FEISAL KUIBUKIA AZAM FC

NYOTA wa Yanga Feisal Salum anatajwa kumalizana na mabosi wa Azam FC ambao wanahitaji huduma yake. Nyota huyo anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Azam FC ambao wanahitaji kuboresha kikosi chao. Mabosi wa Yanga hivi karibuni waliweka wazi kuwa nyota huyo hawezi kusepa ndani ya kikosi hicho kutokana na mipango iliyopo ndani ya timu…

Read More

MIL 350 ZAMSHUSHA PACHA WA PHIRI SIMBA

SIMBA inatakiwa ivunje benki na kutenga kitita cha Sh 350Mil ili kufanikisha usajili wa straika wa Power Dynamo ya nchini Zambia, Kennedy Musonda ili kuwa pacha wa Mzambia mwenzake, Moses Phiri kikosini hapo. Zambia wanatokea wachezaji wawili tegemeo hivi sasa katika kikosi cha Simba ambao ni kiungo Clatous Chama na Moses Phiri anayecheza nafasi ya…

Read More

MASTAA HAWA YANGA WAMEKALIA KUTI KAVU, MMOJA AONGEZWA KIKOSINI

KWENYE orodha ya mastaa wanaotajwa kuwekwa kwenye hesabu za kuondolewa ndani ya Yanga ni pamoja na Gael Bigirimana, Heritier Makambo,Tuisila Kisinda. Ni majina mawili yataondolewa Yanga kwa wachezaji wa kigeni ili kupata wawili watakaoingia kwenye kikosi cha kwanza kwa sababu idadi ya nyota 12 inayohitajika imetimia. Ni nyota wawili ambao wanatarajiwa kurejea kikosi cha kwanza…

Read More

SIMBA QUEENS YAGAWANA POINTI NA YANGA PRINCESS

NYOTA Vivian Corazone Aquino ambaye alianza kusugua benchi kwenye dabi ya Wanawake limetosha kuipa pointi moja Simba Queens ilikuwa dakika ya 59. Baada ya dakika 90 kukamilika kwenye mchezo wa leo Desemba 22,2022 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba Queens 1-1 Yanga Princess. Vivian aliweka mzani sawa kipindi cha pili na kufuta bao matata…

Read More

YANGA KAZI INAENDELEA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameweka wazi kuwa mzunguko wa pili utatoa dira ya wao kufanikisha malengo ya kutetea taji hilo. Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo bora wa kupata matokeo licha ya kupoteza mchezo mmoja kati ya 17 ilipotunguliwa na Ihefu mabao 2-1. Kwa sasa ipo kwenye maandalizi kuelekea kwenye mchezo wao dhidi…

Read More

GEITA GOLD KASI YAO DAKIKA 180 IMEKUWA NGUMU

BAADA ya kucheza mechi 17, Geita Gold wanafikisha kibindoni jumla ya pointi 23 ndani ya Ligi Kuu Bara. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 7 huku Azam FC ikiwa nafasi ya tatu na kibindoni ina pointi 38 na zote zipo ndani ya 10 bora kweye ligi. Ndani ya daika 180 kwenye mechi mbili wakiwa nyumbani wamekwama…

Read More