Dembele na Luis Enrique Wang’ara Tuzo za FIFA 2025, PSG Yatawala Kikosi Bora
Winga wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya Taifa ya Ufaransa, Ousmane Dembélé, ametangazwa mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa FIFA kwa mwaka 2025, baada ya msimu bora uliompa heshima hiyo ya juu duniani. Kocha wa PSG, Luis Enrique, naye ameendeleza mafanikio ya klabu hiyo kwa kutwaa Tuzo ya Kocha Bora wa…