Gallagher Ajiunga na Spurs – Uzoefu wa Ligi Kuu Kuimarisha Safu ya Kiungo

Tottenham Hotspur wamekamilisha usajili wa kiungo wa England, Conor Gallagher, kutoka Atlético Madrid kwa ada ya Pauni Milioni 34 (takriban Shilingi Bilioni 114 za Tanzania). Usajili huu unakuja huku Tottenham wakiwa sokoni kutafuta kiungo wa kati baada ya Rodrigo Bentancur kutarajiwa kukosa sehemu kubwa ya msimu kutokana na jeraha la misuli ya paja (hamstring). Gallagher,…

Read More

Anza Safari Yako ya Win&Go Bila Hofu Ya Kupoteza

Kila tiketi ya Win&Go ni mwanzo wa hadithi mpya ya furaha, haijalishi imeshinda au imeshindwa. Meridianbet wanakuleta Lucky Loser, mpango unaobadilisha mashaka ya kushindwa kuwa ushindi na kurudisha furaha yako ya kubashiri. Lucky Loser inakufanya ujue kuwa hata kushindwa kunaweza kuwa mchezaji wa ushindi. Ukicheza tiketi ya namba 6 na ukashindwa, unakua kwenye nafasi ya…

Read More

Beki aliyetakiwa Simba SC ameanza kazi SBS

BEKI aliyekuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ya Dar tayari ameanza kazi ndani ya Singida Black Stars ikiwa ni majukumu mapya. Anaitwa Abdalah Said maarufu kwa jina la Lanso beki aliyekuwa chaguo la kwanza katika kikosi cha KMC kinachotumia Uwanja wa KMC Complex kwa mechi za nyumbani. Lanso tayari ni mchezaji mpya ndani…

Read More

Azam FC vs Yanga SC, Dar Dabi NMB Mapinduzi Cup

WABABE wawili wanatarajiwa kukutana uwanjani kwenye msako wa bingwa mpya wa NMB Mapinduzi Cup, Januari 13,2026. Ni Azam FC vs Yanga SC hawa watakuwa na kazi kufika hitimisho la mashindano haya ambayo yalikuwa na ushindani mkubwa katika hatua za makundi, nusu fainali na sasa fainali. Yanga SC iliwaondoa Singida Black Stars na Azam FC iliwaonoda…

Read More