NDOYE APEWA MKATABA AZAM FC

PAPE Malickou Ndoye nyota wa Azam FC ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kubaki ndani ya timu hiyo. Nyota huyo raia wa Senegal amekuwa na kazi kubwa katika timu hiyo ambayo imekamilisha ligi ikiwa nafasi ya tatu. Taarifa rasmi kutoka ndani ya Azam FC imeeleza kuwa nyota huyo ambaye ni beki kitasa bado yupo ndani ya…

Read More

MATESO LAZIMA YAGOTE MWISHO, MWANZO MPYA

MATESO makubwa ambayo yanatokea kwa viongozi kushindwa kutimiza ahadi zao yanawatesa mpaka mashabiki kutokana na matokeo kuwa mabaya. Kwa yale ambayo yamepita msimu wa 2022/23 ni muda wa kufanyia kazi ili kupunguza mateso kwa mashabiki pamoja na wachezaji katika kutimiza majukumu yao. Tunaona Mashujaa wamepanda wakiwaondoa Mbeya City kwenye mchezo wa mtoano lakini kuna baadhi…

Read More

KIUNGO HUYU APEWA DILI LA MIAKA MIWILI YANGA

MUDA wowote Yanga watatangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’. Kiungo huyo alijiunga na Yanga katika msimu uliopita akitokea Azam FC ambayo ilivunja naye mkataba. Yanga imepanga kuiboresha safu hiyo ya kiungo kwa ajili ya msimu ujao ambao wanakwenda kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika. Taarifa zinaeleza kuwa Yanga wamefikia…

Read More

SIMBA YAMFUATA MWAMBA HUYU

KLABU ya Simba imerudi tena ndani ya klabu ya Cotton Sports FC ya nchini Cameroon kwa ajili ya kuipata saini ya beki wa kati Che Fondoh Molane. Beki huyo ni kati ya wachezaji waliokuwa katika mipango ya kusajiliwa na Simba katika msimu huu katika kuiboresha safu ya ulinzi. Simba hivi karibuni ilitangaza kuachana na beki…

Read More

CV YA KOCHA MPYA YANGA IPO NAMNA HII

YANGA SC, imemtangaza Miguel Ángel Gamondi, kuwa kocha mpya wa timu hiyo akichukua mikoba ya Mtunisia, Nasreddine Nabi ambaye waliachana naye hivi karibuni baada ya mkataba wake kufikia tamati. Gamondi raia wa Argentina, anajiunga na Yanga akiwa mzoefu wa kufundisha soka Afrika kwa zaidi ya miaka 20, huku muda wake mwingi akiutumia kufundisha timu za…

Read More

KIPA SIMBA SAFARI YAKE SINGIDA FOUNTAIN GATE

BAADA ya mkataba wake kugota mwisho ndani ya kikosi cha Simba kipa Beno Kakolanya ameziingiza vitani Azam FC na Singida Big Stars ambayo kwa sasa inaitwa Singida Fountain Gate. Ni Singida Fountain Gate yenye maskani yake Singida hii inapewa nafasi kubwa kumnasa. Kipa huyo alikuwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania kilichopata ushindi…

Read More

ISHU YA MORRISON KUIBUKIA AZAM IPO HIVI

IMEKUWA ikitajwa kuwa mabosi wa Azam FC wapo kwenye mpango wa kuinasa saini ya Bernard Morrison. BM aliyekuwa kiungo wa Yanga raia wa Ghana kwa sasa yupo huru jambo lililowafanya viongozi wa klabu hiyo kuibuka na kuweka wazi kuwa nyota huyo hayuko kwenye mipango yao. Morrison alitangazwa kutokuwa kwenye mipango ya Yanga kwa msimu ujao…

Read More

LUKAKU AGOMEA OFA

STRAIKA Romelu Lukaku amegomea kujiunga na klabu za Saudi Arabia ambazo zimekuwa zikimwaga fedha nyingi kwa ajil ya kuzinasa saini za mastaa mbalimbali wa Ulaya. Lukaku ameongeza kuwa anataka kuendelea kubakia Ulaya kwa kuichezea timu ya Inter Milan ambayo yupo kwa mkopo akitokea Chelsea ambayo ilimsajili kutokea klabuni hapo. Klabu za Saudi Arabia zilikuwa zinamtaka…

Read More

MUDA UMEWATENGANISHA SIMBA NA MKUDE

AMEANDIKA Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba kuhusu Jonas Mkude ambaye hatakuwa katika kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24 namna hii:- Ameondoka mtu tunaempenda kweli, ameondoka mtoto wetu, mtoto wa nyumbani kwetu. Kwa miaka ya hivi karibuni hakuna mchezaji tumewahi kumpenda kama Jonas Mkude na tutaendelea kumpenda. Wakati Simba ina njaa,…

Read More

MAYELE AIBUKA ATOA KAULI HII

MSHAMBULIAJI wa Yanga Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kutamka kuwa tuzo tano alizozishinda msimu uliopita wa 2022/23 zimethibitisha ubora wake, huku akiwashukuru viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu hiyo. Mshambuliaji huyo wa Yanga yupo Dar kwa sasa baada ya kuwa DR Congo alipokwenda katika majukumu ya timu ya taifa hilo, alikuwa kwenye kikosi kilichocheza dhidi…

Read More

MKUDE AFUNGUKA BAADA YA KUACHWA

MARA baada ya kutangazwa rasmi kutokuwa sehemu ya Simba kwa msimu ujao, aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Jonas Mkude amefunguka kuwa anawashukuru Simba kwa sapoti waliyompa katika kipindi chote cha maisha yake na kuwatakia kila la kheri. Mkude alitangazwa rasmi kutokuwa sehemu ya kikosi cha Simba kwa msimu ujao juzi Alhamisi baada ya kumaliza mkataba…

Read More

YANGA IMETENGENEZA MKWANJA MREFU, MIPANGO KAZI

Rais wa Yanga Eng. Hersi Said ameweka wazi kuwa Yanga imetengeneza zaidi ya bilioni 7 kutokana na wadhamini mbalimbali pamoja na kuiheshimisha Tanzania kimataifa. Ni Juni 24 kwenye mkutano wa Wanachama wa Yanga aliweka wazi hayo kuhusu mafanikio ambayo wamefikia pamoja na muonekano wa uwanja mpya wa Yanga utakavyokuwa. Hiyo ni kwa msimu wa 2022/23…

Read More