
JEAN AHOUA YUPO NDANI YA SIMBA SC ISHU YAKE BADO
KIUNGO mshambuliaji wa Simba SC, Jean Ahoua bado yupo ndani ya kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Taarifa zinaeleza kuwa kuna timu zaidi ya mbili ambazo zinahitaji saini yake lakini hawajafikia makubaliano mazuri kwa sasa kutokana na mchezaji huyo kuwa na mkataba wa mwaka mmoja. Timu ambazo…