
AZIZ KI WA YANGA SC KUCHEZA HAPA BONGO
MFUNGAJI bora ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika, Aziz Ki msimu wa 2023/24 huenda akarejea kwa mara nyingine ndani ya ardhi ya Tanzania. Ki alifunga jumla ya mabao 21 alipokuwa namba moja. Timu ya Yanga SC ilitwaa ubingwa wa ligi na Azam FC ilikuwa nafasi ya pili. Mei 24 2025 Ki alitoa Thank…