Marioo – OLUWA (Official Music Video)

Msanii maarufu wa Bongo Flava, Marioo, amerejea tena kwenye ramani ya muziki kwa kuachia wimbo wake mpya “OLUWA”, kazi inayobeba ujumbe mzito wa shukrani, imani na kutambua mkono wa Mungu katika safari ya maisha. Katika OLUWA, Marioo anaonekana kuachana kwa muda na midundo ya mapenzi na burudani ya kawaida, na badala yake kuingia kwenye eneo…

Read More

Slotopia Yaiteka Meridianbet, Sasa Ni Wakati Wa Burudani Mpya

Bingwa wa michezo ya ubashiri nchini, Meridianbet wamezidi kufanya maajabu kwa kuwakutanisha wapenzi wa kasino mtandaoni na burudani ya kiwango cha juu, sasa wamewaletea jambo jipya linalokuweka katikati ya mchezo. Slotopia, mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino mtandaoni, ameingia rasmi kwenye jukwaa la Meridianbet. Ndani ya Slotopia, kila mzunguko unaoushiriki una nafasi ya kushangaza….

Read More

Meridianbet Yarejesha Tabasamu kwa Jamii ya Kinondoni Kuelekea Krismasi

Wakati wengi wakijiandaa kusherehekea Sikukuu ya Krismasi, Meridianbet imeamua kuifanya sikukuu hiyo kuwa na maana zaidi kwa familia zinazopitia hali ngumu ya kiuchumi. Kampuni hiyo inayoongoza katika sekta ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imefika katika kata mbalimbali za Manispaa ya Kinondoni, ikitoa msaada wa mahitaji ya msingi ya nyumbani kwa familia zenye kipato cha…

Read More

Matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi za lishe (fiber), vimeng’enya (enzymes) na virutubisho vingine muhimu. Kwa mujibu wa The Times of India, matunda kwa asili yana kalori chache na fiber nyingi, hali inayosaidia kudhibiti njaa kwa kukufanya ujisikie umeshiba kwa…

Read More

BASATA Yasitisha Hafla ya TMA 2025 Bila Kutoa Sababu

Leo Disemba 13, 2025 hafla ya utoaji Tuzo za Muziki Tanzania(TMA) 2025 kwa wasanii wa muziki waliofanya vizuri katika maeneo mbalimbali nchini ilitarajiwa kufanyika. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Sanaa Tanzania(BASATA) imeeleza kuwa zoezi hilo halitafanyika mpaka wakati mwingine. “Tunawataarifu kuwa hafla ya TMA iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 13/12/2025 imeahirishwa mpaka pale tarehe nyingine itakapotangazwa.”…

Read More

Msimu wa Zawadi Bab Kubwa Na Holiday Drops – Christmas

Tunapoukaribisha msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka, Meridianbet inakuletea Holiday Drops – Christmas Edition, kampeni maalum inayokuletea ushindi kwa namna ya kipekee. Kuanzia tarehe 01 Desemba 2025 hadi 08 Januari 2026, wachezaji watakuwa ndani ya kipindi cha zawadi zinazotoka papo hapo katika michezo maalum iliyochaguliwa mahsusi kwa msimu huu. Holiday Drops imeundwa kuongeza thamani…

Read More

Furahia sikukuu Na Holiday Drops 2025 Kutoka Meridianbet

Jambo kubwa limeletwa kwako mbashiri na meridianbet msimu huu wa sikukuu za kumaliza mwaka. Usikubali kusherehekea sikukuu kinyonge kabisa wakati Meridianbet ipo kwa ajili yako. Meridianbet wameamua kuigeuza michezo kuwa uwanja wa ushindi wa papo kwa papo kupitia Holiday Drops – Christmas Edition. Kuanzia 01.12.2025 hadi 08.01.2026, kila mchezaji anashiriki michezo maalumu ya kasino mtandaoni…

Read More

Holiday Drops – Christmas Edition Kukupa Ushindi Wa Kishindo

Siku hizi za sikukuu, Meridianbet wanafungua pazia la zawadi kupitia Holiday Drops – Christmas Edition, kuanzia 01.12.2025 hadi 08.01.2026. Huu ndiyo msimu ambao kila mchezaji anageuka kuwa mshindi kwa namna ya kipekee, hakuna presha ya mchezo, ni bahati inayonyesha kama mvua. Kila ukifanya mzunguko kwenye michezo maalum, unakaribishwa kwenye ulimwengu ambao zawadi zinaweza kujitokeza ghafla…

Read More

Meridianbet Yaendelea Kuthibitisha Uongozi Katika Kujenga Jamii Yenye Ustawi Zaidi

Kuonyesha dhamira yake isiyoyumba ya kuwa sehemu ya suluhisho katika changamoto za kijamii, kampuni ya Meridianbet imeendeleza msururu wa miradi yake ya kusaidia jamii kwa kugawa vyakula kwa familia zenye uhitaji katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam. Hatua hii inathibitisha kwamba kampuni hiyo haishughuliki tu na michezo ya kubahatisha, bali pia ni nguzo muhimu…

Read More

Rais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, Orodha Ipo Hapa – (Picha +Video)

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza leo Novemba 17, 2025 Baraza jipya la Mawaziri katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Tangazo hilo limekuja kufuatia mabadiliko ya kiutendaji na mapitio ya baadhi ya wizara yaliyolenga kuongeza ufanisi, uwajibikaji na kasi ya utekelezaji wa mipango ya serikali….

Read More