Simba SC 2-2 de Tunis hali ni tete kimataifa, robo fainali yamoto
KATIKA kundi D Simba SC inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi moja baada ya mechi 4 2025/26. Matokeo haya yanadidimiza malego ya Simba SC kutinga hatua ya makundi kutokana na kukusanya pointi kiduchu baada ya mechi nne ikisaliwa na mechi mbili. Mahesabu yanawagomea Simba SC kutinga hatua ya robo fainali ikiwa Esperance watapata matokeo kwenye mchezo…