Diamond Platnumz – Nani (Official Music Video)

Msanii nyota wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa WCB Wasafi, Naseeb Abdul Juma Issack, maarufu kama Diamond Platnumz, ameibua shamrashamra kubwa mitandaoni baada ya kuachia ngoma yake mpya ambayo imewapagawisha mashabiki ndani na nje ya Tanzania. Ngoma hiyo mpya, ambayo kwa sasa imeanza kutrendi kwenye majukwaa yote ya muziki mtandaoni, imepokelewa kwa shangwe kubwa…

Read More

Bilionea wa Nigeria Afunga Ndoa na Mke wa 19, Atetea Ndoa za Wake Wengi

Delta, Nigeria — Mfanyabiashara maarufu na bilionea Chief Jite Odeworitse Tesigimoje, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya GIM Brown Marine, ameibua mjadala mkubwa nchini Nigeria baada ya kufunga ndoa na mke wake wa 19 katika sherehe iliyofanyika kwa kifahari katika kijiji chake cha Ugborodo, jimbo la Delta. Mfanyabiashara huyo mwenye umri wa miaka 43, anayejulikana kwa…

Read More

Kikwete Akutana na Bill Gates Katika Hafla ya Goalkeepers New York

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameungana na mfadhili maarufu duniani, Bill Gates, katika hafla ya Goalkeepers iliyofanyika usiku kuamkia leo jijini New York, Marekani. Hafla hiyo, iliyoandaliwa na Taasisi ya Bill & Melinda Gates Foundation, ilikusanya viongozi, wadau wa maendeleo na watu mashuhuri kutoka pande mbalimbali za dunia,…

Read More

Dkt. Samia Ahidi Mradi wa Umeme na Barabara Kuboresha Maisha ya Wananchi Masasi

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kujengwa kwa njia ya kusafirisha umeme kutoka Ruvuma–Tunduru hadi Masasi mkoani Mtwara, ili kuongeza uhakika wa upatikanaji wa nishati hiyo katika mkoa huo. Akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja…

Read More

Meridianbet Yazindua Mchezo Mpya wa Kusisimua – Meridian Bonanza

Meridianbet imeleta mapinduzi makubwa kupitia mchezo mpya wa slot Meridian Bonanza. Huu ni mchezo ulioundwa kwa ajili ya wapenzi wa kasino wanaopenda burudani ya kipekee na nafasi kubwa ya kupata ushindi. Namna mchezo unavyofanya kazi: Kila spin inachezwa kwenye mfumo wa reels 6×5, ambapo alama zinazofanana zinapojipanga zinafungua ushindi. Mfumo wa Tumble Feature unaruhusu alama mpya kuingia baada…

Read More

Bilioni 6 Kiganjani Mwako! Meridianbet Yaja na Promosheni ya Nguvu

Meridianbet, jina kubwa katika ulimwengu wa kubashiri Tanzania, limezindua promosheni kabambe ya Playson Short Races, mashindano ya kila usiku yanayowapa wachezaji nafasi ya kujinyakulia mamilioni kwa kasi ya ajabu. Kuanzia Septemba 9 hadi mwisho wa mwezi huu, mashindano haya yatafanyika kila siku kuanzia saa 4:00 usiku hadi saa 8:50 usiku kwa saa za Afrika Mashariki,…

Read More

BETWAY INAPANUA UZOEFU WA KASINO KWA KUTAMBULISHA MFULULIZO WA MICHEZO YENYE UPEKEE

Betway, Kampuni inayoongoza Duniani kwenye michezo ya kubashiri na burudani mtandaoni, inajivunia kutambulisha ofa yake mpya: Mfululizo wa michezo ya kipekee ya kasino inayopatikana kwenye jukwaa lake lenye ubora wa kiwango cha kimataifa. Uzinduzi huu wa ni sehemu ya ahadi endelevu za Betway za kuwapa wachezaji wake thamani, msisimko na ubunifu zaidi. Mkusanyiko mpya unajumuisha…

Read More

DAR YATIKISWA NA AMARULA – SUNDOWN SESSIONS YAZUA GUMZO

Dar es Salaam bado inazungumza kuhusu tukio lililotikisa mitaa ya kifahari – Amarula Sundown Sessions, lililofanyika Jumapili, 7 Septemba 2025. Ni wachache tu waliopata nafasi ya kuhudhuria, kwani tukio hili lilikuwa laini ya mwaliko maalum. Wageni waliokuwa ndani walihusisha majina makubwa ya burudani, influencers wenye nguvu mitandaoni na mastaa wa jiji waliokuja kushuhudia namna Amarula…

Read More