WALLACE KARIA ASALIA PEKEE KINYANG’ANYIRO CHA URAIS TFF BAADA YA WAGOMBEA WATANO KUNG’OLEWA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, sasa amesalia kuwa mgombea pekee wa nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo unaotarajiwa kufanyika Agosti 16, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, wagombea wengine waliokuwa wamejitokeza kuwania nafasi hiyo wameshindwa kutimiza sifa kwa mujibu wa…

Read More

MIGUEL GAMONDI ATANGAZWA KOCHA MPYA WA SINGIDA BLACK STARS

Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha rasmi kumteua Miguel Ángel Gamondi kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja, kuelekea msimu wa mashindano wa 2025/2026. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na klabu hiyo, imeelezwa kuwa uamuzi huo ni sehemu ya mpango wa kuimarisha kikosi na kuongeza ushindani katika ligi kuu na michuano…

Read More

LAMEK LAWI AJIFUNGA MIAKA MIWILI KWA AZAM FC

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani kwa kuwa tayari wameanza kushusha mashine za kazi kuelekea msimu mpya wa 2025/26 kwa kumtambulisha beki wa kazi ambaye ni mzawa. Julai 3 2025 mabosi wa Azam FC wamemtambulisha rasmi Lamek Lawi kwa kandarasi ya miaka miwili beki huyo ambaye alikuwa chaguo la kwanza ndani ya Coastal Union…

Read More

CR 7 ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA JOTA

MSHAMBULIAJI bora wa muda wote kwa sasa raia wa Ureno Cristiano Ronaldo ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha Diogo Jota na kaka yake Andre Silva. Ulimwengu wa mpira kwa sasa unaomboleza kufuatia kutangulia mbele za haki kwa kijana huyo mwenye miaka 28. Kijana huyo alikuwa kwenye safari kuelekea kambini kwa ajili ya maandalizi ya…

Read More

DIOGO JOTA AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI MBAYA HISPANIA

Mchezaji wa kimataifa wa Ureno, Diogo Jota, aliyekuwa na umri wa miaka 28, amefariki dunia mapema leo asubuhi, Julai 3, 2025, katika ajali mbaya ya gari iliyotokea kwenye mkoa wa Zamora, nchini Hispania. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyombo vya habari vya Hispania na Uingereza, ajali hiyo imetokea katika eneo la Palacios de Sanabria na…

Read More

KOCHA WA AL HILAL KUINOA AZAM FC MSIMU MPYA?

KOCHA Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya nchini Sudan, Florent Ibenge inatajwa kuwa amemalizana na matajiri wa Dar, Azam FC kuwa kwenye benchi la ufundi kwa msimu wa 2025/26. Inaelezwa kuwa Ibenge amemalizana na Azam FC kwa ajili ya msimu ujao unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Azam FC msimu wa 2024/25 imeambulia patupu kwenye mataji…

Read More

NYOTA HUYU WA YANGA SC ALIKIMBIZA

ISRAEL Mwenda, beki wa kulia wa Yanga SC ndani ya kikosi cha Yanga SC alikimbiza kwa muda mfupi ambao alitua hapo. Mwenda alikuwa ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi na kwenye mchezo dhidi ya mabosi wake wa zamani Simba SC alipewa kazi maalumu kumkaba Ellie Mpanzu nyota wa Simba SC. Mwenda ameweka…

Read More

ALIYEKUWA KOCHA WA YANGA, MILOUD HAMDI ATEULIWA ISMAILY

Aliyekuwa kocha mkuu wa Klabu ya Yanga  ya Tanzania, Miloud Hamdi (54), raia wa Algeria, ameteuliwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Klabu ya Ismaily SC ya Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja, ukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi endapo pande zote zitakubaliana. Hamdi anajiunga na Ismaily akitokea Yanga , ambako aliandika historia ya…

Read More

MUSONDA NA IKANGALOMBO KUKUTANA NA THANK YOU YANGA SC

INAELEZWA kuwa nyota wawili wa Yanga SC hawatakuwa ndani ya kikosi hicho kilichotwaa ubingwa wa ligi ya NBC msimu wa 2024/25. Ni Jonathan Ikangalombo ambaye kwa msimu wa 2024/25 alipata nafasi kucheza mechi sita akitoa pasi mbili za mabao na straika Mzambia Kennedy Musonda ambaye alipata nafasi kucheza mechi 14 za ligi na kufunga mabao…

Read More

SAMSUNG A25 NI YAKO! BASHIRI NA USSD

Kampuni ya ubashiri Tanzania, Meridianbet imezindua promosheni mpya inayowapa wateja wake nafasi ya kujishindia simu ya kisasa aina ya Samsung A25. Kupitia huduma ya USSD, kila mchezaji anaweza kubashiri mechi za ligi mbalimbali bila intaneti, kwa kupiga *149*10# moja kwa moja kwenye simu. Promosheni hii ni ya mwezi mmoja pekee ambayo imeanza tarehe 01 Julai…

Read More

SIMBA SC KUPIGA PANGA MASTAA WAKE

SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids inaelezwa kuwa kwenye mpango wa kuachana na mastaa wake zaidi ya watano kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Simba SC imemaliza ligi ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo. Pointi 78 baada ya mechi 30 ambazo ni dakika 2,700. Safu ya ushambuliaji imefunga mabao 69 ikiwa namba mbili kwa timu…

Read More