Mbeya City Yamkabidhi Mexime Kazi ya Dharura ya Kuokoa Ligi Kuu
Baada ya mwanzo mgumu wa msimu, Mbeya City wamemkabidhi timu kocha Mecky Mexime huku jukumu lake kuu likiwa kuhakikisha klabu inabaki Ligi Kuu msimu ujao wa 2026/27. Hadi sasa, Mbeya City imecheza mechi 10 na kudumu na alama 8 pekee, ikiwa nafasi ya 12 kati ya timu 16 kwenye jedwali la ligi. Hali hii inaonyesha…