YANGA SC WAIVUTIA KASI NAMUNGO FC

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wapo kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa mzunguko wa pili dhidi ya Namungo FC unaotarajiwa kuchezwa Mei 13 2025. Yanga SC ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 70 baada ya kucheza mechi 26 ni ushindi kwenye mechi 23 wakiambulia sare…

Read More

KMC WAPANIA KUIZUIA SIMBA KWA NAMNA YOYOTE

UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa kwa namna yoyote ile utawazuia Simba SC kuvuna pointi tatu kwenye mchezo wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. Ikumbukwe kwamba awali mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Mei 11 2025 ulipangwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora na maandalizi yalianza kufanyika. Umerejeshwa Dar, Uwanja wa KMC…

Read More

JKT TANZANIA YATUMA UJUMBE MZITO YANGA SC CRDB FEDERATIN CUP

OFISA Habari wa JKT Tanzania, Masua Bwire amesema kuwa watapambana kwenye mashindano yote ambayo wanashiriki kupata matokeo mazuri ikiwa ni pamoja na mchezo wao wa CRDB Federation Cup wakiwa hatua ya nusu fainali. JKT Tanzania kwenye CRDB Federation Cup imetinga hatua ya nusu fainali na inatarajiwa kusaka tiketi ya kutinga hatua ya fainali dhidi ya…

Read More

THE CURSED KING KASINO BOMBA NDANI YA MERIDIANBET

Kupitia Meridianbet utakutana na mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoelezea kisa cha Farao aliyelaaniwa kwa matendo yake, unachopaswa kufanya ni kuwa mkali kwa kucheza vizuri ni njia sahihi kukupa ushindi mkubwa. Jisajili Meridianbet ufurahie mchezo huu. The Cursed King ni mchezo wa kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zna mistari 19 ya malipo. Ili kupata…

Read More

MUSUKUMA AKIWASHA SAKATA LA YANGA NA SIMBA BUNGENI

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma, amepongeza uongozi wa Rais mstaafu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodgar Tenga, akisema kuwa ametoa mchango mkubwa katika kuendeleza michezo nchini na kwamba ni kiongozi wa kuigwa. Akizungumza wakati wa mjadala wa bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 ya Wizara…

Read More

SIMBA SC KUCHEZA FAINALI KESHO KMC COMPLEX

BENCHI la ufundi la Simba SC limebainisha kuwa litacheza mchezo wao dhidi ya Pamba Jiji Uwanja wa KMC Complex kama fainali ili kuvuna pointi tatu. Kwenye msimamo ni nafasi ya pili ikiwa na pointi 63 baada ya mechi 24 inatarajiwa kuwakaribisha Pamba Jiji inayonolewa na Kocha Mkuu, Fred Felix Mei 8 2025 kwenye msako wa…

Read More

PAMBA JIJI KAMILI KUIKABILI SIMBA SC

Fred Felix Kocha Mkuu wa Pamba Jiji ameweka wazi kuwa wanatambua ugumu wa mchezo wao dhidi ya Simba SC ila wana imani kuwa hawatashuka daraja. Ni mechi 26 imeshuka uwanjani Pamba Jiji ina pointi 27 ikiwa nafasi ya 13 katika msimamo ambayo ni nafasi yakucheza play off ikiwa itasalia hapo mpaka mzunguko wa pili ukigota…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA MEI 2025

LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora inaendelea ambapo kuna vigogo vinatarajiwa kupigwa uwanjani ndani ya Mei kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Simba SC itakuwa uwanjani Mei 8 2025 kusaka pointi tatu dhidi ya Pamba Jiji mchezo unoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. KMC vs Simba SC, Mei 11…

Read More

VIDEO: BOSI SIMBA AMTAJA CLATOUS CHAMA/ JOSHUA MUTALE

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa kiungo Joshua Mutale ambaye alicheza kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania amerejea kwenye ubora ambao alikuwa nao muda mrefu lakini ulikuwa unakosekana. Kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Mei 5 2025 alikuwa kwenye kiwango bora jambo lililochangia timu hiyo kupata…

Read More

KIUNGO MGUMU AREJEA KIKOSI YANGA

 KHALID Aucho kiungo wa Yanga amerejea uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda alipopata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Ilikuwa ni Aprili 7 2025 Aucho aliumia alishindwa kukomba dakika 90 aliishia dakika ya 45 ambapo nafasi yake ilichukuliwa na kiungo Mudathir Yahya. Kwenye mchezo huo…

Read More