Saleh Jembe Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi za DP World na Simba

Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe (@salehjembefacts), ametolea ufafanuzi tetesi zinazozagaa mitandaoni kuhusu kampuni ya DP World kudaiwa kuwa katika mazungumzo ya kuidhamini Klabu ya Simba SC. Amesema kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowote, na zimeibuliwa bila ushahidi wa aina yoyote kutoka kwa pande husika. Saleh Jembe ameongeza kuwa hadi sasa hakuna chanzo rasmi…

Read More

BetPawa Locker Room Bonus yafikisha sh 91m NBL 2025

Jumla ya Sh91 milioni mpaka sasa zimetumika kuwalipa Wachezaji mbalimbali wa timu za mpira wa kikapu zinazoshiriki klabu bingwa ya Tanzania (NBL) kupitia mpango wa Locker Room Bonus (LRB) kupitia chapa ya michezo ya kubashiri ya betPawa. NBL kwa sasa ipo katika hatua ya nusu fainali ambapo timu nne za wanawake na wanaume zinachuana kusaka…

Read More

YANGA SC 2-0 FOUNTAIN GATE

Yanga SC 2-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora. Prince Dube alianza kufunga bao la kwanza kipindi cha kwanza dakika ya 26 kwa mkwaju wa penalti. Kamba ya pili imefungwa kipindi cha pili Uwanja wa KMC Complex, Desemba 4,2025. Pacome Zouzoua ametoa pasi mbili za mabao na…

Read More