AFCON 2025: Aubameyang Aikosa Mechi ya Kwanza, Anaweza Kurudi Dhidi ya Mozambique

Shirikisho la Soka la Gabon 🇬🇦 limethibitisha kuwa mshambuliaji wao nyota, Pierre-Emerick Aubameyang (36), hatawepo kwenye mchezo wa ufunguzi wa AFCON 2025 dhidi ya Cameroon 🇨🇲 utakaochezwa Disemba 24, kutokana na majeraha yanayomsumbua. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Aubameyang anaweza kurejea uwanjani Disemba 28 wakati Gabon itakapokutana na Mozambique 🇲🇿, endapo hali yake ya afya…

Read More