KISA MEDEAMA, GAMONDI ATOA MAAGIZO MAZITO YANGA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote kuanzia kwenye safu ya ushambuliaji na ulinzi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, safu ya ushambuliaji ya Yanga ilitupia mabao…

Read More

SIMBA YAWATULIZA WAARABU KWA MKAPA

MCHEZO wa nne kwa Simba katika hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika wanavuna pointi tatu ubao wa Uwanja wa Mkapa uliposoma Simba 2-0 Wydad Casablanca. Katika mchezo wa leo Desemba 19 mabao yote ya Simba yalifungwa kipindi cha kwanza cha mchezo ndani ya dakika 45 na kuvuna pointi tatu wakiwa nyumbani. Ni Willy Onana alipachika…

Read More

SIMBA 2-0 WYDAD LIGI YA MABINGWA AFRIKA

DAKIKA 45 za mwanzo Simba wanakwenda kwenye vyumba vya mazungumzo wakiwa wanaongoza kwa mabao 2-0 Wydad Casablanca ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mtupiaji wa mabao yote mawili ni kiungo mshambuliaji Willy Onana ambaye kafunga mabao hayo ndani ya dakika mbili. Alianza dakika ya 36 na lile la pili ilikuwa dakika ya 38…

Read More

WASHIKA BUNDUKI ARSENAL WAPEWA UBINGWA EPL

BEKI wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, amesema Arsenal ndiyo timu pekee inayoweza kutoa ushindani kwa Manchester City katika kuwania ubingwa wa Premier League msimu huu. Kauli ya Muingereza huyo imekuja kufuatia Liverpool kushindwa kuifunga Manchester Utd katika mchezo wa Premier uliochezwa Anfield, juzi Jumapili. Arsenal wamerejea kileleni mwa msimamo wa Premier, baada ya…

Read More

AMEFUMUA KIKOSI KISA WAARABU, CHAMA ASABABISHA MAJANGA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca, Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amefumua kikosi hicho ambapo wachezaji wawili watakuwa jukwaani ikiwa ni Sadio Kanoute na Saido Ntibanzokiza wanaoutumikia adhabu ya kati tatu za njano. Mchezo wa leo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuwa na ushindani kwa timu zote…

Read More

TABORA UNITED YAPELEKA ONYO JANGWANI

UONGOZI wa Tabora United zamani ikijulikana kama Kitayose umesema kuwa kampeni ya kuzisaka alama tatu dhidi ya Yanga imeanza, huku wakiamini kuwa kuanza maandalizi mapema ndiyo njia pekee yakutimiza malengo waliyojiwekea katika mchezo huo. Pendo Lema ambaye ni Afisa habari wa klabu ya Tabora United amesema kuwa kwa sasa hawana muda wakupoteza, na tayari kikosi…

Read More

SIMBA YATAJA VIGEZO VYA KUWAMALIZA WAARABU KWA MKAPA

WAKIWA na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya Wydad Casablanca leo Jumanne, kocha mkuu wa Simba, Abdelhack Benchikha amefumua kikosi na kubainisha mambo saba yatakayoipa ushindi timu hiyo. Ipo wazi kwamba Wydad Casablanca nao hesabu zao kubwa ni kupata ushindi hivyo zitakuwa ni dakika 90 za kazi kubwa,…

Read More

MAJEMBE HAYA YA KAZI OUT SIMBA

VIUNGO wawili wa kazi ndani ya kikosi cha Simba watakuwa mashuhuda Uwanja wa Mkapa Simba ikisaka matokeo kwenye mchezo dhidi ya Wydad ambao ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya makundi. Ni Sadio Kanoute kiungo mgumu aliyepata kadi tatu kwenye mechi tatu mfululizo alianza mchezo dhidi ya ASEC Mimosas Uwanja wa Mkapa ngoma ikawa…

Read More

KIUNGO WA KAZI YANGA AJA NA LINGINE

MAXI Nzengeli kiungo mshambuliaji wa Yanga ameweka wazi kuwa yeye sio mtu wa manenomaneno mengi bali atafanya kazi kwa vitendo. Kiungo huyo ndani ya Ligi Kuu Bara ni namba mbili kwa utupiaji ndani ya kikosi cha Yanga akiwa katupia mabao 7 kinara ni Aziz KI mwenye mabao 9 kibindoni. Desemba 20 Yanga inatarajiwa kuwa na…

Read More

MTIBWA SUGAR HAWANA BAHATI AZAM COMPLEX

KUTOKA Morogoro, Klabu ya Mtibwa Sugar haina bahati na Uwanja wa Azam Complex kwa msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kukomba pointi ndani ya dakika 180. Mtibwa Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila ni mechi mbili tofauti ilicheza ikiwa ugeni  ilikuwa ni Novemba 24, 2023 ubao uliposoma Azam FC 5-0 Mtibwa Sugar. Dakika 180…

Read More

CHAMA ASABABISHA MAJANGA KWA WAARABU

KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amesababisha majanga kwa Waarabu wa Morocco Wydad Casablanca kwa kuwa chanzo cha nyota wao kuukosa mchezo wa marudiano Dar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Desemba 19 saa 10:00 jioni. Simba iliyo kundi B mwendo haijawa kwenye mwendo bora kutokana na kushindwa kupata ushindi katika mechi tatu za hatua…

Read More

MAKIPA WA KIGENI BAADAYE WATAKUWA TATIZO KWETU

MOJA ya timu za taifa zilizofanya vizuri sana kimataifa ni Misri na rekodi zao zimekuwa nzuri huku wakiendelea kuwatumia wachezaji wa nyumbani zaidi. Misri wamekuwa na wachezaji wengi wa nyumbani ambao wamekuwa wakiiwakilisha timu yao ya taifa vizuri. Bila ya ubishi ni kwamba hapa kuna uwekezaji mzuri zaidi au wa kipindi kirefu ambao umewafanya Misri…

Read More