
VIDEO:JEMEDARI KUHUSU SIMBA LEO KWA MKAPA KAZI IPO
MCHAMBUZI Jemedari amezungumzia mechi ya leo anga la kimataifa Simba v Raja Casablanca
MCHAMBUZI Jemedari amezungumzia mechi ya leo anga la kimataifa Simba v Raja Casablanca
KUELEKEA kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya Makundi kesho Februari 19,2023 uongozi wa Yanga umewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo huo wa kimataifa wa pili wakiwa wametoka kupata maumivu kwenye mchezo wa kwanza ugenini. Ni US Monastir 2-0 Yanga…
NYIENYIE Hamuogopi, Mazembe waingia ubaridi, wagomea basi ndani ya Championi Jumamosi.
Wikiendi hii Meridianbet wanakupa fursa ya kutamba baada ya kukuwekea odds kubwa katika michezo mbalimbali ambayo itakwenda kupigwa wikiendi hii . Mabingwa wa michezo ya kubashiri wamemwaga odds za kutosha ni wewe tu ushindwe kutamba. Mechi za Jumamosi 18 Febuari Klabu ya Arsenal ambayo imetoka kupoteza dhidi ya Man City katikati ya wiki itakwenda kwenye…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kilakitu kinakwenda sawa na wachezaji wote wapo tayari. “Wachezaji wetu ambao tuliwakosa kwenye mchezo uliopita dhidi ya…
BEKI wa kati wa Yanga, Yannick Bangala amesema wanafahamu mchezo wao dhidi ya TP Mazembe utakuwa na upinzani mkubwa lakini watahakikisha kuwa wanapambana ili waweze kupata matokeo ya ushindi wakiwa nyumbani. Bangala amewahi kukipiga AS Vita anawafahamu vyema TP Mazembe jambo ambalo ni faida kubwa kwa Yanga kuelekea katika mchezo huo. Yanga Jumapili February 20…
WINGA wa zamani wa Yanga na TP Mazembe, Chiko Ushindi Wakubanza, amesema kama Yanga watapambana zaidi na kucheza kwa moyo mmoja, basi watapata matokeo mazuri mbele ya TP Mazembe, huku akibainisha kwamba. Ushindi ambaye aliitumikia Yanga msimu uliopita kwa mkopo akitokea TP Mazembe, kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Don Bosco ya nchini DR Congo…
MASHINDANO ya vijana wa shule za Afrika Mashariki (CECAFA) yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi rasmi leo Ijumaa katika Uwanja wa Azama Complex Chamanzi. Mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa siku tatu yanashirikisha jumla ya nchi nane kutoka Afrika mashariki na kati huku Tanzania akiwa ndio mwenyeji wa michuano hiyo. Hizi ni mechi za Kanda za kufuzu…
DAWA ya Waarabu imepatikana, kazi kwa Mkapa Jumamosi
KUHUSU Kurudi, ishu ya Yanga, Feisal ipo hivi, mabosi wawaweka kitimoto Baleke,Chama ndani ya Championi Ijumaa
KIPA namba tatu wa Yanga Aboutwalib Mshery atakuwa nje kwa muda wa msimu ambao umebaki kutokana na uendelea kupambania kurejea kwenye ubora wake, kila la kheri mpambanaji
KOCHA wa Simba, Mbrazil Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amefunguka kuwa, watakuja kuzifunga timu zote kwenye Uwanja wa Mkapa wakianza na Raja Casablanca kwa kuwa wachezaji wake muhimu akiwemo Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ watakuwa fiti. Robertinho ameweka wazi kuwa, kilichowafanya wafungwe kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya wakiwa ugenini ni kukosa bahati…
KOCHA Mkuu wa TP Mazembe mwenye uraia wa Ufaransa, Franck Dumas amesema kuwa ubora wa wachezji wa Yanga kama Aziz Ki na Fiston Mayele ni sababu ya wao kuwa siriazi ili kupata matokeo. TP Mazembe wanatarajiwa kucheza na Yanga Jumapili katika Uwanja wa Mkapa ukiwa ndio mchezo wao wa kwanza ugenini mara baada ya kuanza…
KOCHA Mkuu wa Manchester City amekiongoza kikosi hicho kusepa na ushindi mbele ya Arsenal. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England licha ya kwamba walikuwa ugenini waliwashushia kichapo wenyeji wao na kusepa na pointi tatu mazima Februari 15,2023 na kuongoza ligi. Baada ya zile dakika 90 za jasho ubao wa Uwanja wa Emirates pale kwa washika…
SIMBA: Mwarabu anakufa nne, Yanga yaiwekea mtego TP Mazembe ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
Pata Odds kubwa na bomba kutoka Meridianbet mabingwa wa ubashiri na kasino ya mtandaoni, Leo Ligi ya Uropa na Europa Conference League zote zitaendelea kwa siku mbili Alhamisi na Ijumaa, mechi kubwa ni FC Barcelona vs Manchester Utd. Jiunge na Meridianbet upate odds kubwa, lakini pia kasino ya mtandaoni yenye michezo kama Poker, Aviator, Roulette…