CAF Yafuta Rasmi Michuano ya CHAN, Mabadiliko Makubwa Yatarajiwa Afrika

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi kufuta Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), hatua inayokuja kufuatia changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika maandalizi ya mashindano hayo. Tangazo hilo limetolewa na Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Morocco Jumamosi, Januari 17. Akizungumza mbele ya…

Read More

Nai Azungumzia Tetesi Zake na Pacome Zouzoua Kupitia Global TV

Baada ya tetesi kusambaa kwa muda mrefu mitandaoni zikimhusisha mwanadada @officiall_nai na staa wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hatimaye mwenyewe ameamua kuvunja ukimya. Kupitia mahojiano ya mubashara na Global TV, Nai amefunguka na kuweka wazi ukweli kuhusu madai yanayoendelea kuzunguka mitandaoni, akieleza msimamo wake juu ya tetesi hizo zinazomhusisha na kiungo huyo wa Yanga. Mahojiano…

Read More

Gallagher Ajiunga na Spurs – Uzoefu wa Ligi Kuu Kuimarisha Safu ya Kiungo

Tottenham Hotspur wamekamilisha usajili wa kiungo wa England, Conor Gallagher, kutoka Atlético Madrid kwa ada ya Pauni Milioni 34 (takriban Shilingi Bilioni 114 za Tanzania). Usajili huu unakuja huku Tottenham wakiwa sokoni kutafuta kiungo wa kati baada ya Rodrigo Bentancur kutarajiwa kukosa sehemu kubwa ya msimu kutokana na jeraha la misuli ya paja (hamstring). Gallagher,…

Read More