
SIMBA SC YALA KIPORO CHA TATU LIGI KUU BARA, CAMARA MAJANGA
USHINDI wa mabao 5-1 ambao wameupata Simba SC kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Pamba Jiji, Mei 8 2025 unawafanya wakamilishe dakika 270 katika mechi tatu za viporo kuvuna pointi tatu mazima kwenye mechi zao. Mchezo wa kwanza wa kiporo kwa Simba SC ilikuwa Mei 2 2025, ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma Simba…