
SIMBA YATUPA DONGO YANGA,MAYELE ATUMA SALAMU
SIKU 6 kabla Robertinho atupa dongo zito Yanga, Mayele atuma salamu nzito Simba ndani ya Championi Jumatatu
SIKU 6 kabla Robertinho atupa dongo zito Yanga, Mayele atuma salamu nzito Simba ndani ya Championi Jumatatu
ZAWADI ya Pasaka kwa Wanaruagwa inatarajiwa kutolewa saa 3:00 usiku Uwanja wa Majaliwa. Msako wa pointi tatu kati ya Namungo dhidi ya Mbeya City hatma yake ni zawadi kwa mashabiki wao. Wakati Namungo ikishuka kusaka pointi tatu dhidi ya Mbeya City itakuwa imeshajua ilichotokea kwa mashabiki wa timu nyingine kipi watakuwa wamepewa. Ipo wazi kwamba…
MAKAPU afungukia ishu ya ugali na sukari Fei Toto
KIKOSI cha Simba kimewasili Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate Mbeya Jumatatu, Aprili 9,2023. Simba imetoka kupata ushindi wa mabao 5-1 Ihefu kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali. Mchezo huo wa ligi utakuwa na ushindani mkubwa…
Mdhamini Mkuu wa KMC FC inayoshiriki Ligi kuu ya NBC, Meridianbet Tanzania wameahidi kutoa Tsh 500,000/= kwa kila goli ambalo klabu hiyo itapata katika michezo ya ligi kuu iliyosalia ikiwa na lengo la kutoa motisha kwa wachezaji kupambana zaidi. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator na Roulette. Akizungumza na…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
YANGA imetinga hatua ya nusu fainali ya Azam Sports Federation kwa ushindi dhidi ya Geita Gold. Dakika 90 zimekamilika ubao unasoma Yanga 1-0 Geita Gold na ni kipindi cha pili wameokota nyavuni bao hilo. Ni Fiston Mayele dakika ya 57 Uwanja wa Azam Complex limeivusha Yanga mpaka hatua ya nusu fainali itamenyana na Singida Big…
UBAO wa Uwanja wa Azam Complex mchezo wa hatua ya robo fainali Kombe la Azam Sports Federation ngoma ni nzito. Hakuna mbabe ambaye amepata bao la kuongoza ubao unasoma Yanga 0-0 Geita Gold. Moja ya mchezo ambao una ushindani mkubwa ambapo ni nyota Clement Mzize pekee ameonyeshwa kadi ya njano. Kadi hiyo imezua maswali kutokana…
UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kwenye hatua ya robo fainali watafanya kweli kama ilivyokuwa katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Imemaliza mwendo hatua ya makundi ikiongoza kundi D na kibindoni ina pointi 13 mchezo wake wa mwisho ilikuwa dhidi ya TP Mazembe iliposhinda kwa bao 0-1 ikiwa ugenini Meneja wa Yanga, Walter…
SIMBA kupangwa na Waydad jembe afichua namna ambavyo mpira wa Tanzania umekuwa na kuwapongeza viongozi wa Yanga na Simba
HAKUKUWA na usalama mkubwa kwa Polisi Tanzania walipokuwa ndani ya Uwanja wa Liti baada ya kuacha poiti zote tatu. Ni majanga matupu kwa Polisi Tanzania wanaotafuta matumaini ya kucheza mchezo wa mtoano na kujinasua kutoka kwenye nafasi ya mwisho kwenye msimamo. Aprili 7 ubao ulisoma Singida Big Stars ubao ulisoma Singida Big Stars 3–0 Polisi…
AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Mabao ya Issah Ndala dakika ya 39 na lile la pili ni mali ya Idd Suleiman dakika ya 60. Bao la Mtibwa Sugar dakika ya 75 walikwama kuweka usawa mpaka ilipogota dakika ya 90 kwenye mchezo…
BAADA ya kufanikiwa kukata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali Azam Sports Federation Kocha Mkuu wa Singida Big Stars Hans Pluijm amesema kuwa iwe Yanga ama Geita Gold wapo tayari kuwakabili. Singida Big Stars ilipata ushindi dhidi ya Mbeya City kwa mabao 4-1 mchezo war obo fainali uliochezwa Uwanja wa Liti. Kocha huyo amebainisha…
KWA nyundo hizi 5 Rivers wamelala Yoo, Mbrazil Simba awatega Waarabu ndani ya Championi Jumamosi
SIMBA inatinga hatua ya nusu fainali Azam Sports Federation kwa ushindi wa 5-1 Ihefu. Ni mchezo ambao umechezwa Uwanja wa Azam Complex huku ukishuhudia matumizi makubwa ya nguvu kwa wachezaji wa pande zote mbili. Mabao ya Simba yamepachikwa na Jean Baleke ambaye ametupia mabao matatu kwenye mchezo wa leo. Saido Ntibanzokiza katupia bao moja kipindi…
UWANJA wa Azam Complex ubao unasoma Simba 4-0 Ihefu ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali Azam Sports Federation. Mabao ya Simba ymepachikwa na Jean Baleke ambaye ametupia mabao matatu kwenye mchezo wa leo. Bao moja limefungwa na Saido Ntibanzokiza kipindi cha kwanza. Ngoma ilianza na Baleke dakika ya 2,15 na 27 huku lile…
Aishi Manula yupo langoni leo kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali Azam Sports Federation dhidi ya Ihefu Israel Mwenda Mohamed Hussein Onyango Joash Henock Inonga Erasto Nyoni Clatous Chama Mzamiru Jean Baleke Ntibanzokiza Kibu D