CHEZA AVIATOR, SHINDA SAMSUNG A25 MPYA KILA JUMATATU

Meridianbet imeleta msisimko mpya kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri mwezi huu wa Septemba, kwa kuzindua promosheni ya kipekee kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Septemba 2025, wachezaji wanapata nafasi ya kushinda simu mpya za Samsung A25 kila wiki, zawadi zinazotolewa kwa washindi waliocheza kwa ustadi na bahati. Meridianbet itatoa simu…

Read More

YANGA SC YAISOMA SIMBA SC KWA VIDEO KAZI IPO

DICKSON Job beki wa Yanga SC amefichua kwamba wachezaji wageni wamepewa video za wapinzani wao Simba SC ili watambue namna ya kukabiliana nao. Miongoni mwa wachezaji wageni ndani ya kikosi cha Yanga SC ni Celestin Ecua ambaye kwenye mchezo wa Yanga Day dhidi ya Bandari alifunga bao akitumia pasi ya mshambuliaji Prince Dube. Ecua anapewa…

Read More

CHAMA AIPA UBINGWA SINGIDA BLACK STARS ATAJA SIRI

Kiungo mpya wa Klabu ya Singida Black Stars, Clatous Chama ameipa ubingwa wa kwanza timu hiyo baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa fainali Kagame Cup 2025. Singida Black Stars ilitinga hatua ya fainali kwa kuifungashia virago KMC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali iliyochezwa Uwanja wa KMC Complex. Kwenye mchezo huo uliochezwa…

Read More

LALIGA & SERIE A ZATOA NAFASI MPYA ZA KUSHINDA

Utajiri upo mkononi mwako na Meridianbet siku ya leo endapo utaamua kutengeneza jamvi lako na kubashiri mechi za leo. Wikendi ilikuwa nzuri kwani watu wengi wameondoka na mshiko mkononi na hivi sasa ni zamu yako. Jisajili sasa na ujishindie hapa. SERIE A kule Italia kutakuwa na mechi kali mbili kati ya Hellas Verona vs US…

Read More

Jean Ahoua kwenye mtihani mwingine Simba SC

JEAN Ahoua kiungo mshambuliaji namba moja wa Simba SC kwenye mtihani mwingine ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids itakuwa Septemba 16 2025. Ahoua ni namba moja kwenye utengenezaji mipango ndani ya kikosi hicho, msimu wa 2024/25 alitengeneza jumla ya pasi 9 za mabao. Mbali na kutengeneza pasi hizo 9 za mabao…

Read More

BETWAY TUNZO, MCHONGO MPYA UNAOWAPA WATEJA SABABU ZAIDI ZA KUCHEZA NA BETWAY

Betway, moja ya kampuni inayoongoza duniani kwenye michezo ya kubashiri, imejizatiti kuwapa wateja wake huduma mpya yenye kuvutia, kusisimua na ubunifu mkubwa ambao unaendelea kuboresha uzoefu wa mteja kwenye kubashiri. Ukizingatia wingi wa huduma za kipekee ambazo Betway imeleta karibu na mteja kama vile Win Boost, Bet Influencer, Bet Saver, Cash Out na nyingine kibao,…

Read More

ZIMEBAKI SIKU MBILI KARIAKOO DABI KWA MKAPA

ZIMEBAKI siku mbili kabla ya mchezo wa Kariakoo Dabi kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 ikiwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Yanga SC walitwaa taji hilo kwa ushindi kwenye mchezo wa fainali mbele ya Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Simba SC iligotea kuwa mshindi wa…

Read More

TFF YATANGAZA VIINGILIO NGAO YA JAMII SIMBA VS YANGA

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC, Septemba 16, 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 11:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF leo Septemba 14, 2025, kiingilio cha…

Read More

Yanga SC vs Simba SC zimebaki siku tatu

YANGA SC vs Simba SC wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi ndani ya Uwanja Septemba 16 2025. Zimebaki siku tatu kwa watani hawa wa jadi kupambania taji la Ngao ya Jamii ikiwa ni mchezo rasmi wa ufunguzi wa msimu mpya wa 2025/26. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 taji la Ngao ya…

Read More

ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC

Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa aliyoyapata kutoka kwa mashabiki anamini watajituma kufanya vizuri ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Zimbwe Jr ni miongoni mwa wachezaji waliopokewa kwa shangwe kubwa ndani ya Yanga SC katika utambulisho wake,…

Read More

JKT QUEENS VS POLICE BULLETS, KASARANI NUSU FAINALI CAF

JKT Queens wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa kwa timu ya Wanawake Septemba 14 2025 itakuwa kibaruani kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali. Ni JKT Queens vs  Kenya Police Bullets mchezo huo unatarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa Kasarani, ikiwa ni hatua ya nusu fainali. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa JKT Tanzania, Masau…

Read More

SIMBA SC YATAMBIA KIKOSI IMARA

UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa una kikosi imara na chenye uwezo wa kuleta ushindani kutokana na maandalizi ambayo yamefanyika. Septemba 10 2025 ilikuwa ni kilele cha tamasha la Simba Day, Uwanja wa Mkapa na ilikuwa ni Full House baada ya mashabiki kujitokeza kwa wingi kuujaza uwanja na kushangilia mwanzo mwisho. Katika tamasha hilo…

Read More

MERIDIANBET YAKABIDHI DUSTBINS HOSPITALI YA KIFUMA, YAAHIDI KUENDELEA KUSAIDIA JAMII

Kama kawaida ilivyo kwa wakali wa ubashiri Meridianbet kuerejesha kwa jamii, Leo hii ilikuwa ni zamu ya Kifuma Hospitali ambao walifurahia ujio wa Meridianbet wa kuwapelekea Dustbins kwaajili ya kuhifadhi takataka. Msafara huo wa kufika katika hospitali hiyo ambayo inapatikana maeneo ya Sinza uliongozwa na Afisa Mahusiano Nancy Ingram akiwa na wenzake ambao kwa pamoja…

Read More