
MSIMU UNAANZA, WAAMUZI MSIJIFICHE KWENYE MAKOSA YA KIBINADAMU
KUNA rundo la lawama wamekuwa wakiangushiwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na watu wazembe ambao hufanya mambo kwa maslahi yao binafsi. Waamuzi wamekuwa kati ya wale wanaosababisha TFF kuangushiwa lawama nyingi sababu tu ya uzembe wanaofanya. Najua, imekuwa si kawaida kuwaona wadau wakiwasifia TFF kutokana na utendaji mzuri wa waamuzi, ni hadi pale wanapoharibu…