
Diamond Platnumz – Nani (Official Music Video)
Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Naseeb Abdul Juma Issack, maarufu kama Diamond Platnumz, ameibua shamrashamra kubwa mitandaoni baada ya kuachia ngoma yake mpya ambayo imewapagawisha mashabiki ndani na nje ya Tanzania. Ngoma hiyo mpya, ambayo kwa sasa imeanza kutrendi kwenye majukwaa yote ya muziki mtandaoni, imepokelewa kwa shangwe kubwa…