Napoli, Juve, Dortmund, City… Timu Kubwa Zote Zinacheza Leo, Hakuna Kulala! Bashiri Ushinde!

Ni siku nyingine ya wababe wa Ulaya kukutana katika viwanja mbalimbali na kusaka pointi 3 muhimu kabisa. Chelsea, Napoli, Juventus, Dortmund na wengine kibao wapo kuhakikisha hutokei patupu. Unangoja nini sasa?. Ingia na ubashiri na Meridianbet sasa. Tukianza na Manchester City wao watakuwa Etihad kumenyana vikali dhidi ya Bayer Leverkusen ya kule Ujerumani. City ametoka…

Read More

CAF Cofederation Cup ratiba ipo namna hii

CAF Cofederation Cup ratiba bado inaendelea kupasua anga ambapo wawakilishi wa Tanzania kwenye hatua za makundi watakuwa nyumbani katika mechi za raundi ya pili. Singida Black Stars na Azam FC hizi zitakuwa nyumbani kusaka pointi tatu muhimu baada ya mechi zilizopita za ufunguzi kupoteza ugenini. Ijumaa Novemba 28, Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent…

Read More

Simba SC kwenye mtihani mwingine CAF Champions League

Baada ya kupoteza mchezo wa kwanza hatua ya makundi dhidi ya Petro de Luanda wakiwa Uwanja wa Mkapa mtihani mwingine unafuata kwa mnyama ugenini. Kwa sasa kituo kiachofuata ni Novemba 28,2025 ambapo watakuwa ugenini mchezo wa pili hatua ya makundi. Itakuwa ni Stade Malien vs Simba SC, kwenye msako wa pointi tatu muhimu saa 1:00…

Read More

Yanga SC hao Algeria mapema CAF Champions League

MSAFARA wa kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pedro unatarajiwa kuanza safari mapema leo Novemba 24,2025 kuelekea nchini Algeria. Yanga SC baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AS FAR Rabat ina kibarua kingine kwenye kundi B Novemba 28,2025 mchezo wa kwanza ugenini katika hatua ya makundi. Ipo wazi kuwa ni…

Read More