MAYELE:BADO DENI LA KUIFUNGA SIMBA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele, amesema kuwa deni kubwa alilobakiza kwa sasa ni kuifunga Simba pekee, mara baada ya kumalizana na Namungo kama ambavyo aliwaahidi mashabiki. Mayele Jumamosi alifanikiwa kuifungia Yanga bao moja katika ushindi wa mabao 2-1 walioupata dhidi ya Namungo FC kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar.  Mara baada ya kufanikiwa kuifungia Yanga bao…

Read More

HIKI NDICHO KAPOMBE ALIMUAMBIA KIPA WA MAHARAMIA

SHOMARI Kapombe beki wa kazi ngumu kimataifa mwenye mabao mawili na pasi mbili amesema kuwa alimwambia kipa wa Orlando Pirates, ‘Maharamia’ ninakufanga na kweli alimfunga. Kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali uliochezwa nchini Afrika Kusini wakati wa mapigo ya penalti baada ya jumla ya mabao ya kufungana kwa Simba kuwa 1-1, kipa wa Orlando…

Read More

SIMBA WAPO TAYARI KWA AJILI YA MCHEZO DHIDI YA YANGA

AHMED Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari ndani ya Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao ujao dhidi ya Yanga. Aprili 30,2022  Simba itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kiungo huyo amesema kuwa wanatambua mchezo utakuwa na ushindani mkubwa lakini wanaamini itakuwa kazi…

Read More

HASSAN BUMBULI:LENGO LETU NI UBINGWA

HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa lengo lao ni kutwaa ubingwa wa ligi msimu huu na kuelekea kwenye mchezo dhidi ya Simba wanaamini kwamba watapata matokeo. Akizungumza kwenye mahojiano maalumu leo kwenye kipindi cha Global Radio amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Aprili 30. Bumbuli amesema:”Tunajua kwamba mchezo…

Read More

MANARA AKUBALI UBORA WA INONGA,ATAJA TATIZO LAKE

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa Henock Inonga beki wa Simba ni moja ya wachezaji wazuri lakini wanapenda kucheza na jukwaa. Inonga ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Pablo Franco ndani ya Simba anapewa nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza Aprili 30 mbele ya Yanga. Manara amesema:“Inonga ni beki mzuri lakini sijui…

Read More

HESABU ZA YANGA NI KWENYE UBINGWA

NAHODHA wa kikosi cha Yanga ambaye ni beki Bakari Mwamnyeto amesema kuwa lengo lao kubwa kwa msimu huu wa 2021/22 ni kuweza kutwaa mataji ili kurejesha furaha kwa mashabiki wa Yanga. Ndani ya ligi Yanga ambao ni vinara wa ligi walikuwa ni mashuhuda misimu minne mfululizo ubingwa ukielekea kwa watani zao wa jadi ambao ni…

Read More

YANGA WAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba unazitaka pointi tatu za watani zao wa jadi Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ni Aprili 30,2022 Yanga inatarajiwa kumenyana na Simba kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanatambua kuhusu umuhimu wa mchezo huo na wataingia uwanjani kwa nidhamu…

Read More

SIKU YA MALARIA DUNIANI IMEWAKUTANISHA MERIDIANBET NA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA AMANA

Katika kuadhimisha siku ya Malaria Duniani kwa mwaka 2022, kampuni ya michezo ya kubashiri, Meridianbet, imeungana na watanzania na dunia kwa ujumla katika kuongeza nguvu kwenye mapambano makali dhidi ya ugonjwa wa Malaria. Ugonjwa wa Malaria unaripotiwa kuwa chanzo cha vifo vya watoto (hasa wenye umri chini ya miaka 5) na hivyo kwa sehemu kubwa,…

Read More

VAR YAMPA MAKASIRIKO PABLO FRANCO

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hajui jambo gani ambalo lilitokea kwenye matumizi ya VAR hivyo hapendi kuzungumzia jambo hilo. Simba ilikuwa inawakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa imetolewa kwa kufungwa penalti 4-3 dhidi ya Orlando Pirates baada ya kuwa na jumla ya kufungana bao 1-1. Walianza Simba kushinda mchezo wa kwanza Uwanja…

Read More

MAYELE ANA HESABU HIZI KWA SIMBA

FISTON Mayele, mshambuliaji namba moja ndani ya Ligi Kuu Bara amesema kuwa mchezo ujao dhidi ya Simba anaamini kwamba akipewa nafasi atafunga. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Yanga, Aprili 30 kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kwenye msimamo Yanga inaongoza ikiwa na pointi 54…

Read More

SIMBA BADO HAWAIFIKIRII MECHI YAO DHIDI YA YANGA

UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa bado haufikirii mchezo wao dhidi ya Yanga kwa kuwa wametoka kucheza mechi kubwa ya hatua ya robo fainali dhidi ya Orlando Pirates. Aprili 24 Uwanja wa Orlando, ubao ulisoma Orlando Pirates 1-0 Simba ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali ya pili na kufanya wawe wamefungana bao…

Read More

KIUNGO YANGA AINGIA ANGA ZA AZAM FC

IMEELEZWA kuwa kiungo wa kazi aliyewahi kucheza ndani ya Yanga, Mukoko Tonombe yupo kwenye rada za mabosi Azam FC ili kuweza kuinasa saini yake. Nyota huyo ni miongoni mwa wachezaji ambao waliweza kufanya vizuri ndani ya Yanga msimu uliopia wakati timu hiyo ilipomaliza ikiwa nafasi ya pili. Pia alikuwa kwenye kikosi ambacho kiliweza kutinga hatua…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR,KANOUTE,INONGA,MANULA NDANI

WACHEZAJI wa Simba pamoja na viongozi usiku wa kuamkia leo Aprili 26 wameweza kurejea salama Tanzania wakitokea nchini Afrika Kusini ambapo walikuwa na mchezo wa hatua ya robo fainali. Ilikuwa ni robo fainali ya pili na ya maamuzi ambapo Simba iliweza kuambulia kichapo cha bao 1-0 ugenini. Kwa kuwa walikuwa wameshinda nao pia bao 1-0…

Read More

MANARA:TUNA WAHESHIMU SIMBA,ILA TUNATAKA POINTI TATU

Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wamewazidi wapinzani wao Simba pointi 13 ambazo ni nyingi. Manara amesema kuwa hilo haliwafanyi waamini kwamba watashinda mchezo wao badala yake wanawaheshimu Simba. “Tumewazidi pointi 13 na tunajua kwamba tuna uwiano mzuri kwa mabao ya kufungwa na kufungwa lakini haina maana kwamba tutawadharau wapinzani wetu hapa. “Ambacho…

Read More

PRICE DUBE NI WA MWISHO KUIFUNGA YANGA

NYOTA Prince Dube mshambuliaji wa mwisho kuifunga Yanga na ikayeyusha pointi tatu mazima kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ilikuwa Uwanja wa Mkapa,Aprili 25,2021. Leo Aprili 25, 2022 ni mwaka mmoja umemeguka tangu Dube kuitungua Yanga na msimu huu wa 2021/22 katupia bao 1. Kwenye ligi,Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi imecheza jumla ya…

Read More