Ratiba ya mechi za kimataifa Simba SC, Yanga SC, SBS na Azam FC, muda na Azam TV

WIKIENDI itakuwa bize kutokana na kazi kubwa kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa kusaka ushindi kwenye mechi ambazo watashuka uwanjani. Hapa tunakuletea ratiba za mechi hizo na muda utakaochezwa kwa saa za Afrika Mashariki namna hii:- Ligi ya Mabingwa Afrika Jumamosi, Yanga SC watakuwa Uwanja wa Bingu nchini Malawi dhidi ya Silver Striker,…

Read More

BALAA LA FEI NI ZITO KINOMANOMA

BALAA la kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ndani ya ligi namba nne kwa ubora ni nzito kinomanoma kutokana na mwendelezo wake kuwa imara katika upande wa pasi za mwisho msimu wa 2024/25. Timu hiyo kwenye msimamo ipo nafasi ya tatu baada ya kucheza mechi 22 ikiwa imekusanya jumla ya pointi 45 na safu ya…

Read More

YANGA YAZIPIGIA HESABU TATU ZA KMC

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya KMC dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex benchi la ufundi la Yanga limebainisha kuwa hesabu kubwa ni kupata pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Februari 14 2025. Kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amesema kuwa wamejeandaa kiakili ili kuhakikisha kwamba wanapata…

Read More