Meridianbet Yashirikiana na Jamii, Wasaidia Wajawazito na Waliojifungua

Katika kipindi ambacho afya ya mama na mtoto imeendelea kuwa ajenda muhimu ya kijamii, Meridianbet imejitokeza kuchukua nafasi yake kama mdau anayetoa mchango wa moja kwa moja. Kupitia mpango wake wa kijamii unaoendelea, kampuni hiyo imekuwa ikiwafikia akina mama wajawazito na waliojifungua, ikilenga kuwapa unafuu katika kipindi chenye uhitaji. Msaada uliotolewa ulijikita katika vitu vinavyotumika…

Read More

Kila Mchezo Ni Nafasi Ya Dhahabu Na Non-Stop Win&Go Drop Ya Meridianbet

Meridianbet imechukua hatua mpya ya ubunifu kwa kuanzisha Non-Stop Win&Go Drop, mpango unaobadilisha kabisa namna wachezaji wanavyopata burudani ya kasino mtandaoni. Badala ya mfumo wa kusubiri kwa muda mrefu, kampeni hii imejengwa juu ya dhana ya fursa zinazoonekana mara kwa mara, zikimpa mchezaji hamasa ya kuendelea kushiriki. Kupitia tiketi za bure zinazotolewa kila siku, Meridianbet…

Read More

Zombie Apocalypse Kukupa Ramani Mpya ya Msisimko wa Kasino Mtandaoni

Meridianbet imeleta upepo mpya wa burudani kupitia kampeni ya Zombie Apocalypse, uzoefu unaovuka mipaka ya michezo ya kawaida ya kasino. Badala ya kuzunguka tu bahati, kampeni hii inawachukua wachezaji katika simulizi lenye mvuto, likiwaweka katikati ya dunia iliyojaa changamoto na fursa za kushangaza. Ni mwendelezo wa dhamira ya Meridianbet ya kuleta ubunifu unaobadilisha namna burudani…

Read More

Anza Mwaka Mpya Na Ushindi Usio Kawaida Kupitia Holiday Drops Ya Meridianbet

Mwaka mpya umeanza, na Meridianbet inakusaidia kuuanza kwa mtindo wa kipekee. Holiday Drops ni fursa ya kipekee ya kushinda zawadi ambazo hujitokezi ghafla, zikikuletea msisimko wa kasino mtandaoni bila kikomo. Mchezo huu ni safari ya burudani ambapo kila mzunguko unaweza kuwa mwanzo wa ushindi mkubwa. Kila sekunde ndani ya Holiday Drops ni fursa ya mshangao….

Read More

Shilole Apata Ajali Njiani Akitoka Kigoma Kurudi Dodoma

Msanii wa Bongo Muvi na mjasiriamali anayemiliki mgahawa maarufu wa Shishi Food, Zuwena Mohamed amepata ajali ya gari akiwa njiani kurudi Dodoma kutoka Kigoma, baada ya kushiriki shughuli ya kijamii ya Pilau Day iliyoratibiwa na Mbunge wa Kigoma Mjini, Babalevo. Mbunge Babalevo kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii amethibitisha tukio hilo. “Jana usiku dada…

Read More