MWAMBA HUYU HAPA MKALI WA PASI JANGWANI

ZIKIWA zimesalia saa chache kabla ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga kuchezwa Uwanja wa Mkapa kuna balaa kubwa eneo la kiungo ambapo yupo mtaalamu wa pasi za mwisho ndani ya kikosi hicho kinacholewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Uwanja wa Mkapa kwa sasa mashabiki waliopo nje wanapambana kujikinga na mvua…

Read More

AZAM FC YABADILI MUELEKEO, KOCHA AFICHUA SIRI

BAADA ya kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Mbeya, Uwanja wa Sokoine Kocha Mkuu wa Azam FC Rachid Taoussi amefichua kuwa walibadili muelekeo kulingana na mchezo husika na kupata matokeo kama ambavyo walifanya vizuri mazoezini. Oktoba 18 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine ulisoma Tanzania Prisons 0-2 Azam FC…

Read More

Man U, Arsenal, PSG, Bayern Kukupatia Pesa Leo

Meridianbet wanakwambia ukitaka utajiri sehemu ni moja tuu, ingai kwenye akaunti yako na usuke jamvi la pesa leo.  Kama kawaida BUNDESLIGA itaendelea pia bingwa mtetezi Bayer Leverkusen baada ya kutoa sare leo atamenyana dhidi ya Frankfurt ambaye pia alitoa sare mechi yake iliyopita. Mechi hii ina machaguo zaidi ya 1000 meridianbet. Jisajili hapa. Wakati huo…

Read More

YANGA YASAHAU YALIYOPITA, KUINGIA KWA MPANGO KUIKABILI SIMBA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa amesahau matokeo yote yaliyopita hivyo kikubwa ni kusaka ushindi kwenye mchezo wa keso ambao ni Kariakoo Dabi, Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 kwenye Kariakoo Dabi, Yanga ilikomba pointi sita mazima ndani ya dakika 180 kwa kushinda nje ndani. Oktoba 19 2024 historia inakwenda kuandikwa…

Read More

KOCHA YANGA AANIKA SILAHA za MAANGAMIZI KUELEKEA DERBY ya KARIAKOO – ATAJA KIKOSI – VIDEO

Kauli ya kocha wa Yanga Sc Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Simba Sc. Tuna furaha kubwa kuelekea kwenye ligi huku tukiwa na mchezo muhimu wa Derby. Tupo vizuri, tuna matumaini makubwa ya kufanya vizuri hapo kesho. Hatujabadilika sana kwenye maandalizi tumejiandaa kama ambavyo tumekuwa tukifanya hapo awali” “Tumetokea kwenye wiki ya FIFA…

Read More

KAYOKO APEWA MECHI YA KESHO, SIMBA vs YANGA KWA MKAPA

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza mwamuzi Ramadhan Kayoko kutoka Dar es Salaam kuwa refa atakayesimamia sheria 17 za mchezo wa soka kwenye Derby ya Kariakoo itakayopigwa Jumamosi, Oktoba 19, 2024 katika dimba la Benjamin Mkapa. Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es Salaam, huku mwamuzi wa akiba…

Read More

NYAKUA MAOKOTO KUPITIA 40 LUCKY SEVENS

Mamilioni yanaweza kua ya kwako leo kwa kucheza mchezo wa kasino wa 40 Lucky Sevens ambao umekua mchezo pendwa kwasasa na kutoa mamilionea kila uchwao. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma “Game Art“. Utapenda mchezo huu ikiwemo aina mbili za alama ya scatter. Pia kuna alama…

Read More

SIMBA: SIKU HAZIGANDI, TUNAWATAKA NYUMA MWIKO

NI Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa siku hazigandi na wanaamini watakutana na wapinzani wao Yanga kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi Oktoba 19 2024 Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii hatua ya nusu fainali Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ubao ulisoma…

Read More

MASTA GAMONDI REKODI ZAKE HIZI HAPA

KUELEKEA Kariakoo Dabi, Oktoba 19 2024 kila timu imekuwa ikipambana kufanya maandalizi na saa zinahesabika kwa sasa kujua nani atakuwa nani baada ya dakika 90 kugota mwisho. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi baada ya kucheza mechi nne ambazo ni dakika 360 imekomba ushindi mechi zote nne za Ligi Kuu Bara. Kwenye msako wa…

Read More