AFCON 2025: Nigeria 2-1 Tanzania
MCHEZO wa hatua ya makundi AFCON 2025 ikiwa ni kundi C umekamilika nchini Morocco na ubao unasoma Nigeria 2-1 Tanzania. Dakika 45 za mwanza Nigeria walipata goli la kuongoza na kipindi cha pili walipata goli la pili la ushindi lililowapa pointi tatu muhimu. Ni Semi Ajay alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 36 na Ademoola…