YANGA NA UBINGWA WA FA

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wachezaji wamejituma kucheza dhidi ya timu ngumu katika fainali. Yanga imeshinda dhidi ya Azam FC kwenye fainali ya Kombe la Azam Sports Federation. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani umesoma Azam FC 0-1 Yanga. Mtupiaji ni Kennedy Musonda dakika ya 14 akifunga bao pekee ambalo limedumu mpaka mwisho…

Read More

YANGA YATWAA TAJI LA FA MKWAKWANI

NAHODHA wa Yanga Bakari Mwamnyeto ameshuhudia ubao wa Uwanja wa Mkwakwani ukisoma Azam FC 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi kwa Yanga limepachikwa na Kennedy Musonda dakika ya 14 kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa. Mwamnyeto nahodha wa Yanga ametoka kushuhudia timu hiyo ikitwaa taji la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2022/23. Ni…

Read More

NTIBANZOKIZA ATWAA TUZO YAKE

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Saido Ntibanzokiza ametwaa tuzo ya mchezaji bora chaguo la mashabiki. Nyota huyo ni mchezaji bora kwa Mei baada ya kuwashinda washkaji zake wawili alioingia nao fainali. Ni Shomari Kapombe na Hennoc Inonga ambao hawa ni wataalamu kwenye eneo la ulinzi. Ntibanzokiza ndani ya Mei kwenye mechi mbili katupia jumla ya mabao…

Read More

AZAM FC 0-1 YANGA

KENNEDY Musonda nyota wa Yanga amepachika bao la kuongoza kwa Yanga kwenye mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation dhidi ya Azam FC. Dakika ya 14 bao hilo limepachikwa na raia huyo wa Zambia ambaye aliwazidi ujanja mabeki wa Azam FC na kuandika bao kwa Yanga. Uwanja wa Mkwakwani mashabiki wengi wamejitokeza kushuhudia mchezo wa…

Read More

SIMBA WAIFUNIKA YANGA, AZAM FC

MASTAA wa Simba wamewafunika watani zao wa jadi Yanga kwenye idadi ya hat trick ambazo wamefunga ndani ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Azam FC. Msimu wa 2022/23 ni mastaa saba walifunga hat trick huku ikiwa ni watatu kutoka Simba, wawili kutoka Yanga  mmoja ni mali ya Namungo inayotumia Uwanja wa Majaliwa na…

Read More

NTIBANZOKIZA NA TUZO MKONONI, MABAO SABABU

MKONONI ana tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu Bara kwa mwezi Mei baada ya kuwashinda nyota wawili alioingia nao fainali. Nyota huyo ni shuhuda wa watani zao wa jadi Yanga wakisepa na taji la ligi kwa msimu wa 2022/23 wakiwa na tofauti ya pointi tano. Anaitwa Saido Ntibanzokiza kiungo mshambuliaji wa Simba ambaye alitupia…

Read More

DUBE KAFUNGA KIBABE BONGO

WAKATI msimu wa 2022/23 ukifungwa mwamba Prince Dube kafunga kwa rekodi ya kusepa na mpira wake wa kwanza msimu huu kwenye ligi. Dube ambaye anatarajiwa kuwa miongoni mwa nyota watakaocheza fainali ya Azam Sports Federation dhidi ya Yanga alifunga mabao manne peke yake. Juni 12 Azam FC inatarajiwa kumenyana na Yanga kwenye fainali Uwanja wa…

Read More

YANGA WASEPA NA UBINGWA WAO WA LIGI KUU BARA

YANGA wamesepa na ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 wakiwa na pointi 78. Mchezo wa mwisho kwa msimu huu wameshuhudia ubao wa Uwanja wa Sokoine ukisoma Tanzania Prisons 0-2 Yanga. Ni mabao ya Fiston Mayele wa Yanga dakika ya 33 alipachika bao hilo akitumia pasi ya Sure Boy na bao la pili ni…

Read More

SIMBA YAICHAPA COASTAL UNION, SAIDO ATUPIA

KIKOSI cha Simba kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Coastal Union uliochezwa Uwanja wa Uhuru huku kikigotea nafasi ya pili vinara ni Yanga. Yanga ni namba moja kwenye msimamo wakiwa wamepata ushindi mbele ya Tanzania Prisons, Mbeya. Simba imekamilisha kazi yake kwa msimu wa 2022/23 ikiwa ni kupitia kwa Saido Ntibanzokiza aliyepachika mabao…

Read More

TANZANIA PRISONS YAPOTEZA MBELE YA YANGA

BAADA ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine umesoma Tanzania Prisons 0-2 Yanga. Kwenye mchezo wa leo wa kufunga msimu wa 2022/23 Nasreddine Nabi kocha wa Yanga alianza na kikosi chote cha kazi ikiwa ni pamoja na Joyce Lomalisa, Djigui Diarra. Ni bao la Fiston Mayele dakika ya 33 na lile la pili likifungwa…

Read More

TANZANIA PRISONS 0-1 YANGA

FISTON Mayele anachojua ni kufunga mengine weka kando kambani ni mabao 17 kwenye Ligi Kuu Bara. Ubao wa Uwanja wa Sokoine unasoma Tanzania Prisons 0-1 Yanga ikiwa ni mchezo wa ligi. Bao hilo amepachika dakika ya 33 akiwa ndani ya 18 akitumia pasi ya Sure Boy. Yanga leo watakabidhiwa ubingwa wao wakiwa ardhi ya Mbeya,…

Read More

SURE BOY KAIBUKIA MBEYA

KIUNGO wa Yanga, Salim Aboubhakar, ‘Sure Boy’ ameibukia ndani ya Mbeya kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23 akimpa mateso kipa wa Ligi Kuu Bara, Haroun Mandanda. Sure Boy ndani ya msimu wa 2022/23 alikuwa hajafunga bao wala kutoa pasi ya bao katika mechi 21 ambazo alicheza na kutumia dakika 1,363 kuvuja jasho uwanjani akiwa…

Read More

SIMBA: NTIBANZOKIZA ATAKUWA MFUNGAJI BORA

BOSI wa Simba kwenye idara ya Habari na Mawasiliano akiwa Ahmed Ally ameweka wazi kuwa suala lililobaki kwa sasa ni timu nzima kumsaidia Saido Ntibanzokiza kuwa mfungaji bora. Nyota huyo ametupia mabao 15 kwenye ligi ameachwa kwa bao moja na mfungaji namba moja Fiston Mayele ambaye yupo ndani ya Yanga akiwa na mabao 16. Leo…

Read More

VIGONGO VYA LIGI KUU BARA LEO HIVI HAPA

KIGONGO cha 30 kwa timu zote ndani ya Ligi Kuu Bara ni leo Juni 9,2023 mwisho wa ubishi kwenye vita ya ufungaji na zile ambazo zitacheza hatua ya mtoano. Kesi ya ubingwa imefungwa Yanga ni bingwa kwenye kiatu cha ufungaji bora Fiston Mayele wa Yanga anaongoza akiwa na mabao 16 na Saido Ntibanzokiza wa Simba…

Read More