Arsenal, PSG Na Barça Zinapigia Kasi Kumsajili Álvarez – Atlético Wakikata Rahisi!

Arsenal, Paris Saint-Germain na Barcelona zote zinaonyesha nia kubwa ya kumsajili Julián Álvarez kutoka Atlético Madrid. Kwa mujibu wa Gazeti la Michezo la Hispania, DiarioAS Arsenal tayari waliwasilisha ofa ya thamani ya euro milioni 120, lakini Atlético waliikataa wakionyesha kuwa hawapo tayari kumuachia kirahisi mshambuliaji huyo. Sasa inasubiriwa kuona kama kutakuwa na ofa mpya au…

Read More

Barcelona Yalenga Kufufua Makali Yake Barani Ulaya

Klabu ya FC Barcelona imeendelea kufanya vyema kwenye michuano yote msimu huu huku wakiwa na malengo ya kuchukua makombe yote msimu huu. Meridianbet wanakwambia kuwa bashiri mechi zote za Barca hapa. Barcelona imekuwa katika safari yenye ushindani mkubwa msimu huu, ikishiriki mashindano yote makubwa kwa malengo ya kurejesha hadhi yake ya juu barani Ulaya. Ingawa…

Read More

Shinda Kwa Kishindo Ukicheza Trick or Treat Bonanza

Wapenzi wa kasino na michezo ya mtandaoni, ingawa msimu wa Halloween umepita lakini bado Meridianbet inaendelea kukupatia burudani isiyo na kifani kupitia Trick or Treat Bonanza, mchezo ambao unachanganya ladha ya Halloween na fursa za ushindi wa kweli. Karibu katika Haunted Candy Realm, ulimwengu wa ajabu uliojaa pipi za kuogofya, vishawishi vya kutisha, na zawadi…

Read More

Singida Black Stars yaituliza Mtibwa Sugar

MTIBWA Sugar 1-3 Singida Black Stars, (SBS) ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliochezwa mapema leo Februari 22,2026 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Wageni Singida Black Stars wamewatuliza wenyeji kwenye mchezo wa leo ambao ulichezwa saa 8:00 mchana katika msako wa pointi tatu muhimu. Magoli ya SBS yamefungwa na Ndumumwe Mossi dakika ya 5,…

Read More

Man United Kumuuza Bruno Fernandes kwa pauni milioni 87?

Kiungo na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes anaripotiwa kuwa kwenye rada ya vilabu vikubwa barani Ulaya pamoja na Mashariki ya Kati. klabu ya Paris Saint-Germain, FC Bayern Munich, pamoja na vilabu kadhaa vya Saudi Arabia vinaonesha nia kubwa ya kumsajili nyota huyo raia wa Ureno. Ripoti hiyo inaongeza kuwa Manchester United huenda ikafikiria kumuuza…

Read More