
MTIBWA SUGAR SIO KINYONGE YAFANYA KWELI
KUTOKA Morogoro, Mtibwa Sugar baada ya kucheza mechi 26 wamekusanya alama 20 msimu wa 2023/24 wakiwa nafasi ya 16. Zuber Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amebainisha kuwa watafanya kazi kubwa kwa ajili ya kupata matokeo kwenye mechi ambazo watacheza. “Tuna kazi kubwa kwenye mechi zetu ambazo tunacheza kikubwa ni kutumia nafasi ambazo tunapata na…