Wananchi kutafuta miujiza Benjamin Mkapa – Silver Strikers waje tayari! ⚽
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)inaendelea tena leo Oktoba 25, 2025 kwa mechi saba kwenye viwanja mbalimbali huku wawakilishi wa Tanzania, Young Africans Sc wakitupa karata yao ya pili kwenye hatua ya pili dhidi ya vigogo wa Malawi, Silver Strikers Fc katika dimba la Benjamin Mkapa saa 11:00 jioni. Wananchi wanaingia kwenye mchezo huo…