
DIOGO JOTA AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI MBAYA HISPANIA
Mchezaji wa kimataifa wa Ureno, Diogo Jota, aliyekuwa na umri wa miaka 28, amefariki dunia mapema leo asubuhi, Julai 3, 2025, katika ajali mbaya ya gari iliyotokea kwenye mkoa wa Zamora, nchini Hispania. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyombo vya habari vya Hispania na Uingereza, ajali hiyo imetokea katika eneo la Palacios de Sanabria na…