KIKOSI CHA SIMBA SC VS SINGIDA BLACK STARS NUSU FAINALI

MEI 31 2025 Simba SC inashuka Uwanja wa Tanzanite Kwaraa kumenyana na Singida Black Stars, mwamuzi ni Ahmed Arajiga, kikosi kipo namna hii hatua ya nusu fainali:- Moussa Camara, Davids Kameta, Valentin Nouma, Hamza, Che Malon, Yusuph Kagoma, Kibu Denis, Fabrice Ngoma, Steven Mukwala, Jean Ahoua, Joshua Mutale. Wachezaji wa akiba ni Ally Salim, Hussein,…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SINGIDA BLACK STARS VS SIMBA

HIKI hapa kikosi cha Singida Black Stars dhidi ya Simba SC nusu fainali CRDB Federation Cup:-  Amos Obasogie  Ande Cyrille Gadiel Michael  Frank Assinki  Kennedy Juma  Mohamed Damaro  Edmund John  Morice Chukwu  Jonathan Sowah  Arthur Bada  Emmanuel Keyekeh Akiba Metacha Mnata Imoro Pokou Tchakei Trabi Adebayo Rupia Athuman Makoye Nashon Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi…

Read More

YANGA SC YAMTAJA SILLAH NA FEI

NYOTA wawili kutoka Azam FC ambao wanatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga SC wametajwa na bosi wa kutoka mitaa ya Jangwani. Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji ambaye ni kinara kwa utengenezaji pasi za mwisho akiwa nazo 13 na Giblil Sillah mwenye pasi mbili za mabao. Mbali na pasi mbili za mabao alizonazo Sillah…

Read More

Simba SC 1-0 Singida Black Stars, Mei 28 2025

Simba SC imevuna pointi tatu kwenye mchezo wa ligi mzunguko wa pili dhidi ya Singida Black Stars, Mei 28 2025, Uwanja wa KMC Complex. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba SC 1-0 Singida Black Stars ikiwa ni mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili. Bao pekee la ushindi limepachikwa na Steven Mukwala…

Read More

SIMBA SC vs SINGIDA BLACK STARS VITA YA POINTI TATU

BENCHI la ufundi la Simba SC limebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars wanatambua utakuwa ni mgumu kutokana na uimara wa wapinzani wao ila wapo tayari kupambana kupata pointi tatu muhimu. Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids imetoka kucheza mechi mbili za fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane…

Read More