Jeshi la Polisi Latoa Taarifa Kuelekea Mchezo wa Yanga na Al Ahly Kesho
Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Young Africans SC ya Tanzania na Al Ahly ya Misri, unaotarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Katika taarifa hiyo, Jeshi la Polisi limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha usalama wa wachezaji, viongozi wa timu, waamuzi pamoja na mashabiki wote…