MUDA WA KAZI KWA TAIFA STARS NI SASA

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa sasa ipo kambini ikiwa ni maandalizi ya mwisho kwa ajili ya AFCON 2023 inayotarajiwa kufanyika Ivory Coast. Hii sio kazi rahisi kwa wachezaji kwa kuwa kila timu inahitaji matokeo ndani ya uwanja katika dakika 90. Kila mchezaji anajukumu la kuhakikisha kwamba anapambania kombe na kufanya vizuri kila akipata…

Read More

AFCON IWE NJIA YA KUTUSUA KIMATAIFA, KAZI IFANYIKE

KADRI kila siku zinavyozidi kwenda wachezaji wanatambua namna ushindani ulivyo mkubwa kwenye mashindano husika. Ipo wazi kwa namna ambavyo mashindano yanazidi kuendelea hapo ndipo ugumu wake unaongezeka. Hatua moja inaleta hatua nyingine ambacho kinatakiwa kufanyika ni kwa kila hatua kuwa na mipango makini ambayo italeta matokeo mazuri hapo kesho. Ipo wazi kwamba ambacho kipo mbele…

Read More

KIMATAIFA KAZI KUBWA IFANYIKE KUSAKA MATOKEO

MECHI ambazo zimebaki kwa wawakilishi wa kimataifa zote ni muhimu kushinda kufufua matumaini ya kutinga hatua ya makundi licha ya ugumu uliopo. Kikubwa kwenye mechi za hatua ya makundi ni kuhakisha kwamba hakuna ambaye ataleta utani kwenye mechi ambazo zitachezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mechi mbili ambazo zinamaana kubwa kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye anga…

Read More

VIWANJA VIBORESHWE LIGI IZIDI KUWA NA UBORA

KILA leo tunashuhudia ligi yenye ushindani mkubwa kwa kila timu kuwa na mpango wa kuvuna pointi tatu kwenye mchezo husika. Katika mwendo wa ligi ambayo ushindani wake ni mkubwa tunaona kila timu inapambana kusaka ushindi na wale wanaotumia makosa ya wapinzani wanapata kile wanachostahili. Ushindani umekuwa mkubwa na hali hii inatakiwa kuwa endelevu mpaka mwisho…

Read More

HUZUNI INATOSHA KIMATAIFA, KICHEKO KIPATIKANE

HUZUNI kwa mashabiki kushindwa kupata kicheko kwenye mechi za kimataifa inapaswa kuondolewa na wachezaji uwanjani. Hali haijawa nzuri kwenye mechi za kimataifa ambapo ni timu mbili kutoka ardhi ya Tanzania zinafanya kazi yake. Yanga na Simba katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Kila timu ikiwa imecheza mechi mbili hakuna iliyoambulia ushindi jambo linaloongoza…

Read More

DESEMBA INAFUNGULIWA KWA KAZI KIMATAIFA

GHAFLA yule uliyempa ahadi utamlipa Desemba, ngoma hii hapa imeshafika kazi kukamilisha madeni kwa wakati. Weka kando hilo, kwa wawakilishi wa kimataifa kuna shughuli nzito kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Madeni yote waliyoahidi kuyalipa leo Desemba 2 kwa nyakati tofauti kila mmoja atakuwa na dakika 90 za kulipa mmoja atakuwa nyumbani na mwingine huko ugenini…

Read More

KAZI KIMATAIFA LEO HAKUNA MWENYE SHUGHULI NDOGO

HATIMAYE imefika siku ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki pamoja na benchi la ufundi kuona kipi kitapatikana ndani ya dakika 90. Ligi ya Mabingwa Afrika, mashindano yenye ushindani mkubwa yanatarajiwa kuendelea leo na wawakilishi wa Tanzania, Simba na Yanga watakuwa kazini. Yanga watakuwa nyumbani Uwanja wa Mkapa huku Simba wakiwa ugenini, Botswana wote…

Read More

SIMBA NA YANGA KIMATAIFA NI BALAA ZITO

NYAKATI ngumu hazidumu lakini zina maumivu makubwa kwa anayekutana nazo hivyo ni muhimu kutafuta njia nzuri ya kuepukana na hayo kwa umakini, hivyo tu basi. Wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa, Simba wanapita kwenye nyakati za maumivu kwa wachezaji kushindwa kupata ushindi katika mechi tatu za Ligi ya Mabingwa Afrika zaidi ya kuambulia sare….

