


Weka Jamvi na Utusue na Meridianbet Leo
Jumamosi za leo ni za kibabe sana ambapo mechi kibao zitapigwa katika ligi mbalimbali na tayari meridianbet wamekuwekea ODDS za maana na machaguo mengi. Suka mkeka wako wa nguvu uondoke na maokoto ya maana leo. Ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1, baada ya kuendelea hapo jana, leo hii pia kuna mechi zitapigwa ambapo Stade Reims…

BALEKE, CHAMA KWENYE KAZI NYINGINE
CLATOUS Chama, Jean Baleke na Saido Ntibanzokiza baada ya kutimiza majukumu yao kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali wakishuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Simba 5-1 Ihefu leo wana kazi nyingine kusaka ushindi. Mchezo wa leo ni wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate ikiwa ni mzunguko wa pili ule wa…

SIMBA:TUTAJARIBU KUSHINDA LEO KIMATAIFA
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa leo watajaribu kushinda mbele ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. Saa 1:00 usiku, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ambao ni Simba wana kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Orlando Pirates. Huu ni mchezo wa hatua ya robo fainali ukiwa ni wa pili baada…

KIUNGO YANGA AINGIA ANGA ZA AZAM FC
IMEELEZWA kuwa kiungo wa kazi aliyewahi kucheza ndani ya Yanga, Mukoko Tonombe yupo kwenye rada za mabosi Azam FC ili kuweza kuinasa saini yake. Nyota huyo ni miongoni mwa wachezaji ambao waliweza kufanya vizuri ndani ya Yanga msimu uliopia wakati timu hiyo ilipomaliza ikiwa nafasi ya pili. Pia alikuwa kwenye kikosi ambacho kiliweza kutinga hatua…

KIMATAIFA:SIMBA 1-0 ASEC MIMOSAS
BAO la Pape Sakho dakika ya 12 linawafanya Simba kuelekea katika vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa mbele. Ni mchezo wa kwanza hataua ya makundi ambapo ni msako wa pointi tatu muhimu. Itabidi wajilaumu wenyewe ndani ya dakika 45 kwa kukosa nafasi tatu za wazi ambazo wametengeneza kwa kushindwa kuzibadili kuwa mabao. Nafasi moja ilikoswa na…

TAMBUA NAMNA SIMBA MPYA INAVYOSUKWA NDANI YA SPOTI XTRA
SIMBA mpya inasukwa na unaambiwa kuna mastaa 14 wafyekwa ndani ya Yanga, jipatie gazeti la Spoti Xtra, Alhamisi.

MWANZO MZURI NGAO YA JAMII PICHA KAMILI YA USHINDANI
MWANZO mzuri kwenye Ngao ya Jamii utatoa picha nzuri kwa msimu unaotarajiwa kuanza hivi karibuni kwenye Ligi Kuu Bara. Kila mmoja anajukumu la kutimiza majukumu yake kwa wakati kuanzia benchi la ufundi, wachezaji, waamuzi na mashabiki bila kukata tamaa. Ni Yanga ambao walitwaa taji hilo mbele ya watani zao wa jadi Simba kwa ushindi wa…

HII HAPA REKODI TAMU ILIYOWEKWA NA JEMBE
NI Saleh Ally Mhariri, Mtendaji wa Global Publishers na mwandishi mahiri wa habari za michezo, ameweka rekodi ya kuwa mwandishi wa Habari wa kwanza Tanzania kuchaguliwa na FIFA kupiga kura ya kumchagua mchezaji bora wa FIFA wa Dunia. Saleh Jembe amechaguliwa na FIFA kwa mara ya tatu wiki iliyopita, katika kitengo cha waandishi wa habari….

VIDEO: JEMBE:SIMBA WALIKUWA NA NAFASI YA KUSHINDA DHIDI YA YANGA
MKONGWE kwenye masuala ya uandishi wa Habari Saleh Jembe amesema kuwa wachezaji wa Simba walikuwa na nafasi ya kushinda huku mchezaji Okra akiwa ni mmoja ambaye amewanyima nafasi ya ushindi Oktoba 23,2022 na kufanya sare ya kufungana bao 1-1.

INONGA, ZIMBWE,KAPOMBE WAPEWA ZIGO ZITO SIMBA
INONGA, Zimbwe, Kapombe wapewa zigo zito Simba

KIBU DENNIS, MPANZU, AHOUA, MATIZI YALIYOMUONDOA MUARABU
NYOTA wa Simba, Kibu Dennis, Ellie Mpanzu, Jean Ahoua, Fabrince Ngoma siku moja kabla ya kuwakabili Waarabu wa Misri, Al Masry walipigishwa matizi na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids na mwisho siku ya mchezo Aprili 9 2025 walikata tiketi kutinga hatua ya nusu fainali kwa ushindi wa penati 4-1, dakika 90…

AFRIKA INATAMBUA YANGA INA REKODI YAKE CAF
AFRIKA iatambua kwamba Yanga imeweka rekodi yake katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ambaye kete zake na ushindani wa wachezaji kutimiza majukumu yao kwa umakini yamewafikisha hapo walipo.

MABINGWA WA BONGO WAIVUTIA KASI KAIZER CHIEFS
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2023/24 Yanga wapo tayari kuwakabili Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa Toyota Cup. Yanga wapo katika viwanja vya St Stithians, Johannesburg, Afrika Kusini chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ambaye ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuinoa timu hiyo kwenye mechi za ushidani. Julai 28 2024…

MMELIONA SHANGWE? BALEKE, PHIRI PASUA KICHWA SIMBA
MMELIONA shangwe? Baleke, Phiri wampasua kichwa Mbrazil Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi.

VIDEO:MASHABIKI YANGA WAGOMEA SIMBA KUMSAJILI MANZOKI
MASHABIKI Yanga waigomea Simba kumsajili Manzoki

CHAMA MIKONONI MWA BARBARA SIMBA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa, ishu nzima ya usajili wa majembe mapya kwenye kikosi cha timu hiyoakiwemo kiungo Mzambia, Clatous Chama kwa sasa inashughulikiwa na Ofisa Mtendaji Mkuu Barbara Gonzalez.Chama aliuzwa na Simba miezi minne iliyopita na kujiunga na RS Berkane ya Morocco akisaini mkataba wamiaka mitatu unaotarajiwa kukamilika 2024. Akizungumza na Spoti Xtra,…