Allan Okello Aanza mazoezi baada ya kujiunga na Yanga
Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Allan Okello, rasmi ameanza mazoezi baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea klabu ya Vipers SC ambapo alikuwa miongoni mwa wachezaji tegemeo na waliokuwa wakionesha kiwango kizuri katika Ligi Kuu ya Uganda pamoja na mashindano ya kimataifa.. Okello ameonekana akifanya mazoezi ya Gym ikiwa ni sehemu ya kurejesha na…