
CAF YAONGEZA ZAWADI WAFCON KWA ASILIMIA 45, BINGWA KUVUNA MILIONI MOJA YA DOLA
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetangaza ongezeko la asilimia 45 ya pesa za zawadi kabla ya kuanza kwa kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON). Morocco itakuwa mwenyeji wa mashindano hayo kuanzia Julai 5-26 katika miji mitano tofauti. Bingwa ataondoka na kitita cha USD1,000,000, ongezeko la 100%, huku mshindi wa pili akiweka mfukoni…