
MORRISON AWAVUTIA KASI GEITA GOLD
NYOTA Bernard Morrison tayari yupo ndani ya uwanja wa mazoezi kwa ajili ya mchezo ujao dhidi ya Geita Gold baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akipambania hali yake. Hakuwa sehemu ya kikosi kilichocheza hatua ya makundi na kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho kutokana na kutokuwa fiti. Yanga inayonolewa a Kocha Mkuu,…