Makamu Mwenyekiti Asema Ukweli Kuhusu Mgogoro wa Klabu na Mwekezaji
Makamu Mwenyekiti wa Bodi na Mwenyekiti wa Klabu, Murtaza Mangungu, ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazozunguka mgogoro kati ya klabu na mwekezaji. “Mimi na mwenyekiti wa bodi tunaongea kila mara. Kama ni Mo, mimi mara ya mwisho niliongea naye jana saa 8. Sisi hatuna jambo la siri, timu inafanya mipango yake, kama kuna taarifa inatoka, inatoka…