Sports

FEISAL KUIBUKIA AZAM FC
NYOTA wa Yanga Feisal Salum anatajwa kumalizana na mabosi wa Azam FC ambao wanahitaji huduma yake. Nyota huyo anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Azam FC ambao wanahitaji kuboresha kikosi chao. Mabosi wa Yanga hivi karibuni waliweka wazi kuwa nyota huyo hawezi kusepa ndani ya kikosi hicho kutokana na mipango iliyopo ndani ya timu…

CHUMA CHA KAZI MLANGONI SIMBA, LUIS AIKUBALI OFA NONO YANGA
CHUMA cha kazi mlangoni Simba, Luis aikubali ofa nono Yanga SC ndani ya Championi Jumamosi

VIDEO: JEMBE AMVAA MWAMUZI KAGERA SUGAR V SIMBA/JOB KUSAJILIWA MSIMBAZI
LEGEND kwenye masuala ya habari za michezo Bongo, Saleh Jembe amemzungumzia mwamuzi wa mchezo wa Kagera Sugar 1-1 Simba, ishu ya Job kusajiliwa Simba

FIFA INACHUNGUZA SALT BAE ‘ALIVYOFIKA UWANJANI’ BAADA YA FAINALI
FIFA inachunguza jinsi mpishi maarufu Salt Bae na watu wengine kadhaa walipata “nafasi isiofaa” kufika uwanjani mwishoni mwa fainali ya Kombe la Dunia nchini Qatar. Salt Bae, mpishi wa Uturuki ambaye jina lake halisi ni Nusret Gokce, alionekana katika picha akiwa ameshika na kubusu kombe la Kombe la Dunia akisherehekea na wachezaji wa Argentina baada…

MIL 350 ZAMSHUSHA PACHA WA PHIRI SIMBA
SIMBA inatakiwa ivunje benki na kutenga kitita cha Sh 350Mil ili kufanikisha usajili wa straika wa Power Dynamo ya nchini Zambia, Kennedy Musonda ili kuwa pacha wa Mzambia mwenzake, Moses Phiri kikosini hapo. Zambia wanatokea wachezaji wawili tegemeo hivi sasa katika kikosi cha Simba ambao ni kiungo Clatous Chama na Moses Phiri anayecheza nafasi ya…

SAIDO APITISHWA SIMBA, ‘SEMAJI LA CAF’ LAFUNGUKA UWEZO WAKE
MTAALAMU wa mipira iliyokufa ndani ya kikosi cha Geita Gold, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, amekubalika ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Juma Mgunda. Saido raia wa Burundi, amekuwa akitajwa kuwa kwenye hesabu za kutua Simba ambao wanahitaji huduma yake kwenye dirisha dogo la usajili lililofunguliwa Desemba 16, mwaka huu ili kuongeza nguvu kwenye eneo…

JEMBE LINALOWINDWA NA SIMBA, YANGA DILI LAKE LIMEFIKIA HAPA
Franis Kazadi aliyekuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo dili lake linatajwa kubuma katika mitaa hiyo. Nyota huyo raia wa DR Congo alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za kuibukia kati ya Simba na Yanga ambao walikuwa wanasaka saini yake. Ni Simba walikuwa wanapewa nafasi kubwa ya kupata saini ya mshambuliaji huyo ambaye aliwahi kukipiga ndani…

MASTAA HAWA YANGA WAMEKALIA KUTI KAVU, MMOJA AONGEZWA KIKOSINI
KWENYE orodha ya mastaa wanaotajwa kuwekwa kwenye hesabu za kuondolewa ndani ya Yanga ni pamoja na Gael Bigirimana, Heritier Makambo,Tuisila Kisinda. Ni majina mawili yataondolewa Yanga kwa wachezaji wa kigeni ili kupata wawili watakaoingia kwenye kikosi cha kwanza kwa sababu idadi ya nyota 12 inayohitajika imetimia. Ni nyota wawili ambao wanatarajiwa kurejea kikosi cha kwanza…

STARAIKA MPYA AIKAMUA YANGA 700 M, BALAA, MANZOKI AUMIA CHINA
STARAIKA mpya aikamua Yanga 700 m, balaa, Manzoki aumia China ndani ya Championi Ijumaa.

SIMBA QUEENS YAGAWANA POINTI NA YANGA PRINCESS
NYOTA Vivian Corazone Aquino ambaye alianza kusugua benchi kwenye dabi ya Wanawake limetosha kuipa pointi moja Simba Queens ilikuwa dakika ya 59. Baada ya dakika 90 kukamilika kwenye mchezo wa leo Desemba 22,2022 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba Queens 1-1 Yanga Princess. Vivian aliweka mzani sawa kipindi cha pili na kufuta bao matata…

VIDEO:JOB: HATA MAYELE ANAWEZA KUONDOKA YANGA
JOB atoboa usajili wa wachezaji Yanga na wale watakaochwa kwenye dirisha dogo huku akibainisha kwamba hata Mayele anaweza kuondoka Yanga

KUWA BINGWA KWA KUCHEZA SLOTI YA ODD ONE OUT KUTOKA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!
Sloti ya Odd One Out Kama wewe ni shabiki wa sloti za kizamani ila zinazokupa ushindi murua basi, mchezo huu wa Odd One Out kutoka Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet utakuwa sahihi kabisa kwa ajili yako kwani ina muonekano wa kuvutia sana! Kupitia sloti hii, Meridianbet inakupa njia 243 za kutengeneza ushindi, ushindwa vipi kuwa…

VIDEO:SIMBA: SIO SHWARI,MFUMO WA MGUNDA WACHAMBULIWA
VIDEO Simba sio shwari, mfumo wa Mgunda wachambuliwa

KWA KASI YA YANGA, SIMBA WAJIPANGE
KWA kasi ya Yanga, Simba wajipange, ndani ya Spoti Xtra Alhamisi

YANGA KAZI INAENDELEA
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameweka wazi kuwa mzunguko wa pili utatoa dira ya wao kufanikisha malengo ya kutetea taji hilo. Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo bora wa kupata matokeo licha ya kupoteza mchezo mmoja kati ya 17 ilipotunguliwa na Ihefu mabao 2-1. Kwa sasa ipo kwenye maandalizi kuelekea kwenye mchezo wao dhidi…

GEITA GOLD KASI YAO DAKIKA 180 IMEKUWA NGUMU
BAADA ya kucheza mechi 17, Geita Gold wanafikisha kibindoni jumla ya pointi 23 ndani ya Ligi Kuu Bara. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 7 huku Azam FC ikiwa nafasi ya tatu na kibindoni ina pointi 38 na zote zipo ndani ya 10 bora kweye ligi. Ndani ya daika 180 kwenye mechi mbili wakiwa nyumbani wamekwama…