Joshua Mutale kuanza tena?
JOSHUA Mutale ni chaguo la kwanza kwa Meneja Mkuu, Dmitar Pantev je ataanza tena mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika? Orodha ya wachezaji wa Simba SC waliopo kwenye msafara ulioelekea Mali kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien Novemba 30,2025:- Makipa Yakoub Suleiman na Hussen Abel Mabeki Shomari Kapombe David…