MDAKA MISHALE NA AIR MAULA KIMATAIFA WAMEKIMBIZANA

MDAKA mishale wa Yanga, Djigui Diarra, kwenye anga la kimataifa amekimbizwa na Aishi Manula maarufu Air Manula wa Simba. Katika mechi nne za Ligi ya Mabingwa Afrika ambazo Yanga na Simba zimecheza msimu huu, Diarra katunguliwa mabao mawili, huku akiwa na clean sheet mbili. Alifungwa bao mojamoja dhidi ya Al Hilal nyumbani na ugenini kwenye…

Read More

BOFYA MARA MOJA TU, UIBUKE MSHINDI SIMU MERIDIANBET

Kila mmoja ni bingwa kwenye uwanja wake, na Meridianbet wanakupa nafasi ya kutamba kibingwa kwa kuibuka mshindi wa zawadi zao kibao. Meridianbet wamekusogezea ofa kubwa kwa mchezaji mpya kabisa wa Meridianbet, wakati wachezaji wakongwe wakiendelea kufurahia ofa lukuki kwenye ubashiri wao. Umewahi kukutana na Bonasi ya Ukaribisho Kubwa Kama Hii? Meridianbet pekee, wanakupa nafasi ya…

Read More

IKAWE KARIAKOO DABI YENYE UTULIVU MKUBWA

WAKATI mwingine furaha huwa inabebwa na maumivu jambo ambalo linafanya maisha yaendelee kuwa maisha hakuna namna ni hali halisi ilivyo. Ikiwa upo kwenye mazingira mazuri basi huo uzuri acha uendelee kunogeshwa na yale ambayo yatatokea ndani ya Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Simba. Hakika unatarajiwa kuwa…

Read More

HUYU HAPA AMEANDALIWA NA SIMBA KUIMALIZA YANGA

MENEJA wa Habari wa Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema wamempa jukumu mshambuliaji wao tegemeo Mzambia Moses Phiri la kuwalipua watani wao wa jadi, Yanga. Hiyo ni katika kuelekea mchezo wa raundi ya Kwanza ya Ligi Kuu Bara ambao utapigwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar. Mchezo huo muhimu kwa kila timu, Yanga…

Read More

WACHEZAJI YANGA WAMETOA AHADI HII KWA MABOSI

WACHEZAJI wa Yanga kwa pamoja wamewaahidi viongozi wa timu hiyo, kupambana kwa dakika 90 ili kuhakikisha wanarejresha imani ya mashabiki katika Kariakoo Dabi. Dabi hiyo inatarajiwa kuzikutanisha Simba dhidi ya Yanga katika mchezo wa raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara utakaochezwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Ni Jumatatu timu ilirejea kambini Kijiji…

Read More

JUMA MGUNDA ATAJA ANACHOJIVUNIA KUIKABILI YANGA

KOCHA Mkuu wa Simba, Juma Mgunda ametamba kuwa katika maisha yake ya soka hajawahi kuiogopa timu yoyote huku akitamba kuwa yupo tayari kwa ajili ya mapambano Kariakoo Dabi. Kariakoo Dabi hiyo inatarajiwa kupigwa Jumapili saa kumi na moja kamili jioni kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Mgunda ataingia uwanjani akiwa na…

Read More

YANGA V SIMBA, HAWA HAPA WAAMUZI

WAAMUZI wa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga v Simba wametangazwa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba 23, Uwanja wa Mkapa ambapo kiingilio kwa mzunguko ni 5,000. Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imemtaja Ramadhan Kayoko kuwa ni mwamuzi wa kati. Pia wengine ambao atafanya nao kazi kwenye mchezo huo…

Read More