Safari Yako Mpya ya Ushindi Ipo Meridianbet Kupitia Naga Games

Unajisikia vipi ukiwa na nafasi ya kushinda kila siku? Meridianbet inachukua hatua nyingine ya kipekee kwa kuleta Naga Games, jukwaa jipya la kasino linaloleta msisimko wa kipekee na fursa za malipo makubwa. Hapa, kila mchezo ni mwaliko na kila kitufe unachobonyeza kinaweza kubadilisha mlingano wa ushindi wako. Naga Games haiundi michezo ya kawaida, inaandaa michezo…

Read More

Yanga SC warejea Dar kamili kwa mchezo ujao CAF

CHINI ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves, msafara wa Yanga SC umerejea Dar Februari Mosi kutoka Zanzibar baada ya kukamilisha dakika 90 zakimataifa. Januari 31,2026 Yanga SC 1-1 Al Ahly ulikuwa mchezo wa hatua ya makundi CAF Champions League ikiwa ni mchezo wa nne kwa wababe wote wawili. Yanga SC kwenye kundi D ipo nafasi ya…

Read More

Simba SC vs de Tunis, Mpanzu ameanzia benchi

Simba SC vs de Tunis ni mchezo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Februari Mosi 2026. Kwenye kikosi cha kwanza winga Ellie Mpanzu ameanza benchi huku kiungo mshambuliaji Clatous Chama akianza kikosi cha kwanza. Mshambuliaji Seleman Mwalimu na Jonathan Sowah wote wapo benchi huku kiungo mshambuliaji Gueye akipewa jukumu eneo la ushambuliaji….

Read More

Super Heli Premium Ni Njia Ya Ushindi Ukiwa Angani

Meridianbet Tanzania inaendelea kufungua milango mipya ya burudani na ushindi kwa kuileta rasmi Super Heli Premium, mchezo wa kasino unaochanganya kasi, mkakati na maamuzi ya papo kwa papo. Hapa, si suala la kubahatisha tu, ni kuhusu kusoma mchezo, kuhisi muda sahihi na kuchukua hatua kabla helikopta haijapotea angani. Kila raundi ni hadithi mpya. Unaweka dau…

Read More