
Sports


CHEZA MERIDIANBET KASINO USHINDE TSH 2,500,000/=
Shindano hili linakuletea furaha na zawadi bomba kutoka kwa Mascot na Meridianbet kasino ya mtandaoni! Shindano la Spring Mascot linafanyika kuanzia tarehe 21 hadi 27 Aprili kupitia kasino ya mtandaoni ambapo litakupa sababu halisi ya kwa nini Spring ni msimu mzuri zaidi. Furahia michezo iliyochaguliwa na shindania mgao wako wa TZS 2,500,000. JUMLA YA ALAMA…

VIDEO:SIMBA YAWACHAMBUA WAARABU WYDAD
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema mchezo wao dhidi ya Wydad ni kubwa na yenye hadhi ya kipekee na ukubwa wa mechi hiyo watu wanataka kumuona mnyama akirejea historia ya kuwavua ubingwa Zamalek

SEVILLA HAO NUSU FAINALI
KLABU ya Sevilla imetinga hatua ya nusu fainali Europa League kwa jumla ya ushindi wa mabao 5-2 Manchester United. Katika mchezo wa robo fainali wa pili wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Manchester United uliochezwa Aprili 20. Mabao ya Sevilla yalifungwa na Youssef En Nesyri ambaye alipachika mawili dakika ya 8,81 na moja…

MUZIKI WA YANGA WAITISHA RIVERS, YANGA YAIPA SIMBA MILIONI 188.9
Kutoka Nigeria….Muziki wa Yanga waitisha Rivers,Yanga yaipa Simba milioni 188.9 ñdani ya Championi Ijumaa

VIDEO”ALLY KAMWE AWACHAMBUA WAPINZANI WAO RIVERS
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amewachambua wapinzani wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ambao ni Rivers United. Msafara wa Yanga tayari umeanza safari mapema leo Aprili 20 2023 kuwafuata wapinzani hao Nigeria

Kampuni ya Meridianbet Yazindua Duka jipya la Ubashiri Vingnguti Relini
Kampuni ya Meridianbet leo hii imefika katika eneo la Vingnguti relini na kuweza kuzindua duka jipya la ubashiri ambalo litawafanya wakazi wa eneo hilo waweze kubashiri kwa urahisi zaidi. Lakini pia wameletewa mashine mpya zenye ubora kutoka Ulaya hayo yote yakiwa na mambo ya Meridianbet. Meridianbet wameona uhitaji mkubwa wa kuzindua maduka karibu kila…

MAYELE, MUSONDA WAPEWA MAAGIZO MAALUM YANGA
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema washambuliaji wake ikiwa ni Fiston Mayele na Kennedy Musonda wanapaswa kuongeza umakini kwenye kutumia nafasi wanazopata ili kufunga mabao mengi. Yanga ni vinara wa Ligi Kuu Bara msimu huu, kibindoni wana pointi 68 baada ya kucheza mechi 26, tofauti ya pointi tano na watani zao wa jadi Simba…

AKILI ZA SIMBA NI KWA WAARABU WYDAD
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari amesema kuwa kwa sasa ambacho wanakifikiria ni ushindi dhidi ya Wydad ambao ni hatua ya robo fainali. Tayari wapinzani hao wamewasili Tanzania Aprili 19 wakiwa kamili kwa ajili ya mchezo huo ambao utachezwa Uwanja wa Mkapa, Jumamosi. “Hakuna jambo lingine lolote tunaweza kuwaza kwa sasa zaidi ya kumfunga…

YANGA MAFIA, CHAMA BALEKE KIKAANGONI SIMBA
YANGA Mafia yaenda Nigeria na Siri za kutinga nusu fainali,Chama,Baleke kikaangoni Simba

AZAM FC HESABU KWA RUVU SHOOTING
AZAM FC hesabu zao kwa sasa ni mchezo ujao dhidi ya Ruvu Shooting ambao unatarajiwa kuchezwa Morogoro. Katika mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara, Azam FC iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar. Kituo kinachofuata ni Aprili 22 ukiwa ni mchezo wa kufunga mwezi kuukaribisa Mei. Kali Ongala, Kocha Mkuu wa Azam…

YANGA KUWAFUATA RIVERS UNITED KAMILIKAMILI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa hatua a robo fainali dhidi ya Rivers United ambao ni wa Kombe la Shirikisho Afrika. Ni mchezo wa hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya timu hiyo kutinga wakiwa ni vnara wa kundi. Ally Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga…

MGUNDA: BAHATI YAO, YANGA WANGEKULA ZA KUTOSHA
KOCHA Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda, ametamba gemu plani yao ndio imewapa matokeo mazuri ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga akisema kwamba ushindi huo ni mdogo kwani kama washambuliaji wao wangekuwa makini, basi Yanga wangekufa nyingi. Simba juzi ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa…

HUYU HAPA MWAMUZI MECHI YA SIMBA V YANGA
JONESIA Rukya ametangazwa kuwa mwamuzi wa kati mchezo wa Ligi Kuu Bara Kati ya Simba v Yanga unaotarajiwa kuchezwa kesho Aprili 16, Uwanja wa Mkapa. Huo ni mchezo wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa Kwa timu zote mbili kusaka ushindi. Jonesia kutoka Kagera atashirikiana na Mohamed Mkono ambaye atakuwa line 1, Janeth…

VIDEO:HUYU HAPA NAHODHA SIMBA KUHUSU YANGA KWA MKAPA
MOHAMED Hussein, nahodha wa Simba amefungukia kuhusu mchezo wao dhidi ya Yanga kesho, Uwanja wa Mkapa

SIMBA WAIFUNGIA KAZI YANGA, WAWEKA MKWANJA WA MAANA
Mabosi wa Simba wameamua kuifungia kazi Yanga inayonolewa na Kocha, Nasreddine Nabi kwani wamesema hawataki chochote zaidi ya ushindi katika Kariakoo Dabi. Kutokana na jambo hilo tayari wameandaa bonasi ya kutosha ya zaidi ya Sh 300 Mil kwa wachezaji ili kufanikisha ushindi Jumapili. Katika mchezo huo, Simba wataingia wakiwa na hasira ya kufungwa mara mbili…

BEKI HUYU YANGA KUIKOSA DABI KWA MKAPA
BEKI wa Yanga, Mamadou Doumbia raia wa Mali hatakuwa sehemu ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa kesho. Sababu kubwa za beki hilo ambalo lilichomolewa kwenye mashindano ya ndani maarufu kama Chan akiwa na timu ya taifa ya Mali ni kutangulia mbele za haki kwa baba yake mzazi. Taarifa rasmi iliyotolewa…