AFCON 2025: Nigeria 2-1 Tanzania

MCHEZO wa hatua ya makundi AFCON 2025 ikiwa ni kundi C umekamilika nchini Morocco na ubao unasoma Nigeria 2-1 Tanzania. Dakika 45 za mwanza Nigeria walipata goli la kuongoza na kipindi cha pili walipata goli la pili la ushindi lililowapa pointi tatu muhimu. Ni Semi Ajay alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 36 na Ademoola…

Read More

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania vs Nigeria

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania kitakachoanza kwenye mchezo dhidi ya Nigeria, fainali Afcon 2025 hatua ya makundi:- Zuberi Foba, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen, Ibrahim Bacca, Bakari Mwamnyeto, Novatus Miroshi. Alphonce Mabula, Saimon Msuva, Charles M’Mombwa, Mbwana Samatta, Tarryn Allakarakhia. Wachezaji wa akiba Hussen Masalanga, Pascal Msindo, Dickson Job, Nickson Kibabage, Iddi Nado, Kibu…

Read More

Yakoub na Feisal hatihati kuikosa Nigeria

Nyota wawili wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Yakoub Suleman ambaye ni kipa na kiungo Feisal Salum kuna hatihati wakaukosa mchezo wa leo dhidi ya Nigeria. Tanzania inatarajiwa kutupa karata yake ya kwanza katika AFCON 2025 itakuwa dhidi ya Nigeria leo Desemba 23,2025. Sababu ya Yakoub kuukosa mchezo wa leo inatajwa kwamba alipata…

Read More

Safari ya Ubingwa Inaanza na Mechi za AFCON

Ubingwa unaanzia na mechi kali kabisa za Mataifa yaani AFCON kwani tayari wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wameshakuwekea machaguo yako uyapendayo hivyo bashiri sasa. Senegal watakuwa uso kwa uso dhidi ya Botswana ambapo kwenye mechi zake 6 za mwisho za Kimataifa alizocheza hakuna hata mechi moja ambayo amepata ushindi. Wakati mwenyeji yeye  kwenye mechi 6…

Read More

Nigeria vs Tanzania AFCON 2025

Nigeria vs Tanzania ni mchezo mkali unaosubiriwa kwa shauku kwenye mashindano ya AFCON 2025 ikiwa ni hatua ya makundi nchini Morocco. Tayari mchezo wa ufunguzi ulishachezwa rasmi Desemba 21 ya Jumapili na wenyeji Morocco wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Comoros. Leo ni kazi ya wawakilishi kutoka Tanzania, Taifa Stars wakiongozwa na nahodha…

Read More

FT: Simba SC 2-0 Yanga SC

Desemba 21,2025 kulikuwa na mchezo wa kirafiki wa Kariakoo Dabi Fans uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex, Dar. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba SC Fans 2-0 Yanga SC Fans, magoli yote yakifungwa kipindi cha kwanza. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Thobias Sébastien na Dr Mo haya yalidumu mpaka mwisho wa mchezo uliohudhiriwa na…

Read More

AFCON 2025 ratiba hii hapa

Hii hapa ratiba ya AFCON 2025, nchini Morocco ni leo Desemba 21,2025 kazi inaanza na tamati inatarajiwa kuwa Januari 18, 2026 Jumapili, Desemba 21, 2025 Morocco vs Comoros saa 4:00 usiku Jumatatu, Desemba 22,2025 Mali vs Zambia, saa 11:00 jioni Afrika Kusini vs Angola saa 2:00 usiku Misri vs Zimbabwe, saa 5:00 usiku Jumanne, Desemba…

Read More