GAMONDI MASTA KUWABADILISHIA MBINU WAPINZANI

MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa anaingia uwanjani kulingana na aina ya wapinzani ambao atakutana nao ndani ya dakika 90. Novemba 5 Yanga ilikomba pointi tatu mazima dhidi ya watani zao wa jadi Simba kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 1-5 Yanga. Pointi tatu kibindoni na…

Read More

PESA ZINAMIMINIKA LEOUSIKU MECHI ZA UEFA, PIGA MKWANJA

Habari mteja wetu pendwa wa Meridianbet, kama kawaida leo hii usiku wa Ulaya unaendelea huku Meridianbet wakiwa tayari wamekuwekea mechi za kupiga mkwanja pamoja na ODDS za kibabe hapo. Unachotakiwa kufanya ni kuingia Meridianbet haraka na kuanza kubashiri. Kaatika dimba la San Siro ambapo AC Milan atakuwa mwenyeji wa PSG. Milan yupo nafasi ya mwisho…

Read More

BREAKING: MR OBJECTIVE SIMBA AFUNGASHIWA VIRAGO

RASMI Roberto Oliviera aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba amefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na timu hiyo pamoja na kocha wa viungo Corneille Hategekimana. Timu hiyo itakuwa chini ya Daniel Cadena akishirikiana na Seleman Matola. Mchezo wa mwisho kukaa benchi kwa kocha huyo ilikuwa ni Novemba 52023 Uwanja wa Mkapa. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma…

Read More

MAPUNGUFU YA SIMBA V YANGA YAFANYIWE KAZI

KILA mmoja ameona mapungufu amabyo yalikuwa kwenye timu zao katika mchezo wa Kariakoo Dabi. Simba na Yanga walikuwa na kazi kuonyeshana ubabe wao. Mwisho mshindi alipatikana na yule ambaye alipoteza alifahamika.Weka kando masuala ya matokeo bado kuna mapungufu ambayo yalionekana kwenye mchezo huo. Kuanzia kwa wachezaji namna walivyokuwa wakitimiza majukumu yao. Kufanya kosa moja kwenye…

Read More

NYOTA HAWA WAMEWAKA KWA MKAPA

MASTAA sita kutoka Simba na Yanga nyota zao zimeonekana kuwaka kutokana na kuwa na zali katika kuhusika kwenye ushindi wa timu zao ndani ya dakika 90. Mechi mbili tofauti za watani wa jadi walizotumia Uwanja wa Mkapa walikomba pointi tatu wote kwa nyakati zao. Ni Yanga 2-0 Singida Fountain Gate ngoma ilipigwa Oktoba 27,  Simba…

Read More

SIMBA KUIMULIA YANGA VINGINE

WAKIJIANDAA na mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Simba, Robert Oliveira ‘Robertinho’ amechimba mkwara mzito kuwa wametumia uzito wa michezo yao miwili ya AFL, dhidi ya Al Ahly kujiandaa na uzito wa mchezo wa kesho. Simba wanaingia katika mchezo huu wakiwa wamecheza mchezo mmoja tu wa Ligi Kuu Bara…

Read More

WILD ICY FRUITS SLOTI RAHISI KUSHINDA

Sloti ya Wild Icy Fruits Kitu kinachonifanya niichague Meridianbet ni odds kubwa, machaguo mengi,bonasi kibao, ofa, promosheni na kubwa Zaidi michezo ya kasino ya mtandaoni na sloti rahisi kushinda, kama vile Sloti ya Wild Icy Fruits yenye mistari 40 ya malipo yaani kiufupi ina njia nyingi sana zinazorahisisha mchezaji kushinda. Matikiti na machungwa yanaongeza utamu…

Read More

ROBERTINHO AIMALIZA YANGA KIKUBWA

WAKIJIANDAA na mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Simba, Robert Olivieira ‘Robertinho’ amechimba mkwara mzito kuwa wametumia uzito wa michezo yao miwili ya AFL, dhidi ya Al Ahly kujiandaa na uzito wa mchezo wa Jumapili huku akitenga siku tano sawa na saa 120 kujiandaa na mchezo huo. Kikosi cha…

Read More

YAO BABA LAO KUELEKEA KARIAKOO DABI

MWAMBA Yao Attohoula ni baba lao kuelekea Kariakoo Dabi kwa upande wa kutengeneza pasi za mabao kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Ni Novemba 5 watani hao wa jadi wanatarajiwa kumenyana kwenye msako wa pointi tatu, Uwanja wa Mkapa. Katika nyota wenye pasi nyingi za mabao kwa watani hawa wa jadi, Yao ambaye ni beki…

Read More

ANZA VIZURI NOVEMBA YAKO NA MAOKOTO, WIKENDI YA USHINDI

Ndugu mteja mwezi Novemba tayari umeanza na leo hii mechi mbalimbali zitachezwa huku Meridianbet wakiwa tayari wamekuwekea machaguo uyapendao. Unajua kuwa kuwa Milionea ni kitu rahisi kama ukituliza akili yako kwa kusuka jamvi na Meridianbet?. Timiza ndoto zako hapa wakati ndio huu. LALIGA kuna mechi moja ya pesa leo ambayo ni kati ya Las Palmas…

Read More