GAMONDI: WACHEZAJI MUHIMU KUONGEZA UMAKINI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wanahitaji kuongeza umakini katika kutimiza majukumu yao yote. Timu ya Yanga imeweka kambi AVIC Town ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Yanga ni mabingwa watetezi baada ya kutwaa taji la ligi msimu wa 2022/23 pia wana kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Agosti…

Read More

SIMBA TAMBO TUPU MSIMU MPYA, KOCHA ATAMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaondoa presha mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia muda walioupata katika kambi yao nchini Uturuki, umewasaidia kuwajenga. Ipo wazi kuwa Simba wanatambua kwamba ni Yanga walitwaa taji la ligi msimu wa 222/23 hivyo kocha huyo amewaandaa vizuri wachezaji wa timu huyo kwa ajili ya msimu ujao. Simba…

Read More

MASTAA WAPYA YANGA SKUDU, MAXI WAPEWA MZIGO MZITO

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele, amesema anaamini usajili uliofanywa na timu hiyo, unatosha kabisa kutetea makombe yote ya ndani katika msimu ujao wa 2023/24. Yanga ina kibarua kigumu cha kutetea makombe yake ya Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho la Azam Sports ambayo mshambuliaji huyo alihusika kuyabeba msimu wa…

Read More

VIDEO: ISHU YA YANGA KUJA NA MPANGO WAO SIMBA WACHARUKA

KUELEKA kwenye Simba Day Agosti 6 2023 Dr Shabiki wa Simba amebainisha kuwa Yanga wana mpango wa kuvuruga tamasha hilo. Yanga imekamilisha jambo lao kwa kuwatambulisha wachezaji wapya kwa ajili ya kuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Yanga imewatambulisha Max Zengeli, Skudu ambao wanaingia kwenye kikosi cha Yanga inayonolewa na Miguel Gamondi….

Read More

STAA MPYA YANGA APIGA MKWARA HUU

NYOTA mpya ndani ya kikosi cha Yanga Maxi Zengeli ameweka wazi kuwa yeye sio mtu wa ahadi bali kazi itaongea zaidi uwanjani. Nzengeli ni ingizo jipya ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ni FC Maniema alikuwa akikipiga raia huyo wa DR Congo anavaa jezi namba 7 mgongoni kiungo huyo mwenye…

Read More

SPORTPESA NA SINGIDA FOUNTAIN GATE WAREJESHA KWA JAMII

SPORTPESA imeungana na Singida Fountain Gate FC kutembelea wodi ya Wamama Singida, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Singida katika maadhimisho ya Singida Big Day. Ipo wazi kuwa SportPesa ni wadhamini wakuu wa Singida Fountain Gate FC iliyokamilisha jambo lao la Singida Big Day Agosti 2 2023 Uwanja wa Liti, Singida. SportPesa wakiongozwa na Mwenyekiti…

Read More

RAIS SAMIA MGENI RASMI SIMBA DAY

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Simba Day. Tukio hilo la kutambulisha wachezaji pamoja na benchi la ufundi linatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa, Agosti 6 2023. Tayari Simba imetambulisha msanii mkubwa Afrika Mashariki, Ali Kiba ambaye aliwahi kuwa shabiki wa Yanga na sasa amehamia Simba huyu atakuwa…

Read More

VIDEO:TUNDA MAN AFUNGUKIA SIMBA DAY

MSANII Mkongwe Bongo Tunda Man ambaye ni shabiki wa Simba ameweka wazi kuwa kuelekea Simba Day kutakuwa na mengi mazuri hivyo mashabiki wajitokeze kwa wingi. Hili linakuwa tamasha la tatu kwa ukubwa Bongo baada ya Yanga kuanza kwenye Wiki ya Mwananchi kisha Singida Fountain Gate kufuata kwenye Singida Big Day. Yanga walifanya utambulisho wa wachezaji…

Read More

SIMBA YATAMBA NA NYOTA WAO WAPYA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa kazi kubwa watafanya kwa msimu mpya wa 2023/24 wana imani na wachezaji wao wapya pamoja na wale waliokuwa katika kikosi msimu wa 2022/23. Leo Agosti 3 mastaa wa Simba wanatarajiwa kuanza maandalizi kwa ajili ya Simba Day inayotarajiwa kuwa Agosti 6. Mastaa wapya ndani ya kikosi cha Simba ni pamoja…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE WAFANYA KWELI

SINGIDA Big Day 2023 imefana kutokana na mpangilio wa matukio na mashabiki kujitokeza kushuhudia burudani. Singida Fountain Gate wamefanya kweli kwa kupindua meza kibabe kwenye mchezo wao uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa. Katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki ubao baada ya dakila 90 umesoma Singida Fountain Gate 2-1 AS Vita. AS Vita kutoka DR Congo…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE YACHOMOA MAJEMBE YA YANGA NA SIMBA

SINGINDA Fountain Gate imewatambulisha majembe mapya yatakaokuwa ndani ya kikosi cha timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Miongoni mwa nyota wapya ni wale waliokuwa ndani ya Simba na Yanga kwa msimu wa 2022/23. Ukiweka kando Joash Onyango ambaye alikuwa ndai ya Simba pia wamemtambulisha mshambuliaji Habib Kyombo na amepewa jezi namba 10. Mwamba mwingine ni…

Read More