KMC:TUPO KWENYE NAFASI MBAYA

KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa wanachoangalia kwa sasa ni mechi zote zilizobaki kupata ushindi kwa kuwa wapo kwenye nafasi mbaya. Akizungumza na Saleh Jembe,amesema kuwa pointi 27 walizonazo sio salama licha ya kushinda mabao 3-2 dhidi ya Mtibwa Sugar. “Tulianza kucheza vizuri mwanzo na tukapata nafasi kwa kumiliki na wapinzani wetu waliweza…

Read More

YANGA YAGOMEA SARE TENA KWENYE LIGI

MARA baada ya kupata suluhu katika michezo mitatu mfululizo kwenye ligi kuu, benchi la ufundi la timu hiyo, limesema kuwa kwa sasa inatosha na litapambana kuhakikisha kuwa timu hiyo inapata ushindi katika michezo inayofuata na kuendeleza matumaini ya ubingwa msimu huu. Yanga imeshindwa kupata ushindi wala kufunga bao katika michezo mitatu iliyopita mfululizo dhidi ya…

Read More

SIMBA:TUNALITAKA KOMBE LETU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba unahitaji kuteteta taji la Kombe la Shirikisho ambalo lipo mikononi mwao hivyo watapambana kupata matokeo. Kesho, Mei 14 Simba ina kazi ya kusaka ushindi mbee ya Pamba katika mchezo wa hatua ya robo fainali unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani…

Read More

MIAKA MITANO YA SPORTPESA TANZANIA… WATUMIA SH 1.6BIL UKARABATI UWANJA WA MKAPA

“HAYA mafanikio tuliyoyapata SportPesa kwa kipindi cha miaka mitano tuliyoyaanza Mei 9, 2017, tumepanga kuyaendeleza zaidi ya hapa. “Kikubwa tunataka kuona tunaendelea kuongoza hapa nchini katika uendeshaji kwa kuanzia mifumo mbalimbali ikiwemo kuweka uwazi kwa washindi na kisasa kabisa kutoka 20% hadi kufikia 40%. “Tunataka akifikiria kucheza ubashiri, basi afikirie kucheza na SportPesa na sio…

Read More

AZAM FC :TUMEKUWA NA MSIMU MBAYA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa umekuwa na msimu mbaya ndani ya 2021/22 kutokana na kushindwa kupata matokeo wanayohitaji kwenye mechi zake.  Chini ya Kocha Mkuu, Abdi Hamid Moallin juzi ikiwa Uwanja wa Sokoine ubao ulisoma Mbeya City 2-1 Azam FC na kuwafanya wayeyushe pointi tatu mazima. Msemaji wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema…

Read More

MAYELE AMPA JEURI MPOLE, ATOA TAMKO LA KUPAMBANA ZAIDI

STAA wa Klabu ya Geita Gold FC, George Mpole amesema kuwa siri iliyopo nyuma ya uwezo wake mkubwa wa kufunga kwenye ligi msimu huu ni ubora wa washambuliaji na wachezaji wakigeni ambao wamekuwa wakitesa kwenye ligi ya Tanzania. Mpole alisema, wachezaji hao wamekuwa wakimpa chachu ya kuendelea kupambana zaidi akiwa uwanjani ili kuweza kupambania nao…

Read More

KISA SURE BOY, YANGA WAMCHENJIA NABI

BAADA ya mashabiki wa Yanga kuja juu kupinga mabadiliko ya kumtoa Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ na kuingia Heritier Makambo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mtunisia Nasreddine Nabi ameibuka na kutaja sababu ya kumtoa nyota huyo. Tukio hilo la aina yake lilitokea mara baada ya Nabi kufanya mabadiliko hayo akitafuta ushindi wakati timu yake ilipovaana dhidi…

Read More

IMETOSHA… YANGA: SARE SASA BASI, NI USHINDI TU

MARA baada ya kupata suluhu katika michezo mitatu mfululizo kwenye ligi kuu, benchi la ufundi la timu hiyo, limesema kuwa kwa sasa inatosha na litapambana kuhakikisha kuwa timu hiyo inapata ushindi katika michezo inayofuata na kuendeleza matumaini ya ubingwa msimu huu. Yanga imeshindwa kupata ushindi wala kufunga bao katika michezo mitatu iliyopita mfululizo dhidi ya…

Read More