FOUNTAIN GATE:MWENDO WA CHAMPIONSHIP ACHA TU
KIUNGO wa Fountain Gate,Daud Rashid ameweka wazi kuwa moto wa Championship sio wa kitoto kwa kuwa kila timu inapambana kusaka pointi tatu uwanjani. Kwenye msimamo timu hiyo ipo nafasi ya 6 baada ya kucheza mechi 7 kibindoni ina pointi 12 huku vinara wakiwa ni DTB FC wenye pointi 17. Rashid amesema kuwa hakuna timu ya…