
MZUNGUKO WA PILI UNAANZA,WAZEE WA MIGODI LEO KAZINI
MZUNGUKO wa pili ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, leo Februari 25 unatarajiwa kuanza kwa ajili ya timu kusaka pointi tatu muhimu. Ni matajiri wa dhahabu, Geita Gold watamenyana na matajiri kutoka mgodini huko Lindi, Namungo FC. Geita Gold wameweka wazi kwamba Uwanja wa Nyankumbu upo tayari kufanya kile ambacho wamekizoea wakiwa kwenye uwanja wao…