Mnyama apoteza mbele ya Azam FC kwa kupigwa 2-0

Simba SC 0-2 Azam FC ubao umesoma hivyo Uwanja wa Mkapa mara baada ya dakika 90 kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wababe hawa wawili kwenye Mzizima Dabi kila mmoja alikuwa kwenye hesabu za kusaka ushindi na mwisho matajiri wa Dar, Azam FC wamewatuliza wenyeji wao. Mabao mawili yote yamefungwa kipindi cha pili ikiwa ni…

Read More

Simba vs Azam: Nani Ataibuka na Ushindi Leo?”

Leo, Desemba 7, 2025, uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, utakuwa mahali pa moto kwa mashabiki wa soka wakati Simba SC itakapoikaribisha Azam FC katika derby ya Mzizima, majira ya saa 11 jioni. Takwimu za Historia ya Mechi za Mwisho Katika mechi tano za mwisho za Ligi kuu kati ya Simba na Azam: Simba…

Read More

Saleh Jembe Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi za DP World na Simba

Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe (@salehjembefacts), ametolea ufafanuzi tetesi zinazozagaa mitandaoni kuhusu kampuni ya DP World kudaiwa kuwa katika mazungumzo ya kuidhamini Klabu ya Simba SC. Amesema kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowote, na zimeibuliwa bila ushahidi wa aina yoyote kutoka kwa pande husika. Saleh Jembe ameongeza kuwa hadi sasa hakuna chanzo rasmi…

Read More

BetPawa Locker Room Bonus yafikisha sh 91m NBL 2025

Jumla ya Sh91 milioni mpaka sasa zimetumika kuwalipa Wachezaji mbalimbali wa timu za mpira wa kikapu zinazoshiriki klabu bingwa ya Tanzania (NBL) kupitia mpango wa Locker Room Bonus (LRB) kupitia chapa ya michezo ya kubashiri ya betPawa. NBL kwa sasa ipo katika hatua ya nusu fainali ambapo timu nne za wanawake na wanaume zinachuana kusaka…

Read More