
SIMBA SC KWENYE KIBARUA KINGINE TENA
KITUO kinachofuata kwa Simba SC ndani ya Ligi Kuu Bara ni mchezo dhidi ya KenGold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ikiwa ni mzunguko wa pili. Simba SC mchezo wake wa mwisho kwenge ligi ilikuwa dhidi ha Singida Black Stars uliochezwa Uwanja wa KMC Complex na mwisho ubao ulisoma Simba SC 1-0 Singida Black…