Tanzania Prisons 0-2 Simba SC, matokeo na kituo kinachofuata
Tanzania Prisons 0-2 Simba SC ni matokeo yaliyopita kwa mnyama. Kwenye mechi 5 za hivi karibuni, Simba SC imepata ushindi mechi 3 na sare mechi 2. Tanzania Prisons haijawa kwenye ubora na katika mechi 5, ushindi moja, sare moja na kupoteza mechi 3. Watupiaji ni Seleman Mwalimu dakika ya 19 na Rushine de Reuck dakika…