Matokeo Darasa la Saba 2025 Yatangazwa Yapo HAPA, Asilimia 81.8 ya Watahiniwa Wamefaulu

Dar es Salaam, Novemba 5, 2025 — Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (MTEM) 2025 katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa hiyo inaonesha kuwa kati ya watahiniwa 1,146,164 waliojihusisha na mtihani huo, watahiniwa 937,581 sawa…

Read More

Polisi yataja sababu ya kumkamata Niffer

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Jumanne Muliro amethibitisha jeshi hilo kumkamata mfanyabiashara wa mtandaoni Jenifer Jovin maarufu Niffer. Kamanda Muliro ametoa kauli hiyo Jumatatu Oktoba 27,2025 baada ya kusambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa mfanyabiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana Sinza jijini Dar es Salaam alipokuwa dukani kwake. “Jeshi la…

Read More

Taarifa, Odds Kubwa na Fursa za Ushindi Zinakungoja Kwenye Meridianbet Sport Portal

Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wankuuliza je unajua kuhusu Meridianbet Sport Portal? Hili ni jukwaa kubwa kabisa ambalo kutokana na upana limekuja kwaajili ya kumrahisishia kazi mteja wa Meridianbet wakati wa kubashiri kwani hapa anapata taarifa zote za kimichezo na kasino kwa ujumla. Meridianbet Sport Portal ni kwaajili ya kumpa mteja wa Meridianbet uzoefu bora…

Read More

Diamond Platnumz – Nani (Official Music Video)

Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Naseeb Abdul Juma Issack, maarufu kama Diamond Platnumz, ameibua shamrashamra kubwa mitandaoni baada ya kuachia ngoma yake mpya ambayo imewapagawisha mashabiki ndani na nje ya Tanzania. Ngoma hiyo mpya, ambayo kwa sasa imeanza kutrendi kwenye majukwaa yote ya muziki mtandaoni, imepokelewa kwa shangwe kubwa…

Read More

Bilionea wa Nigeria Afunga Ndoa na Mke wa 19, Atetea Ndoa za Wake Wengi

Delta, Nigeria — Mfanyabiashara maarufu na bilionea Chief Jite Odeworitse Tesigimoje, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya GIM Brown Marine, ameibua mjadala mkubwa nchini Nigeria baada ya kufunga ndoa na mke wake wa 19 katika sherehe iliyofanyika kwa kifahari katika kijiji chake cha Ugborodo, jimbo la Delta. Mfanyabiashara huyo mwenye umri wa miaka 43, anayejulikana kwa…

Read More