Moto Wa Ligi Ulaya: Nice, Lyon, Roma, Napoli na Real Madrid Kazini Leo
Leo ni leo asemaye kesho ni muongo na hii inakuja hapa hapa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet, kwani mechi kibao zinaendelea hivyo fanya ubashiri wako hapa hapa na uibuke bingwa. LIGUE 1 kutakuwa na mitanange ya pesa ambapo Nice atakipiga dhidi ya Angers ambao wapo nafasi ya 11 huku kwa upande wa mwenyeji yeye…