Read More

KAZI BADO IPO KWA MASTAA HAWA YANGA NA SIMBA KIMATAIFA

KUNA mambo mengine ni magumu kuyafanya sio kama sikukuu ya kumbukizi ya kuletwa duniani, ukiwa na keki inafanyika. Haina maana haiwezekani inawezekana kwa kuamua kufanya kweli, hivyo tu basi. Mastaa wa Yanga na Simba kwenye mechi za ligi ya ndani wamekuwa wakifanya kweli, anga la kimataifa ushindani unakuwa tofauti hivyo ni lazima waamue kufanya kweli…

Read More

SIO MUDA WA KUTAFUTA MCHAWI NANI NDANI YA TAIFA STARS

MATUMAINI ya mashabiki wa Tanzania ni kuona kwamba wachezaji wanapata matokeo mazuri. Ipo hivyo hata wapambanaji wenyewe wanapoingia kwenye mapambano malengo ni kushinda. Mwisho matokeo ya mpira yanaptikana baada ya dakika 90. Kuna atakayeshinda na atakayeshindwa wakati mwingine inatokea wote wanatoshana nguvu kwenye mchezo husika. Kwa kilichotokea kwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars…

Read More

KAZI KUBWA IFANYIKE KWA KILA MMOJA

KAZI kubwa inafanyika kwa kila mmoja kuendelea na mapambano kusaka ushindi ndani ya uwanja. Muda ni sasa kuonyesha kwamba inawezekana kupata matokeo ugenini. Benchi la ufundi tunaamini kwamba walipata muda wa kutosha kuzungumza na wachezaji. Sio kuzungumza pekee maneno ya kirafiki bali maneno ya kazi kuendelea kwa kila mmoja kutimiza majukumu yake. Ukweli ni kwamba…

Read More

MIKATABA YA WACHEZAJI IHESHIMIWE KUPISHANA NA KESI

KESI nyingi ambazo zinawasumbua mabosi wengi wa timu ndani ya ardhi ya Tanzania ni kuhusu malipo. Mikataba ya wachezaji inakwenda kirafiki na hakuna ambaye anajali. Hili ni janga kubwa ambapo kila siku kumekuwa na kesi zinazowahusu wachezaji kufungua kesi kuhusu malipo yao. Haina maana kwamba waajiri hawatambui umuhimu wa kuwalipa hapana wanaamua kufanya makusudi. Mwisho…

Read More

KWA NINI TEN HAG ANAHUKUMIWA?

ILIKUWA  April 14, 2012, miaka 11 nyuma. Kwenye mechi kati ya Pescara dhidi ya Livorno. Mchezaji Piermario Morosin, alipatwa na mshtuko wa moyo na kuanguka uwanjani. Baada ya juhudi kubwa za madaktari kuokoa uhai wake, saa moja na nusu mbele, aliaga dunia. Wanasema ni jukumu la daktari kutibu, kuponya ni kazi ya maulana. Unajua kilichotokea…

Read More

KIEPE NYANI, TANZANIA ONE ASIYEIMBWA

FADHILI Majiha (Kiepe Nyani) bondia wa ngumi za kulipwa nchini ambaye kwa sasa anashikilia rekodi ya kuwa bondia namba moja (Tanzania One) akiwa na hadhi ya nyota nne. Majiha ambaye ni bingwa wa WBC Afrika na UBO alianza kucheza ngumi za kulipwa mwaka 2008 ambapo pambano lake la kwanza alipanda ulingoni dhidi ya Ramadhan Kumbele…

Read More