Mnyama apoteza mbele ya Azam FC kwa kupigwa 2-0
Simba SC 0-2 Azam FC ubao umesoma hivyo Uwanja wa Mkapa mara baada ya dakika 90 kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wababe hawa wawili kwenye Mzizima Dabi kila mmoja alikuwa kwenye hesabu za kusaka ushindi na mwisho matajiri wa Dar, Azam FC wamewatuliza wenyeji wao. Mabao mawili yote yamefungwa kipindi cha pili ikiwa ni…