MANCHESTER CITY YAIBAMIZA ATLETICO MADRID

WAKIWA Uwanja wa City of Manchester waliweza kupata ushindi wa bao 1-0 Atletico Madrid ikiwa ni mchezo wa UEFA Champions League. Huu ni mchezo wa kwanza robo fainali na mtupiaji alikuwa ni Kevin De Bruyne ilikuwa dk ya 70. City iliweza kuwa imara kila idara mwanzo mwisho katika mchezo huo licha ya Atletico Madrid kupaki…

Read More

MOLOKO,NGUSHI WAREJEA KUIVAA AZAM FC

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa kuna wachezaji ambao wamerudi kwenye kikosi baada ya kuwa nje kwa muda kutokana na kutibu majeraha. Kesho Yanga inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC ambao nao pia waazihitaji pointi hizo. Kaze amesema:”Wapo baadhi ya wachezaji walikuwa nje kutokana na majeruhi lakini kwa sasa wameanza mazoezi…

Read More

SIMBA YATAJA MECHI NGUMU KIMATAIFA

MOHAMED Hussein Zimbwe Jr, beki wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba amesema kuwa mechi ambayo kwenye hatua ya makundi kwao anaamini ilikuwa na ushindani mkubwa ni ile dhidi ya ASEC Mimosas. Kwa sasa Simba imeweza kutinga hatua ya robo fainali na inasubiri kujua itamenyana na timu ipi baada ya droo kupangwa ya Kombe…

Read More

KIUNGO MGHANA ACHAGUA KUCHEZA NA FEISAL NA SURE

KIUNGO wa kimataifa wa zamani wa Simba raia wa Ghana, James Kotei, ameweka wazi kuwa kama ataambiwa achague viungo wa kucheza nao kutoka Yanga, basi atawataja Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ na sio pacha ya Khalid Aucho na Yannick Bangala. Sure Boy aliyejiunga na Yanga kwenye dirisha dogo la usajili msimu…

Read More

MANCHESTER UNITED WAAMBIWA NGUMU KUWA TOP 4

GARY Neville, mchambuzi wa masuala ya michezo anaamini kwamba mbio za timu yake hiyo ya zamani kutinga top 4 ni ngumu baada ya kutoshana nguvu na Leicester City,Uwanja wa Old Trafford. Bao la Kelechi Iheanacho dk 63 kwa Leicester City kisha United waliweka usawa kupitia kwa Fred dk ya  66. Kwenye msimamo United ipo nafasi…

Read More

KIMATAIFA SIMBA YAPIGA MASHUTI 20

NYOTA wa Simba wanaonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi mbele ya USGN rekodi zinaonyesha kwamba walipiga mashuti 20 langoni kwa wapinzani wao. Haikuwa kazi rahisi kwa Simba kuweza kufanikisha lengo lao kwa kuwa kipindi cha kwanza safu ya ushambuliaji ilikosa umakini ndani ya dakika 45 licha…

Read More

TOTTENHAM YASHINDA 5G,YATINGA 4 BORA

TOTTENHAM Hotspur imeishushia kichapo cha mabao 5-1 Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu England. Mchezo huo umechezwa usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Tottenham Hotspur mbele ya mashabiki 57,553. Mabao ya Ben Davies dk 43,Matt Doherty dk 48,Heung-min Son dk 54,Emerson Leite de Souza Junior dk 63,Steven Bergwijn dk 83 ambaye alianzia benchi…

Read More

SIMBA YAIPIGA 4G USGN KWA MKAPA

UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 4-0 USGN katika mchezo wa makundi. Watupiaji kwa Simba ni Sadio Kanoute dk 63,Chris Mugalu dk 68 na 78 na kipa wa USGN alijifunga dk 84. Simba ipo nafasi ya pili na pointi 10 kundi D sawa na RS Berkane. Timu mbili zinapita zote zikiwa zimekusanya pointi 10…

Read More

RASMI KIKOSI CHA SIMBA V USGN,MUGALU NDANI

HIKI hapa rasmi kikosi cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya USGN Uwanja wa Mkapa mchezo wa Kombe la Shirikisho, Uwanja wa Mkapa:- Aishi Manula Shomari Kapombe Zimbwe Jr Joash Onyango Henock Inonga, Jonas Mkude Pape Sakho Sadio Kanoute Chris Mugalu Rally Bwalya Bernard Morrison Akiba Beno Israel Kennedy Nyoni Lwanga Mzamiru Kagere Kiu Banda Saa…

Read More

ASHA MASAKA AANZA CHANGAMOTO MPYA SWEDEN

MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake, Twiga Stars, Asha Masaka ambaye alikwea pipa kwa na kuibukia  Sweden Machi 30 tayari ameshatambulishwa kwenye timu yake mpya na kuanza kazi. Nyota huyo amepata dili la kujiunga na Klabu ya BK Hacken inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sweden kwa makubaliano na Klabu ya Yanga Princes…

Read More

KIBAO KUMPONZA WILL SMITH,TUZO YAKE YAJADILIWA

LICHA ya staa mkubwa wa Hollywood, Will Smith kuomba msamaha jukwaani baada ya kumzaba kofi mchekeshaji Chris Rock, staa huyo pia ametumia akaunti yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram kuendelea kuomba radhi, safari hii akimuomba pia radhi Rock kwa kitendo alichomfanyia. Will Smith ameandika:“Vurugu katika namna yake yoyote ni sumu na hubomoa. Tabia yangu…

Read More

BARCELONA YAISAKA SAINI YA LEWANDOWSKI

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Barcelona inaisaka saini ya staa Robert Lewandowski ambaye ni mshambuliaji ili kuweza kuwa naye kwa msimu ujao ndani ya kikosi hicho. Lewa ni moja ya mastaa ambao wana ushkaji mkubwa na kucheka na nyavu alikuwa anatajwa pia kuwindwa na Manchester United. Staa huyo wa Klabu ya Bayern Munich mkataba wake umesalia…

Read More

BUKAYO SAKA ANDOLEWA KAMBI YA TIMU YA TAIFA

BUKAYO Saka ameondolewa katika kikosi cha timu ya Taifa ya England baada ya kukutwa na maambukizi ya Corona. Saka nyota wa Arsenal alifanya mazoezi na wachezaji wa Timu ya Taifa ya England Jumanne lakini kwa sasa ametengwa St. George Park tangu Jumatano na kwa sasa amerejea nyumbani. Saka alitweet kuwa ameondolewa katika kikosi cha timu…

Read More