NI YANGA V AZAM, SIMBA V NAMUNGO, KOMBE LA MAPINDUZI

KITU pekee ambacho mashabiki wa Simba na Yanga wanakifurahia kwa sasa ni kuziona timu hizo zikiendelea kukipiga kwenye Kombe la Mapinduzi licha ya kubanwa kwenye mechi zao za mwisho za makundi. Vigogo hao wa soka bara licha ya kuwa na sehemu kubwa ya vikosi vyao lakini walishindwa kuzibeba pointi tatu kwenye mechi hizo za mwisho ambapo waliambulia pointi moja tu. Yanga ndiyo walikuwa wa kwanza kucheza ambapo walitoshana…

Read More

YANGA WAPANIA KUVUNJA REKODI KWA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Yanga Princess, Edna Lema ‘Morinyo’ ameweka wazi kuwa anataka kufuta uteja mbele ya Simba Queens kwa kushinda kwenye mechi yao ya dabi itakayopigwa leo Jumamosi Januari 8 2022 katika Uwanja wa Mkapa, Dar. Kocha huyo alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano kati ya timu hizo na Waandishi wa Habari uliofanyika jana Ijumaa katika Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Edna amesema: “Sina matokeo mazuri au Yanga Princess haina matokeo mazuri mbele ya Simba, ila huu ni mchezo na matokeo ni baada ya…

Read More

SIMBA YAGAWANA POINTI NA MLANDEGE

SIMBA leo Januari 7,2022 imetoshana nguvu bila kufungana na Mlandege FC kwenye mchezo wa pili wa Kombe la Mapinduzi. Dakika 90 zimekamilika kwa ubao wa Uwanja wa Amaan kusoma Simba 0-0 Mlandenge FC. Licha ya Simba kuanza na wachezaji wake wa kikosi cha kwanza ikiwa ni pamoja na kipa namba moja Aishi Manula, mshambuliaji wao…

Read More

MILANGO MIGUMU DAKIKA 45,SIMBA 0-0 MLANDEGE FC

MILANGO ni migumu Uwanja wa Amaan baada ya dakika 45 kumeguka huku ubao ukisoma Simba 0-0 Mlandege FC. Ni mchezo wa Kombe la Mapinduzi ambapo timu hizi zinasaka nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali. Jitihada za Simba kuweza kupata bao la kuongoza ndani ya dakika 45 zimegonga mwamba kutokana na nafasi ambazo wamezitengeneza kushindwa…

Read More

DAKIKA 45, YANGA 1-0 KMKM

UWANJA wa Amaan ni mapumziko Kombe la Mapinduzi baada ya dakika 45 kukamilika. Ubao unasoma Yanga 1-0 KMKM na mtupiaji ni Heritier Makambo kwa pasi ya Dikson Ambundo dakika ya 45. KMKM wamekuwa wakipambana ndani ya dakika 45 lakini wamekwama kutumia nafasi ambazo wamezipata mbele ya Yanga.   Yanga unakwenda mapumziko ikiwa na faida ya…

Read More

SALUM MAYANGA KOCHA MPYA MTIBWA SUGAR

RASMI Salum Mayanga atakuwa kwenye benchi la ufundi la Mtibwa Sugar baada ya kutambulishwa leo Januari 7,2022. Mayanga alikuwa akiinoa timu ya Tanzania Prisons ambapo alikuwa kwenye mwendo mzuri jambo lililowafanya Mtibwa Sugar kuhitaji huduma yake. Anachukua mikoba ya Joseph Omong ambaye alichimbishwa Desemba 14,2021. Kwenye msimamo Mtibwa Sugar ipo nafasi ya 13 ikiwa na…

Read More

KOCHA SIMBA AANZA NA MAJEMBE HAYA YA KAZI

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco,ameweka wazi kuwa atakuwa na programu maalum na majembe mapya ya kikosi hicho ili kuhakikisha wanaingia katika mfumo wake na kupata muunganiko wa pamoja wa timu ili kuwa na kikosi imara. Simba, Jumatano ilianza vizuri vita ya kuwania ubingwa wa Kombe la Mapinduzi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Selem View Academy, ambapo leo Ijumaa Simba wanatarajia kuvaana na Mlandege majira ya saa 2:15…

Read More

ISHU YA PHIRI KUIBUKIA YANGA IPO HIVI

HATIMAYE mshambuliaji wa Zanaco FC ya Zambia, Moses Phiri, amefungukia dili lake la kujiunga Yanga, hukuakiweka wazi kuwa bado hajamalizana rasmi na klabu hiyo. Phiri raia wa Zambia, kabla ya kuhusishwa na Yanga, alikuwa akihusishwa kujiunga na Simba ambao awali walionesha nia ya kumsajili kabla ya upepo kuhamia Yanga. Akizungumza na Spoti Xtra moja kwa moja kutoka Zambia, Phiri alisema japo uongozi wake umefanya mazungumzo na Yanga, lakini bado hajasaini mkataba wa kuitumikia timu hiyo, hivyo ataendelea…

Read More

AZAM WAPETA,KAZI LEO INAENDELEA

BAADA ya Keneth Muguna wa Azam FC kufunga mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi na kupewa zawadi ya laki tano na NIC Tanzania, kazi yao inayofuata ni dhidi ya Yosso Boys,Januari 8. Alipewa zawadi hiyo baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Amaan.   Ilikuwa ni…

Read More