI ATAKAYEPITA KATIKA MILANGO YA OLYMPIA NA KUSHINDA MAMILIONI? Mchezo huu unakupeleka katika ulimwengu wa Miungu wa Kigiriki ambapo mungu wa…

Read More

KIPA SIMBA SC ATAJWA AZAM FC

KIPA wa Simba SC, Aishi Manula inaelezwa kuwa yupo kwenye rada za mabosi wa Azam FC ambao wanahitaji saini yake. Ipo wazi kwamba Manula kwa msimu wa 2024/25 hajawa chaguo la kwanza ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids. Katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara hajaanza langoni mchezo hata mmoja na kwenye…

Read More