YANGA:US MONASTIR WATATUAMBIA WALITUFUNGAJE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa Waarabu watwaambia waliwafungaje kwenye mchezo uliopita kutokana na mipango kazi inayoendelea ndani ya timu hiyo. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ipo hatua ya makundi inasaka pointi tatu ili kufikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali ina pointi 7 kwenye kundi D…

Read More

SIMBA WAIPIGIA HESAU ROBO FAINALI

BEKI mwenye uwezo wa kupandisha na kulinda lango la Simba, Shomari Kapombe ameweka wazi kuwa watapambana kufikia malengo ya kutinga hatua ya robo fainali. Simba ikiwa imecheza mechi nne za hatua ya makundi, Kapombe ameanza zote kikosi cha kwanza huku akishuhudia timu hiyo ikifungwa mabao manne na wao wakifunga mabao mawili. Mchezo wao dhidi ya…

Read More

RUVU SHOOTING:TUNACHUKUA POINTI KWENYE UGUMU

MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa mwendo wa mpapaso utaendelea kwenye mechi zilizobaki licha ya kuwa zitakuwa ngumu hawana mashaka. Timu hiyo haijawa kwenye mwendo mzuri Februari 17 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Nyankumbu ukisoma Geita Gold 3-2 Ruvu Shooting na Februari 24 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Moro ukisoma Ruvu…

Read More

KIMATAIFA MUHIMU KUUNGANA KUTUSUA

IKIWA watakuja wageni na kuondoka na ushindi nyumbani kweye hatua za makundi mechi za kimataifa ni maumivu makubwa kwelikweli. Hiana maana kwamba waohawana uwezo wa kushinda lakini ni namna ya uhitaji ulivyo mkubwa kwa sasa kwa kila timu hasa Simba na Yanga. Mechi za nyumbani kwa kila mmoja kwa sasa zimeshikilia maamuzi ambayo yataleta hatua…

Read More

KIUNGO WA KAZI AREJEA NDANI YA KIKOSI CHA SIMBA

KIUNGO wa kazi ndani ya Simba, Hassan Dilunga amerejea kwenye uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akipambania afya yake. Nyota huyo aliumia kwenye mazoezi wakati timu hiyo ilipokuwa kwenye maandalizi ya mechi zake za ushindani. Taarifa iliyotolewa na Simba imeeleza kuwa HD amerejea ndani ya kikosi hicho baada ya kupona. Hivi…

Read More