
HUYU HAPA AMETAJWA KUIPELEKEA SIMBA HATUA YA MAKUNDI
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa Kocha Mkuu Juma Mgunda wana imani naye atawapeleka hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kupata ushindi dhidi ya de Agosto ya Angola. Leo Simba inakibarua cha kusaka ushindi Uwanja wa Mkapa ikiwa na mtaji wa mabao 3-1 iliyopita ugenini dhidi ya de Agosto inahitaji kulinda ushindi huo…