Matokeo ya mechi za Simba SC 2025/26

Matokeo ya mechi zilizopita Simba SC Oktoba Mosi 2025, Simba SC 3-0 Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Septemba 28 2025, Simba SC 1-1 Gaborone United, Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 25 2025, Simba SC 3-0 Fountain Gate mchezo wa Ligi Kuu Bara. Septemba 20 2025, Gaborone United 0-1 Simba SC, Ligi ya…

Read More

Gamondi: Morali Iko Juu, Taifa Stars Tayari kwa AFCON 2025

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, amesema wachezaji wake wanaonyesha bidii kubwa mazoezini na kwamba morali ipo juu kuelekea mashindano ya AFCON 2025. Gamondi ameyasema hayo leo Desemba 15, baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu, akisisitiza kuwa maandalizi yanaendelea vizuri na wachezaji wanaelewa majukumu yao ndani ya uwanja….

Read More

Kocha Yanga SC aomba kazi Simba SC

BAADA ya Dimitar Pantev kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Simba SC inatajwa kuwa kuna maombi ya makocha mbalimbali wametuma CV kukinoa kikosi hicho. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Seleman Matola ambaye mchezo uliopita alishuhudia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC wakiwa Uwanja wa Mkapa. Hicho ni kipigo cha kwanza Simba…

Read More

Chico Ushindi Afariki, Soka la Afrika Lapata Pengo

Mshambuliaji wa zamani wa klabu za TP Mazembe, AS Vita Club na Yanga SC, Chico Ushindi Wakubanza, amefariki dunia leo mchana akiwa nyumbani kwao Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Chico Wakubanza alikuwa mmoja wa washambuliaji waliopata heshima kubwa katika soka la Afrika ya Kati na Mashariki, akitambulika kwa uwezo wake wa kufumania nyavu, nguvu…

Read More

Awesu Awesu kuibukia Mbeya City

INAELEZWA kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC yupo kwenye hesabu za mabosi wa Mbeya City ambao wanahitaji huduma yake. Awesu kwa msimu wa 2025/26 hajawa na nafasi kikosi cha kwanza kwenye mechi za ushindani jambo linalofanya kiwango chake kutokuwa imara. Ikumbukwe kwamba aliibuka ndani ya Simba SC akitokea Klabu ya KMC huko alikuwa ni chaguo…

Read More

Clifford Ndimbo: Kambi ya Taifa Stars Misri Inaenda Vizuri

Afisa Habari na Mawasiliano wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Clifford Mario Ndimbo, amesema maandalizi ya timu ya taifa kuelekea michuano ya AFCON 2025 yanaendelea vizuri katika kambi ya timu iliyowekwa nchini Misri. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Desemba 12, Ndimbo ameeleza kuwa mazingira ya maandalizi ni mazuri na kwamba wachezaji wanaendelea…

Read More