
HAALAND NI MVUNJAVUNJA REKODI KIMATAIFA
Premier League ndio ligi yenye ushindani mkubwa duniani. Ubora wa ulinzi, ushambuliaji na karibu kila nyanja ya soka iko katika kiwango cha juu zaidi. Baadhi ya wachezaji hufanikiwa kuvuka viwango hivyo na kujikuta wakihusika katika mabao mengi (mabao&asisti). Leo tunaangalia wachezaji 10 bora wa Premier waliotoa mchango wa mabao mengi zaidi mwaka 2023. Takwimu hazihusishi…