
AHMED ALLY AFUNGUKA: RADHIA NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU
Msemaji wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, ameonyesha wazi furaha na shukrani zake kwa Mungu baada ya kufunga ndoa na mchumba wake, Radhia Migomba, akimuelezea kwa maneno ya upendo na heshima ya hali ya juu. Kupitia kauli yake yenye kugusa mioyo ya wengi, Ahmed Ally alisema: “Radhia ni zawadi kutoka kwa Mungu. Ni mwanamke…