Mourinho: “Sikubaliani na wachezaji wanaonisaliti” – awajia juu mastaa wa Benfica licha ya ushindi wa 2-0

Kocha wa Benfica, Jose Mourinho, ameibua mjadala mpya baada ya kutoa lawama kali kwa wachezaji wake licha ya timu yake kushinda 2-0 dhidi ya Atletico CP katika mchezo wa Kombe la Ureno hatua ya raundi ya nne. Benfica iliepuka fedheha dhidi ya timu hiyo ndogo kutoka daraja la tatu, lakini Mourinho – maarufu kwa matamshi…

Read More

Wanaowania Tuzo za TFF 2024/25 Wapo Hapa… Tuzo Kutolewa Desemba 5, 2025, The Super Dome, Dar

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefahamisha wanaowania Tuzo za Msimu wa Ligi Kuu 2024/2025, huku tukitarajia watakaoibuka washindi rasmi Desemba 5, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome, Dar es Salaam. Wanaowania Wakuu wa Tuzo za Ligi Kuu NBC: Mchezaji Bora: Dickson Job (Yanga), Pacome Zouzoua (Yanga), Maxi Nzengeli (Yanga), Jean Ahoua (Simba),…

Read More

Timu Zenye Injuries Nyingi Premier League 2025/26

Msimu huu wa Premier League, baadhi ya timu zinakabiliwa na changamoto kubwa ya majeraha yanayoathiri utendaji wao dimbani. Hizi ndizo timu zinazoongoza kwa idadi ya majeraha hadi sasa: 💎 Manchester City – 16 injuries 🚑 🐓 Tottenham Hotspur – 16 injuries 🚑 🧿 Chelsea – 14 injuries 🚑 🕊 Brighton & Hove Albion – 13…

Read More

Simba SC yapiga hesabu kumalizana na Petro de Luanda

Simba SC vs Petro de Luanda Novemba 23,2025 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa kwanza hatua ya makundi, uongozi wa wenyeji umepiga hesabu kuvuna pointi tatu. Kutoka kundi D mchezo wa kwanza Simba SC itakuwa nyumbani na tayari Novemba 20,2025 walizindua jezi mpya ambazo zitatumika kwenye mashindano hayo zikiwa na nembo ya CAF. Ahmed…

Read More

Hii Hapa Orodha ya Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco

Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu mbalimbali zikitambuliwa kwa mafanikio ya mwaka. Mwaka huu Morocco imeendelea kung’ara kwa namna ya kipekee katika tuzo nyingi, huku Afrika Mashariki pia ikipata mwakilishi kupitia bao la mwaka. Washindi wa Tuzo…

Read More