Binti wa Miaka 24 Afariki Akidaiwa Kuamulia Ugomvi wa Rafiki Zake Arusha – Video
Arusha. Binti mwenye umri wa miaka 24, Irene Mallya, mkazi wa Mtaa wa Lemara, Kata ya Lemara jijini Arusha, amefariki dunia baada ya kudaiwa kujeruhiwa wakati akijaribu kuamulia ugomvi kati ya rafiki zake. Kwa mujibu wa mama mzazi wa marehemu, Mariam Selemani, tukio hilo lilitokea Septemba 14, 2026, majira ya saa 12 asubuhi, baada ya…