
KMC:TUPO KWENYE NAFASI MBAYA
KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa wanachoangalia kwa sasa ni mechi zote zilizobaki kupata ushindi kwa kuwa wapo kwenye nafasi mbaya. Akizungumza na Saleh Jembe,amesema kuwa pointi 27 walizonazo sio salama licha ya kushinda mabao 3-2 dhidi ya Mtibwa Sugar. “Tulianza kucheza vizuri mwanzo na tukapata nafasi kwa kumiliki na wapinzani wetu waliweza…