Je Baada ya Miaka 22 Arsenal Kubeba Taji la EPL?
Kule EPL mbio za ubingwa zimezidi kunoga haswa ambapo kila timu kubwa imeonesha nia ya kulitaka taji hilo. Je nani unaona msimu huu anaenda kuchukua taji hili kwa timu zinazopambania taji hilo. Machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet, Bashiri sasa. Arsenal chini ya kocha mkuu Mikel Arteta msimu huu ulianza vizuri kwao kabisa huku ikiwa…