
MAJINA MATANO YATAKAYOPEWA MIKATABA YANGA
MAJINA matano yatakayopewa mikataba ndani ya kikosi cha Yanga yamependekezwa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi
MAJINA matano yatakayopewa mikataba ndani ya kikosi cha Yanga yamependekezwa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi
MABAO matano yamekusanywa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Azam FC na Coastal Union. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 3-2 Coastal Union. Coastal Union walianza kupata bao la utangulizi dakika ya 14 kupitia kwa Betrand Ngafei lilidumu mpaka muda wa mapumziko. Kipindi cha pili…
Siku ni Jumatatu na Jumanne wakati ambao wengi wanakuwa kwenye mihangaiko ya kutafuta chochote kitu, ili mkono uende kinywani, sikia mdau! Meridianbet hawakuachi ukateseka, msimu huu wa kombe la dunia wanakupa machaguo special kwa ODDS kubwa na Bomba, kikubwa ni wewe kubeti bila kuchoka tena ukibeti kwa kitochi dau lako la chini tu TZS 250/=…
WAKIWA Uwanja wa Ushirika Moshi, ubao unasoma Polisi Tanzania 0-2 Simba mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ni mabao ya dakika ya 32 kupitia kwa John Bocco na lile la pili ni mali ya Moses Phiri ambaye amefunga dakika ya 43. Mchezo kwa sasa ni mapumziko ambapo dakika 30 za mwanzo ilikuwa kila timu inafanya…
KIKOSI cha Azam FC kinachonolewa na Kaimu Kocha Mkuu, Kali Ongala leo kitakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Coastal Union. Azam FC imetoka kushinda bao 1-0 dhidi ya Namungo FC na imekuwa kwenye kasi bora ndani ya ligi kwa mechi za hivi karibuni. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00…
ALLY Kamwe atema shombo kumchapa Mbeya City mabao 2-0 Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangasa ametoa wito kwa makampuni mbalimbali kuiga mfano wa Kampuni ya Meridianbet Tanzania, Ameyasema hayo wakati akiongoza zoezi la Usafi katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo kwa kushirikiana na Kampuni ya Meridianbet Tanzania kama vile maeneo ya kituo cha daladala cha Kivukoni Feri. Katika zoezi hilo la kuweka mazingira…
KIMATAIFA mkwanja Simba waongezwa ili kufika mbali kimataifa
NOVEMBA 26,2022 Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi Simba, Boniface Lyamwike ametangaza rasmi siku ya uchaguzi mkuu wa Simba kwenye nfasi mbalimbali. Lyamwike amesema:-“Nawatangazia wanachama wa Simba, wapenzi na mashabiki kwamba tarehe ya uchaguzi wa Simba itakuwa ni tarehe 29 Januari, 2023. “Mwaka huu kanuni ambazo zitatumika kwenye uchaguzi wa Simba ni kanuni za Simba Sports…
NYOTA wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ameweka historia kwa mara nyingine kwa kuiongoza timu hiyo kushinda mbele ya Ghana. Ghana kutoka Afrika haikuwa na bahati kwenye mchezo uliochezwa Alhamisi baada ya kutunguliwa mabao 3-2. Nyota huyo alifunga kwenye mchezo huo na aligoma kujibu swali kuhusu kuondoka kwake ndani ya kikosi cha Manchester…
SADIO Kanoute ni miongoni mwa mastaa wa Simba ambao wapo na kikosi Moshi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania. Nyota huyu alikosekana kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City kwa kuwa hakuwa fiti. Kwenye mchezo huo Simba ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na kugawana pointi mojamoja ugenini….
HIZI hapa siri za Yanga kucheza bila kufungwa ndani ya Ligi Kuu Bara
YANGA Tambo zatawala yatupa dongo kimtindo Simba yabainisha kuwa mnyama alishikwa sharubu
SIMBA kusajili wachezaji kutoka Ghana, Msumbiji dirisha dogo kuimarisha kikosi hicho
BAADA ya kumalizana na Namungo ugenini sasa kikosi cha Azam FC kinafanya maandalizi kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union. Chini ya Kaimu Kocha Kali Ongala timu hiyo imetoka kupata ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Edward Manyama akitumia pasi ya Ayoub Lyanga. Mchezo wa kwanza kwa Ongala kuwa benchi ilikuwa…
CEDRICK Kaze kocha msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City kuna baadhi ya wachezaji ambao watarejea kutokana na kuwa na adhabu. Kesho Yanga ambao wamecheza mechi 48 za ligi bila kufungwa wana kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya City mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kaze amesema:”Aziz…