
VIDEO:HUYU HAPA KOCHA WA YANGA ALIYEFUNGASHIWA VIRAGO
KOCHA Yanga Princess awavaa viongozi Yanga ataja yeye ni kocha mkubwa, zungumzia kocha Simba kuifundisha Yanga
KOCHA Yanga Princess awavaa viongozi Yanga ataja yeye ni kocha mkubwa, zungumzia kocha Simba kuifundisha Yanga
GSM yamalizana na kiungo fundi, mambo mawili yamuondoa Barbara Simba, ndani ya Spoti Xtra Jumapil
MASHABIKI Yanga waigomea Simba kumsajili Manzoki
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia amewakabidhi Kombe Mabingwa wa 3rd TFF Media Day Bonanza 2022 Uhuru Media na kuweka wazi kuwa wakati ujao kutakuwa na maboresho zaidi. Uhuru Media imepata ushindi huo kwa kuwatungua bao 1-0 Online Media kwenye Bonanza ambalo limefanyika Uwanja wa Gwambina. Moja ya fainali iliyokuwa…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya kuwakabili wapinzani wake Eagle kwenye mchezo wa raundi ya Pili Kombe la Shirikisho yapo tayari. Hawa ni Wajeda wanakabiliana na Simba ambayo iliukosa ubingwa huo mwaka jana 2021 na mabingwa walikuwa ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Simba haijawa na mwendo…
ISHU ya kiungo Mganda kugomea mkataba Yanga ipo hivi
Kila mmoja ana ndoto kubwa ya kumiliki vitu vizuri, lakini vikwazo vya Maisha na bajeti kubana hukwamisha ndoto ya wengi kumiliki vitu wanavyovitaka, kwa kulitambua hili kampuni ya Meridianbet waliamua kurahisha mipango yako, kwenye promosheni ya shinda TV ukibeti na kitochi. Ilichukua siku kadhaa mpaka kumpata Bingwa wa kubeti na kitochi mwanafamilia wa Meridianbet anayejulikana…
JEMBE aichambua Simba ya zamani, rekodi bado haijavunjwa
SALEH Jemba amvaa kipa Namungo,amewafungisha, aichambua Yanga
EDNA Lema aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga Princess mchezo wake wa kwanza akiwa nyumbani alipoteza mchezo huo na maneno yake ya mwisho aliweka wazi kuwa mpango kazi uligoma. Desemba 8,2022 mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Uhuru na siku hiyohiyo, Lema na Mohamed Hussein walifungashiwa virago.
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Kali Ongala ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Azam Sports Federation leo dhidi ya Malimao. Huu ni mchezo wa raundi ya Pili ambapo Azam FC itakuwa mwenyeji kwenye mchezo wa leo Desemba 9 2022 unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku. Ongala amebainisha kuwa…
Ile Barabara ya kwenda fainali ya Kombe la Dunia sasa imekamilika mkandarasi aliyehusika kuijenga barabara hiyoni FIFA akishirikiana na wahandisi kutoka Qatar na mafundi walikuwa niwengi lakini wamebaki hawa Croatia vs Brazil, Uholanzi vs Argentina, Morocco vs Ureno na England vs Ufaransa. Fursa ya hela ipo Meridianbet Bonyeza hapa kuona odds za mechi hizi. Ndege…
KAULI ya Bobosi anayewindwa na Yanga kwa ajili ya kumpa dili kwenye dirisha dogo la usajili
SIKU sita tu.. Bonge la beki linakuja Simba, Azam wako siriazi kwa Fei Toto mjue, ndani ya Championi Ijumaa
NYOTA wa Yanga Fiston Mayele amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Kwa mujibu wa Kamati ya Tuzo ya TFF imeeleza kuwa haikumuhusisha kocha wa Azam FC kwa kuwa timu hiyo haikuwa na kocha mkuu kwa Novemba. Ikumbukwe kwamba Azam FC ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Kali Ongala ambaye…
HUYU hapa mwamba amemalizana na Simba kwa ajili ya kuwa kwenye kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa kwa sasa unasubiri ripoti ya benchi la ufundi ili kufanikisha mpango wa kusajili wachezaji wapya. Dirisha dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa wiki ijayo ambapo timu hupewa muda wa kuboresha nafasi ambazo wataona zinahitaji kuongezewa nguvu. Miongoni mwa wanaosakwa ndani ya Mtibwa Sugar ni kwenye eneo la ushambuliaji pamoja na…