Joshua Mutale kuanza tena?

JOSHUA Mutale ni chaguo la kwanza kwa Meneja Mkuu, Dmitar Pantev je ataanza tena mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika? Orodha ya wachezaji wa Simba SC waliopo kwenye msafara ulioelekea Mali kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien Novemba 30,2025:- Makipa Yakoub Suleiman na Hussen Abel Mabeki Shomari Kapombe David…

Read More

Betway yatoa elimu ya kubashiri kwa uwajibikaji Barani Afrika

Betway imetoa wito kwa wachezaji wote kutafakari juu ya tabia zao za kubashiri na kukumbatia mtazamo mzuri wenye uwiano bora zaidi katika uchezaji. Betway imetoa wito huo katika mwezi wote wa Novemba ambapo imekuwa ikitoa elimu kuhusu kubashiri kwa uwajibikaji kupitia kampeni yenye kauli mbiu “Kubashiri kwa Uwajibikaji”. “Betway inathibitisha tena dhamira yake ya kuhimiza…

Read More

Furahia Ushindi wa Kipekee na Meridianbet Ukicheza Gates of Halloween

Kwa mara nyingine tena Meridianbet inakuleta burudani isiyo na kifani kupitia mchezo wa Gates of Halloween. Huu mchezo unakupeleka kwenye dunia ya hofu na maajabu, ambapo kila zamu inachanganya shangwe, ushindi mkubwa, na bonasi zinazokufanya ucheke na kushangilia. Mchezo huu unajivunia njia rahisi za ushindi, zinazoweza kueleweka na kila mchezaji. Ukiweza kupata alama nane au…

Read More

Uwanja wa Mkwakwani Tanga Wafungiwa na Bodi ya Ligi

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeufungia Uwanja wa Mkwakwani, uliopo Tanga, kutokana na kutokidhi vigezo vya matumizi ya ligi kwa sasa. Uamuzi huo umefikiwa baada ya ukaguzi uliofanyika hivi karibuni kubainisha kasoro kadhaa zinazohitaji marekebisho kabla ya uwanja kuruhusiwa kutumika tena kwenye michezo ya Ligi Kuu na mashindano mengine yanayosimamiwa na Bodi. Kwa mujibu…

Read More

Chelsea wababe Stamford Bridge, City wapoteza nyumbani – Matokeo ya Ulaya Usiku wa Leo

Mabingwa wa Dunia, Chelsea, wameonyesha ubabe mkubwa baada ya kuicharaza Barcelona mabao 3-0 katika dimba la Stamford Bridge, kwenye mchezo uliotawaliwa na wenyeji kwa muda mrefu. Chelsea 3-0 Barcelona ⚽ 27’ Kounde (og) ⚽ 55’ Estêvão ⚽ 73’ Delap 🟥 44’ Araujo (Barcelona) Barcelona walijikuta wakiwa pungufu muda mfupi kabla ya mapumziko baada ya Araujo…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League Novemba 26,2025

NBC Premier League 2025/26 bado moto unaendelea ikiwa ni raundi ya 8 kwa timu kushuka uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Mechi kali tatu zinatarajiwa kuchezwa leo ya kwanza itakuwa Coastal Union vs Mbeya City saa 8:00 mchana, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Fountan Gate vs Tanzania Prisons saa 10:15 jioni, Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara. Funga…

Read More

Napoli, Juve, Dortmund, City… Timu Kubwa Zote Zinacheza Leo, Hakuna Kulala! Bashiri Ushinde!

Ni siku nyingine ya wababe wa Ulaya kukutana katika viwanja mbalimbali na kusaka pointi 3 muhimu kabisa. Chelsea, Napoli, Juventus, Dortmund na wengine kibao wapo kuhakikisha hutokei patupu. Unangoja nini sasa?. Ingia na ubashiri na Meridianbet sasa. Tukianza na Manchester City wao watakuwa Etihad kumenyana vikali dhidi ya Bayer Leverkusen ya kule Ujerumani. City ametoka…

Read More