BAYERN WAZIDI KUMKOMALIA MANE

BAYERN Munich wanajiandaa kuwasilisha ofa ya pili ya dau la pauni milioni 30, kwa ajili ya kukamilisha usajili wa staa wa kimataifa wa Liverpool raia wa Senegal, Sadio Mane mara baada ya Liverpool kukataa ofa ya kwanza na sasa wanataka pauni milioni 42.5. Sportsmail limeripoti kuwa Liverpool ilitupilia mbali ofa ya kwanza ya Bayern ya…

Read More

UBAGUZI WA RANGI WAITESA ENGLAND

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya England, Gareth Southgate amekiri kuwa kwenye mtego wa kupata ugumu wa kuchagua wapigaji wa penalti kwenye kikosi chake kutokana na hofu kubwa ya baadhi ya nyota wa kikosi hicho kukumbana na masuala ya ubaguzi wa rangi. Bukayo Saka, Marcus Rashford na Jadon Sancho wote walifanyiwa ubaguzi mbaya mtandaoni…

Read More

MAN CITY KUMNG’OA SAKA ARSENAL

Manchester, England MABINGWA wa Ligi Kuu England, Manchester City wametajwa kuwa wanafuatilia kwa karibu mustakabali wa staa wa Arsenal, Bukayo Saka katika kipindi cha miaka miwili ya mwisho ya mkataba wake ili kuona uwezekano wa kumng’oa mchezaji huyo kutoka Emirates. Inaelezwa kuwa City pamoja na wapinzani wao wakubwa Liverpool wote wanamtazama staa huyo wa Arsenal…

Read More

SAIDO: SIKUTAKA KUONDOKA YANGA

MARA baada ya Yanga kutangaza kuachana rasmi na Said Ntibazonkiza ‘Saido’, mashabiki na wadau wengi wa soka walishitushwa na taarifa hiyo wengine hawakuamini kabisa kilichotokea. Hii inatokana na jinsi gani Saido alikuwa na mchongo mkubwa ndani ya timu hii ndio iliwafanya watu wawe wagumu kuamini. Mashabiki wa Yanga na wengine ambao sio wa timu hiyo…

Read More

WAKALI WA KUTUPIA BONGO

NDANI ya Ligi Kuu Bara kuna wakali wa kucheka na nyavu ambao wanatimiza majukumu yao katika timu zao. Ni George Mpole mali ya Geita Gold huyu ni mzawa mwenye mabao mengi kwa msimu huu akiwa ametoa pia pasi tatu za mabao. Mpole kahusika kwenye mabao 17 kati ya 26 ambayo yamefungwa na timu hiyo inayonolewa…

Read More

YANGA YAPIGA 8-0 FRIENDS RANGERS

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi jana kiliibuka na ushindi wa mabao 8-0 Friends Rangers katika mchezo wa kirafiki. Mabao ya Yanga yalifungwa na kiungo Dennis Nkane ambaye alitupia kamba mbili, Fiston Mayele alitupia kambani mara moja mzee wa kuwajaza Heritier Makambo yeye alitupia kamba mbili. Mshambuliaji chipukizi wa timu hiyo Yusuph…

Read More

POULSEN:ALGERIA NI WAGUMU ILA TUTAPAMBANA

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Kim Poulsen amesema wataingia kwa kuwaheshimu wapinzani wao Algeria kwa kuwa ni timu imara na ina uzoefu mkubwa. Poulsen amebanisha kuwa kwa ubora walionao Algeria ni wazi Tanzania inatakiwa kuingia uwanjani ikiwa na mpango maalum kwa kuwa timu hiyo ni imara kwenye umiliki wa mpira….

Read More

TAIFA STARS KAMILI,HIMID MAO KUKOSEKANA KESHO

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania wapo tayari kuelekea mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu AFCON. Mchezo huo utakuwa ni dhidi ya Algeria utakaochezwa kesho Juni 8, 2022 saa 1:00 usiku huku akiweka wazi kwamba wanatambua mchezo huo utakuwa mgumu. Poulsen…

Read More

SERENGETI GIRLS YATINGA BUNGENI

LEO Juni 7,2022,Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wasichana U17 Serengeti Girls wameweza kuingia kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Serengeti Girls wamealikwa bungeni baada ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia litakalofanyika India mwaka huu kwa ushindi wa jumla ya mabao 5-1 Cameroon. Kete ya kwanza walianza ugenini ambapo waliweza kushinda…

Read More

YANGA YAKUSANYA BILIONI 1 KUTOKA KWA WANACHAMA

MKURUGENZI Mtendaji wa Kilinet Mohammed Saleh amesema ndani ya miezi 6 wameweza kusajili wanachama 34,650. Huu ulikuwa ni mchakato wa Klabu ya Yanga kuweza kufanya usajili kwa wanachama baada ya kubadili katiba na mfumo wa uendeshaji wa timu. Akizungumza leo Juni 7, Saleh amesema kuwa wameweza kukusanya fedha hizo ikiwa ni mafanikio makubwa ndani ya miezi…

Read More

MODRIC NDOTO ZAKE ZILITIMIA

KIUNGO wa Real Madrid, Luka Modric ameweka wazi kuwa ndoto zake zilitimia baada ya kusajiliwa ndani ya kikosi hicho. Madrid ilimsajili Modric 2012 akitokea Klabu ya Tottenham na yupo Madrid kwa miaka 10 sasa. Kiungo huyo mwenye miaka 36 amezidi kuwa bora licha ya umri ambao anao kwa sasa ambao unaonekana kumtupa mkono na mwaka…

Read More

AZAM FC WAJA NA MIPANGO MIPYA

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa msimu ujao utafanya vizuri kwa kutumia makosa ambayo wameyafanya msimu huu. Ikiwa imecheza mechi 26 kwenye msimamo ipo nafasi ya 4 na imekusanya pointi 37 kibindoni huku kinara akiwa ni Yanga mwenye pointi 64. Zakaria Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kwa namna ambavyo wanakwenda…

Read More