YANGA YAIPIGIA HESABU AZAM FC

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa mchezo wao ujao dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wanahitaji pointi tatu muhimu. Baada ya kucheza mechi 18 ni pointi 48 wamekusanya wakiwa nafasi ya kwanza wanatarajia kumenyana na Azam FC Jumatano ya Aprili 6,2022. Kwenye msimamo Azam FC ipo nafasi ya tatu na pointi 28…

Read More

SIMBA 0-0 USGN, UWANJA WA MKAPA

DAKIKA 45 Uwanja wa Mkapa ubao Simba 0-0 USGN hatua ya makundi. Simba wamekwama kutupia kupitia kwa Pape Sakho aliyekosa nafasi mbili, Sadio Kanoute nafasi tatu za kufunga. Pia Kanoute kwa kucheza faulo ameonyeshwa kadi ya njano na mwingine kwa Simba ni Joash Onyango ambaye hakuwa na chaguo alimchezea faulo Adebayo Victorean. Simba wamepiga kona…

Read More

KOCHA HITIMANA:TUTAJIPANGA KWA MECHI ZIJAZO

HITIMANA Thiery,Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa watajipaga kwa ajili ya mechi zijazo baada ya leo kupata sare. Ikiwa Uwanja wa Uhuru, KMC ilitoshana nguvu ya bila kufungana na Namungo FC leo Aprili 3 2022. Thiery ambaye alikuwa pia ni kocha wa Namungo FC amesema kuwa hakuwa na chaguo kwa kuwa walipata nafasi lakini wakashindwa…

Read More

NNAUYE:USHINDI WA SIMBA NI MUHIMU KWA NCHI

NAPE Nnauye,Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amesema kuwa ushindi wa leo kwa Simba ni muhimu kwa nchi. Simba ina kibarua cha kusaka pointi tatu muhimu mbele ya USGN mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni hatua ya makundi. Nnauye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa leo unaotarajiwa kuchezwa saa 4:00 usiku. Kiongozi…

Read More

NABI AZIPIGIA HESABU POINTI ZA AZAM FC

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amefunguka kuwa, mipango yao ni kuhakikisha wanafanya vizuri katika mchezo ujao dhidi ya Azam kutokana na kuwa na malengo ya kuchukua ubingwa msimu huu licha ya kuandamwa na wimbi la majeruhi. Aprili 6, mwaka huu, Yanga inatarajiwa kucheza dhidi ya Azam katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kupigwa…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA V USGN

 NI Aprili 3,2022 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya Simba v USGN kuchezwa saa 4:00 usiku. Simba ipo kundi D ikiwa na pointi 7 na USGN ina pointi 5 ikiwa nafasi ya nne zote zinahitaji pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa leo. Ule wa awali walipokutana ugenini walitoshana nguvu…

Read More

SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU VITOCHI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hauungi mkono kabisa matumizi ya vitochi na badala yake uwezo wa wachezaji pamoja na uwepo wa mashabiki uwanjani ni silaha yao katika kusaka ushindi. Kesho saa 4:00 usiku Simba ina kibarua ca kusaka ushindi mbele a USGN kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi na ambacho wanakihitaji…

Read More

MAJANGA MENGINE ,KIUNGO WA KAZI YANGA AUMIA

TAARIFA mbaya kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa, kiungo wao tegemeo hivi sasa, Mganda, Khalid Aucho, huenda akaukosa mchezo mgumu wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC. Hiyo ikiwa ni siku chache kabla ya timu hiyo kuvaana na Azam katika mchezo utakaopigwa Jumatano ijayo saa moja kamili usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamanzi…

Read More

YANGA YAINGIA ANGA ZA NYOTA STARS

AKICHEZA mechi mbili akiwa na kikosi cha Taifa Stars kwa mara ya kwanza, straika George Mpole, tayari ameivutia Klabu ya Yanga inayotaka kumsajili kuelekea msimu ujao wa 2022/23. Mpole mwenye mabao nane kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu akiitumikia Geita Gold, hivi karibuni alikuwa sehemu ya kikosi cha Taifa Stars kilichocheza mechi mbili za kirafiki…

Read More

YANGA YAREJESHA SHUKRAN KWA JAMII

WACHEZAJI wa Yanga pamoja na benchi la ufundi leo Aprili Mosi wamepata muda wa kuweza kutoa misaada kwa vituo mbalimbali vya Watoto Yatima. Hii ni maalumu kwa ajili ya kuelekea mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ni Kampuni ya GSM kwa kushirikiana na Yanga weweza kuyafanya hayo ikiwa ni kurejesha shukrani kwa jamii. Mbali na kutoa msaada…

Read More

KOCHA YANGA AWAAMBIA WACHEZAJI ATAFANYA MAAMUZI MAGUMU

KUTOKANA na presha wanayoipata kutoka kwa wapinzani wao katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amewaambia wachezaji wake kwamba, wanapaswa kuipambania timu katika mechi kumi zilizosalia, kwani mwisho wa msimu atafanya uamuzi mgumu. Nabi ametoa maagizo hayo ikiwa Yanga inaongoza katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa…

Read More