
THIS IS SIMBA, KWANI NYIE MNAFELI WAPI? YANGA SC INAPENYA SUDAN
THIS is Simba, kwani nyie mnafeli wapi? Yanga SC inapenya Sudan ndani ya Championi Jumatatu
THIS is Simba, kwani nyie mnafeli wapi? Yanga SC inapenya Sudan ndani ya Championi Jumatatu
WAKIWA ugenini leo Oktoba 9,2022 Simba imeshinda kwa jumla ya mabao 3-1 dhidi ya de Agosto kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Bao la mapema kwa Simba lilifungwa na Clatous Chama dakika ya 8 akitumia pasi ya Agustin Okra. Bao la pili ni mali ya Israel Mwenda ambaye ni beki alipachika bao hilo dakika…
SIMBA leo ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto ya Angola, hiki hapa kikosi kinachotarajiwa kuanza
UZOEFU wa nyota wa kimataifa waliopo ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni pamoja na Djuma Shaban, Yannick Bangala na Tuisila Kisinda ni sababu ya Yanga kuwa imara. Chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, Yanga imecheza mechi 42 za ligi bila kupoteza na jana wametoka kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1Al Hilal. Kocha Mkuu wa…
REKODI zinaibeba Simba,tulieni kazi haijaisha, Mayele ambeba tuzo Afrika ndani ya Spoti Xtra Jumapili
DAKIKA 90 zimekamilika, Uwanja wa Mkapa kwa timu zote mbili kutoshana nguvu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ubao umesoma Yanga 1-1 Al Hilal, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya Pili, mchezo ujao Yanga wanakibarua cha kusaka ushindi ugenini ili kukata tiketi ya kutinga hatua ya makundi. Watupiaji ni Fiston Mayele dakika…
KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza leo Oktoba 8,2022 dhidi ya Al Hilal mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kipo namna hii:- Diarra Djuma Kibwana Job Bangala Aucho Feisal Moloko Mayele Aziz KI Morrison Akiba ni:- Mshery Bacca Nondo Lomalisa Mauya Sure Boy Kisinda Farid Makambo
IMEELEZWA kuwa Yanga wameambiwa wamlipe Luc Eymael aliyekuwa kocha wa timu hiyo msimu wa 2020 kiasi cha dola milioni 152 za kimarekani. Taarifa kutoka Shirikisho la Soka Kimataifa, (FIFA) imeeleza kuwa Yanga wamepewa siku 45 kulipa fedha hizo. Ikiwa watakwama kukamilisha shauri hiyo kwa muda wa siku 45 watapewa adhabu ya kufungiwa kufanya usajili kwenye…
Ile kampuni kubwa duniani na maarufu kwa utengenezeji wa games Expanse Studios wanakuja na kitu kipya mjini, mzigo wenyewe ni haujawahi kutangazwa sehemu yeyote ile, ni tukio la uzinduzi wa sloti mpya Zaidi. Ni wiki chache tu baada ya kushiriki katika Mkutano wa SBC mjini Barcelona, wenye Sloti mpya zaidi, kama Pirate’s Power, Magic Wheel…
MATAJIRI wa Dar Azam FC leo watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika raundi ya Pili dhidi ya Al Akhdar ya Libya. Jana wachezaji hao walifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya kuanza kuzikimbiza dakika 90 wakiwa ugenini. Ni nyota 25 wapo nchini Libya miongoni mwao ni pamoja na…
IKIPIGWA sana ngoma mwisho inashindwa kuhimili mikikimikiki hiyo inagotea kwenye kupasuka jambo litakaloifanya iepukane na suala la kupigwa kwa mara nyingine. Uzuri ni kwamba kwenye suala la upigaji na yule anayepiga lazima atambue kwamba itafika muda na yeye atapigwa tu kwani kuimba ni kupokezana. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika tunaona kwamba wawakilishi wetu kimataifa wanatamba…
JOHN Bocco, nahodha wa Simba ameweka wazi kuwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wanahitaji kufanya vizuri ili kufikia malengo ambayo wyapo kwenye timu hiyo
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wamejiaandaa kupata matokeo kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal ili kuweza kufikia malengo yao ikiwa ni kutinga hatua ya makundi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa ikiwa
MSAFARA wa wachezaji 24 wa kikosi cha Simba leo mapema Oktoba 8,2022 wamekwea pipa la kukodi kuelekea Angola. Ni kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto unaotarajiwa kuchezwa kesho, Oktoba 9, Uwanja wa Novemba 11 uliopo Angola. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo kwenye msafara huo ni kipa namba moja…
KWA muziki huu, nyie nyie, wanatokea wapi hawa, Simba watumia siku 14 kupangua hujuma Angola ndani ya Championi Jumamosi
WAPINZANI wa Yanga, Al Hilal wapo kwenye ardhi ya Tanzania tayari kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Oktoba 8,2022. Ally Kamwe Ofisa Habari wa Yanga amewazungumzia wapinzani hao
MZAWA Hassan Mwakinyo ambaye ni bondia wa ngumi za kulipwa ameweka wazi kuwa rekodi zake ambazo anaweka ni kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwa alikuwa hajawahi kufikiria jambo hilo