
BEKI AOMBA KUONDOKA SIMBA, MICHO ALICHAMBUA BAO LA AZIZ KI
BEKI aomba kuondoka Simba, Micho alichambua bao la Aziz KI ndani ya Spoti Xtra Jumanne.
BEKI aomba kuondoka Simba, Micho alichambua bao la Aziz KI ndani ya Spoti Xtra Jumanne.
UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa unahitaji kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ulio mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. KMC chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery imekusanya pointi 13 baada ya kucheza mechi 8 za ligi, imeshinda tatu, sare nne na imepoteza mchezo mmoja ikiwa nafasi ya tatu. Christina Mwagala, Ofisa…
ILIKUWA shoo shoo, Okra apepea na milioni 300 za Yanga ndani ya Champion Jumatatu.
DAKIKA 90 za Kariakoo Dabi kila mmoja kasepa na pointi moja baada ya sare ya kufungana bao 1-1 Uwanja wa Mkapa. Simba walianza dakika ya 14 kupitia kwa Augustino Okra ambaye alionyeshwa kadi ya njano na mwamuzi Ramadhan Kayoko kwa kosa la kushangilia akiwa amevua jezi. Ngoma iliwekwa usawa na Aziz KI kwa pigo huru…
KETE ya Kocha Mkuu Nasreddine Nai wa Yanga leo Oktoba 23 Uwanja wa Mkapa dhidi ya Simba mchezo wa Ligi Kuu Bara inaweza kuwa namna hii:- Diarra Djuma Shaban Bangala Dickson Job Kibwana Shomari Aziz KI Feisal Salum Khalid Aucho Tuisila Kisinda Fiston Mayele Jesus Moloko
MABONDIA nyota wa Afrika na Marekani watashiriki katika pambano ya Super Dome Boxing yaliyopangwa kufanyika Novemba 4 kwenye ukumbi mpya wa kisasa wa Super Dome Arena. Mapambano hayo yameandaliwa kwa ushirikiano wa kampuni yenye uzoefu mkubwa wa kuandaa ngumi za kulipwa duniani, Global Boxing Stars kwa ushirikiano na kampuni ya Tanzania, LP Sport chini ya…
NYOTA wa Simba Moses Phiri ni miongoni mwa nyota ambao wapo kwenye kikosi cha Simba ambacho kinafanya maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Wengine ni Pape Sakho, Henock Inonga,Kibu Dennis
MDAKA mishale wa Yanga, Djigui Diarra, kwenye anga la kimataifa amekimbizwa na Aishi Manula maarufu Air Manula wa Simba. Katika mechi nne za Ligi ya Mabingwa Afrika ambazo Yanga na Simba zimecheza msimu huu, Diarra katunguliwa mabao mawili, huku akiwa na clean sheet mbili. Alifungwa bao mojamoja dhidi ya Al Hilal nyumbani na ugenini kwenye…
Kila mmoja ni bingwa kwenye uwanja wake, na Meridianbet wanakupa nafasi ya kutamba kibingwa kwa kuibuka mshindi wa zawadi zao kibao. Meridianbet wamekusogezea ofa kubwa kwa mchezaji mpya kabisa wa Meridianbet, wakati wachezaji wakongwe wakiendelea kufurahia ofa lukuki kwenye ubashiri wao. Umewahi kukutana na Bonasi ya Ukaribisho Kubwa Kama Hii? Meridianbet pekee, wanakupa nafasi ya…
OFISA Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa mchezo wa keshi dhidi ya Simba ni muhimu kwao kupata alama tatu ambazo zitawafanya wakae kwenye namba moja ndani ya Ligi Kuu Bara
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa ligi dhidi ya Simba na wanatarajia kutoa burudani kwenye mchezo huo
KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara kesho kati ya Yanga v Simba, Uwanja wa Mkapa unaambiwa sera ya Yanga unapigwa kama ngoma huku Simba wao wakisema unapelekewa pumzi ya moto
WAKATI mwingine furaha huwa inabebwa na maumivu jambo ambalo linafanya maisha yaendelee kuwa maisha hakuna namna ni hali halisi ilivyo. Ikiwa upo kwenye mazingira mazuri basi huo uzuri acha uendelee kunogeshwa na yale ambayo yatatokea ndani ya Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Simba. Hakika unatarajiwa kuwa…
MENEJA wa Habari wa Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema wamempa jukumu mshambuliaji wao tegemeo Mzambia Moses Phiri la kuwalipua watani wao wa jadi, Yanga. Hiyo ni katika kuelekea mchezo wa raundi ya Kwanza ya Ligi Kuu Bara ambao utapigwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar. Mchezo huo muhimu kwa kila timu, Yanga…
WACHEZAJI wa Yanga kwa pamoja wamewaahidi viongozi wa timu hiyo, kupambana kwa dakika 90 ili kuhakikisha wanarejresha imani ya mashabiki katika Kariakoo Dabi. Dabi hiyo inatarajiwa kuzikutanisha Simba dhidi ya Yanga katika mchezo wa raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara utakaochezwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Ni Jumatatu timu ilirejea kambini Kijiji…
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wamewaandalia dozi wapinzani wao Simba kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara unaoatarajiwa kuchezwa Oktoba 23,2022 Uwanja wa Mkapa
TUNAWAPIGA kwenye mshono, Mayele nitawatungua kama kwenye Ngao, ndani ya Championi Jumamosi