
VIDEO:ISHU YA GARI LA SIMBA KURUDI KINYUMENYUME IPO HIVI
GUMZO eneo liliporudi basi la Simba, Jembe atinga kujionea, afichua mapya
GUMZO eneo liliporudi basi la Simba, Jembe atinga kujionea, afichua mapya
KAZI kubwa inatarajiwa kufanyika leo Uwanja wa Mkapa kwa Dabi ya Mzizima kati ya Simba v Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Unakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana baada ya ule uliopita wa mzunguko wa kwanza ubao kusoma Azam FC 1-0 Simba na kuwafanya Simba kuyeyusha pointi tatu muhimu. Kocha Mkuu…
UMESIKIA hiyo, thamani ya staa wa Manchester City, Erling Haaland kwa sasa ni euro bilioni 1. Haya yameelezwa na wakala wa staa huyo, Rafaela Primenta ambaye anamsimamia Haaland na mastaa wengine akiwemo Paul Pogba, Marco Verratti, Gianluigi Donnarumma, Matthijs de Ligt. Staa huyo ndani ya Manchester City kwenye Premier msimu huu amefanikiwa kufunga mabao 26,…
SAPRAIZI za kutosha zilijiri wikiendi iliyopita ndani ya ligi tano bora Ulaya. Hii ni kwa namna mambo yalivyoonekana katika viwanja tofauti kwenye ligi za Bundesliga, La Liga, Serie A, Premier League na Ligue 1. Huko Ulaya vita ilikuwa kali lakini kuna mastaa walionekana kuendelea kutisha kwa kuzibeba timu zao kama Marcus Rashford, Victor Osimhen, Kylian…
WEKA ngoma ngumu Wananchi wanaicheza bila hofu kwa kuwa wapo nyumbani na burudani unapata bila tabu kwani Wananchi wakiamua hawashindwa. Ilikuwa hivyo dhidi ya TP Mazembe juzi Jumapili. Mpanga mipango alikuwa ni Kocha Nasreddine Nabi aliyeshuhudia dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 3-1 TP Mazembe ukiwa ni mchezo wa Kundi D katika…
YANGA SC yamteka winga TP Mazembe, mechi ya heshima Simba v Azam FC ndani ya Spoti Xtra Jumanne
Hakikisha unafuata haya ukitaka kushinda kirahisi kwenye mechi za leo za UCL ndani ya Meridianbet, mabingwa wa ODDS kubwa na Kasino ya Mtandaoni kwa mara nyingine wametoa machaguo kibao, takwimu za kila timu na odds kubwa. Bashiri mubashara kupitia duka la ubashiri la Meridianbet. ODDS kubwa za Jumanne 21/2/2023 Huenda ukawa unajiuliza sana Vijana wa…
NABI afichua siri ya kuwafunga TP Mazembe Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika
Mwezi wa Pili umekuwa mwezi mzuri sana, ambapo Meridianbet imetangaza na kuwapongeza washindi wawili (2) waliojishindia mamilioni ya pesa jana na kupata ODDS KUBWA kutoka katika kampuni hiyo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator na Roulette– Chagua Tukupe. Mshindi wa kwanza yeye aliweka mkeka mrefu wa takribani wiki moja…
MASHABIKI mnastahili pongezi kwa namna ambavyo mmekuwa bega kwa bega na wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa. Tunaona kwenye kila hatua mmekuwa pamoja na timu pale zinapofanya vizuri mnafurahi pamoja na pale zinaboporonga mnatoa ushauri kwa viongozi. Kuna mengi ya kujifunza kwa mechi za kimataifa ikiwa hata namna ya ushangiliaji pamoja na kutokata tamaa…
KWANI mlishindwaje? Simba yaweka rekodi mbovu CAF ndani ya Championi Jumatatu.
YANGA imesepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya TP Mazembe. Ikiwa Uwanja wa Mkapa ubao umesoma Yanga 3-1 TP Mazembe kwenye mchezo wa pili hatua ya makundi kimataifa. Ni Kennedy Musonda alifungua ukurasa wa mabao dakika ya 6 kamba ya pili Mudhathir Yahaya ile ya tatu mali ya Tuisila…
KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa maandalizi ambayo wanafanya kwa sasa ni kuelekea mchezo wao dhidi ya Simba. Azam FC inatarajiwa kumenyana na Simba, Februari 21 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili wa ligi. Ongala amesema kuwa wachezaji hawana hofu na mechi kubwa zaidi ya kuwa na hamasa…
DAKIKA 45 bora kwa Yanga kutokana na kucheza soka la kushambulia na utulivu mkubwa dhidi ya TP Mazembe. Ni uhakika kusepa na milioni 10 ambazo ni zawadi kutoka kwa Mama ambaye aliahidi kutoa kila M 5 kwa bao moja kwenye anga za kimataifa. Ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 2-0 TP Mazembe ambao hawaamini…
HIKI hapa kikosi cha Yanga kitakachoanza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe, Uwanja wa Mkapa Diarra Djuma Shaban Joyce Lomalisa Bakari Mwamnyeto Dickson Job Khalid Aucho Jesus Moloko Yannick Bangala Fiston Mayele Mudhathir Yahya Kennedy Musonda Akiba Metacha Bacca Kibwana Mauya Sure Boy Farid Kisinda Aziz KI Clement Mzize Tags # kitaifa