VIDEO:KOCHA MPYA YANGA HUYU HAPA KUHUSU KAIZER CHIEFS

KOCHA Mkuu wa Yanga Migueli Gamondi amezungumzia kuhusu mchezo wa kesho dhidi ya Kaizer Chiefs. Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya SportPesa Wiki ya Mwananchi ikiwa ni maalumu kwa kuwatambulisha wachezaji wapya na wale waliokuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Yanga imekamilisha usajili wa wachezaji wazawa ikiwa ni pamoja na Jonas…

Read More

MKWARA WA SIMBA ISHU YA CHAMA UPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeibuka baada ya kukamilisha suala la kiungo wake Mzambia, Clatous Chama aliyegomea kambi ya nchini Uturuki kwa kutamka kuwa hawakuwa na hofu ya nyota huyo kutimka kikosini mwao. Hiyo ikiwa ni saa chache tangu kiungo huyo afikie makubaliano na klabu na kukubali kujiunga na kambi hiyo ya maandalizi ya msimu ujao iliyopo…

Read More

WALIOIVURUGA YANGA BADO WAPO SANA

NYOTA wawili walioivuruga rekodi ya Yanga kufikisha mechi 50 bila kufungwa ndani ya ligi bado wapo ndani ya Ihefu baada ya kuongezewa mkataba. Yanga ilicheza mechi 49 bila kufungwa kwenye mechi za ligi ilipokutana na Ihefu ilishindwa kupata sare ama ushindi zaidi ya kufungwa mabao 2-1 na kutibua rekodi hiyo iliyoandikwa na Yanga. Wafungaji kwenye…

Read More

MTU TATU NDANI YA SIMBA, KULA CHUMA

MTU tatu kwa mpigo zimetambulishwa ndani ya Simba rasmi baada ya kusaini dili jipya kuwa kwenye familia ya Msimbazi. Ni leo Julai 20 watatu wametangazwa kwa ajili ya kuwa ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Roberto Oliveira. Ni kiungo Idd Chilunda ambaye alikuwa ndani ya Azam FC lakini hakuongezewa mkataba wake kwa sasa…

Read More

YANGA HAWANA JAMBO DOGO BALAA LAO LINAENDELEA

NYOTA kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Pacome Zouzoua ni mali ya Yanga. Nyota huyo ametambulishwa kuwa ni njano na kijani Julai 19,2023. NI miongoni mwa nyota wa Yanga wanaotarajiwa kuonyesha makeke kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Kaizer Chiefs. Itakuwa Wiki ya Mwananchi Julai 22 2023 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni siku…

Read More

MWAMBA MWINGINE AMETAMBULISHWA HUKO

UONGOZI wa Dodoma Jiji umebainisha kuwa upo sokoni kimyakimya kwa ajili ya kuboresha timu hiyo na umekamilisha usajili wa nyota Idd Kipagwile aliyekuwa Polisi Tanzania. Kwa sasa timu zote Bongo zinaendelea na usajili ikiwa ni Yanga ambayo imemtambulisha mzawa mmoja pekee Nickosn Kibabage mpaka sasa ambaye alikuwa ndani ya Singida Fountain Gate. Mbali na Yanga…

Read More

SINGINDA FOUNTAIN GATE WAZINDUA UZI MPYA

KLABU ya Singida Fountain Gate imezidua uzi mpya kwa ajili ya msimu wa 2023/24 unaotarajiwa kuanza Agosti 15. Timu hiyo uzi wake mpya una nembo ya Singida Big Stars jina ambalo lilikuwa linatumiwa na timu hiyo msimu wa 2022/23 kabla ya kubadilishwa. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Singida Fountain Gate, Hussein Masanza amesema kuwa…

Read More

KIUNGO SIMBA MIKONONI KWA WAPELEKA MAUMIVU YANGA

KIUNGO Victor Ackpan raia wa Nigeria aliyekutana na Thank You ndani ya Simba anatajwa kuwa kwenye hesabu za mwisho kujiunga na Ihefu wapeleka maumivu kwa Yanga. Ikumbukwe kwamba Ihefu ni watibuaji wa rekodi ya Yanga msimu wa 2022/23 walipogotea kwenye mechi 49 bila kufungwa walipokutana na Ihefu walitibua mpango wao wa kufikia mechi ya 50….

Read More

JEMBE JIPYA LA YANGA LINA BALAA HILO

NI Mahlatse Manoka Makudubela ni nyota mwenye uwezo mkubwa akiwa ndani ya uwanja kutokana na kumiliki, kutoa pasi na chenga za kukera atakuwa Jangwani. Huyu ndiye atakayepewa namba sita ndani ya kikosi cha Yanga. Ikumbukwe kwamba jezi hiyo ilikuwa mikononi mwa Feisal Salum ambaye yeye msimu ujao hatakuwa ndani ya Yanga bali Azam FC. Nyota…

Read More

MASTAA WA UNYAMANI WAMEANZA KAZI UTURUKI

MASTAA wa kikosi cha Simba ambao wamejiunga na timu hiyo Julai 18 wameanza mazoezi na wachezaji wengine waliotangulia. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikosi hicho kimeanza maandalizi ikiwa ni kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba ni Yanga walitwaa ubingwa msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Ni Che Malone Fondoh,…

Read More

SAMATTA KWENYE CHANGAMOTO MPYA

MSHAMBULIAJI Mbwana Samatta ambaye akipata nafasi ya kuitwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars hupewa kitambaa cha unahodha ameweka wazi kuwa ana furahi kuanza kupata changamoto mpya. Nyota huyo atakuwa ndani ya Paok kwa ajili ya kupata changamoto mpya ndani ya msimu wa 2023/24. “Hello Paok ninafurahi kuwa hapa nina amini kwamba tutafanya kazi…

Read More

KIPA HUYU WA KAZI KWENYE RADA ZA SIMBA

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa wa kimataifa kuungana na timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki. Yanga mlinda mlango namba ni raia wa Mali ambaye anaitwa Djigui Diarra hivyo Simba ikipata saini yake anakwenda kuwa namba mbili. Namba moja kwa Simba ni mzawa Manula tofauti na Yanga ambapo namba moja…

Read More