BEKI INONGA WA SIMBA APEWA TUZO YA MCHEZAJI BORA

BEKI wa Klabu ya Simba inayonlewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco, Henock Inonga leo Mei 6 amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player of the Month) ya mwezi Aprili. Tuzo hiyo ameweza kuitwaa baada ya kuwashinda mabeki wenzake ambao ni Shomari Kapombe na Joash Oyango ambao waliingia kwenye fainali…

Read More

SARE ZAWAPA HASIRA YANGA

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa matokeo ya sare ambayo wameyapata kwenye mechi za ligi hivi karibuni hayajawatoa kwenye mstari badala yake yamewaongezea hasira ya kuzidi kupambana. Kwenye mechi mbili mfululizo za ligi mbele ya Simba na Ruvu Shooting vinara hao wa ligi waliambulia pointi mbili katika msako wa pointi 6. Akizungumza na…

Read More

INONGA AINGIA ANGA ZA ORLANDO PIRATES

KILA mafanikio yana zawadi sahihi kutoka kwa Mungu, kauli hii inakamilishwa zaidi na dili nono alilowekewa mezani beki kisiki wa Simba raia wa DR Congo, Henock Inonga Baka na Klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Inonga ambaye alijiunga na Simba mwanzoni mwa msimu huu, akitokea katika DC Motema Pembe, tayari ameshajitangazia ufalme mkubwa katika…

Read More

KOMBE LA DUNIA KULETWA DAR

IKIWA ni kwa mara nyingine tena mfululizo Tanzania imefanikiwa kuwa miongoni mwa nchi tisa za Afrika ambazo Kombe halisi la Dunia linatarajiwa kutua nchini Mei 31 mwaka huu, katika ziara rasmi ya kombe inayosimamiwa na kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola ambao ni wadhamini wa mashindano hayo kwa ushirikiano na Shirikisho la soka Duniani…

Read More

ISHU YA KISINDA TUISILA KURUDI YANGA IPO HIVI

WINGA machachari wa RS Berkane ya nchini Morocco, Tuisila Kisinda ameonekana kuwagawa mabosi wa timu hiyo, katika mipango ya kutaka kumrejesha kikosini hapo msimu ujao. Hivi karibuni tetesi zilienea za winga huyo kurejeshwa Yanga katika msimu ujao kwa kile kilichoelezwa kuachana na klabu yake ya Berkane. Yanga ilimuuza Kisinda msimu uliopita kwenda Berkane kwa dau…

Read More

PABLO ATAJA SABABU YA KUSHIDWA KUWA KWENYE MWENDO BORA

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amesema kuwa mchawi mkubwa wa timu hiyo kushindwa kufanya vyema kwenye michezo mikubwa inatokana na kikosi hicho kutokuwa na wachezaji wenye viwango bora mfululizo jambo ambalo limechangia kushindwa kufanya vyema. Simba mpaka sasa imebaki na matumaini ya kufanya vyema katika michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam, huku wakitolewa…

Read More

MADRID YASHINDA KIMAAJABU LIGI YA MABINGWA ULAYA

KLABU ya Real Madrid imeonyesha uimara wake kwa kupata ushindi wa maajabu katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kupindua matokeo mbele ya Manchester City. Sasa Real Madrid inakwenda kukutana na Liverpool kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Liverpool huku Karim Benzema akifunga penalti ya ushindi kwa Real Madrid…

Read More

RUVU SHOOTING YAIBANA MBAVU YANGA

MABINGWA mara 27 wa Ligi Kuu Bara, Yanga kwa kutoshana nguvu bila kufungana ndani ya dakika 90. Ulikuwa ni mchezo wa matumizi ya nguvu na akili kwa wachezaji wote wa timu mbili kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Fiston Mayele, Heritier Makambo na Ngushi utatu huu ulikwama kuitungua Ruvu Shooting kwenye mchezo huo kwa kushindwa…

Read More

ISHU YA INONGA NA MAYELE YAJADILIWA NA KOCHA YANGA

ALIYEWAHI kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soka la Vijana, Mkongomani, Mwinyi Zahera, amefunga mjadala wa ubora wa mshambuliaji Fiston Mayele na beki wa Simba, Henock Inonga. Hiyo ni baada ya wachezaji hao kuzua mjadala mara baada ya mchezo wa Kariakoo Dabi uliozikutanisha Yanga dhidi ya Simba ambao ulichezwa…

Read More

NAHODHA YANGA ASAINI MIAKA MIWILI

NAHODHA na beki wa kati tegemeo ndani ya Yanga, Bakari Mwamnyeto, ameongeza mkataba wa miaka miwili wenye thamani inayotajwa kufikia shilingi milioni 200 kuendelea kukipiga Jangwani. Beki huyo ameongeza mkataba kuendelea kuichezea timu hiyo, baada ya ule wa awali wa miaka miwili kutarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Mwamnyeto ni kati ya mabeki waliokuwa wakitajwa…

Read More

YANGA YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA RUVU SHOOTING

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanahitaji kushinda kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ruvu Shooting ili kuweza kupata pointi tatu muhimu. Vinara hao wa ligi wenye pointi 55 wanatarajiwa kushuka uwanjani leo kusaka pointi tatu kama ambazo zinasakwa na Ruvu Shooting saa 10:00 jioni, Kaze ameweka wazi kwamba mchezo wa leo utakuwa…

Read More

MASTAA SITA SIMBA KUPIGWA ‘PANGA’ MAZIMA

KATIKA kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara watakachokitumia katika michuano ya kimataifa msimu ujao, Simba SC imepanga kuachana na wachezaji sita wa kigeni mwishoni mwa msimu huu ambao mikataba yao inamalizika. Hiyo ni katika kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kitakachofanikisha malengo yao ya kufika hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo mikubwa Afrika inayosimamiwa na Shirikisho…

Read More