>

Saleh

YANGA HAWAJUI KAMA DIARRA ATABAKI HAPO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hauna uhakika na mchezaji huyo kubaki ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao kutokana na uwezo alionao kwenye mikono yake na akili ya mpira.   Raia huyo wa Mali anaitwa Diarra Djigui huku jina la utani wakimuita ‘Screen Protector’ kutokana na kazi yake anayofanya akiwa kwenye lango.   Ofisa…

Read More

MAKOCHA SIMBA WASHTUSHWA NA UJIO WA PABLO

UJIO wa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania ambaye amepewa dili la miaka miwili umewashtua makocha waliokuwa kwenye timu hiyo kwa kuwa walikuwa hawafahamu lolote kuhusu kuwasili kwake Bongo. Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa makocha hao ilieleza kuwa Seleman Matola ambaye ni kocha msaidizi pamoja na Hitimana Thiery ambaye alikuwa…

Read More

YANGA YAELEKEA ZANZIBAR, KUCHEZA LEO

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo wameanza safari kuelekeza Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mechi zijazo za Ligi Kuu Bara. Kikiwa na msafara wake chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Novemba 9 kinatarajiwa pia kuwa na kazi ya kufanya kwa kucheza mchezo wa kirafiki. Kwenye msafara huo wamekosekana nyota wao ambao…

Read More

MTIHANI WA KWANZA WA XAVI NI DABI

XAVI Hernandez kwa sasa ni kocha mpya wa kikosi cha Barcelona na mtihani wake wa kwanza unatarajiwa kuwa dhidi ya Espanyol kwenye Barcelona Dabi itakayochezwa Camp Nou. Dili lake ni mpaka mwaka 2024 Juni 30 ambapo ana kibarua cha kurejesha makali kwenye timu hiyo inayofuatiliwa na watu wengi duniani. Xavi ni mkongwe wa Klabu ya…

Read More

YANGA WASEPA NA TUZO KAMA ZOTE

SHIRIKISHO la Soka Tanzania limebainisha kuwa sababu kubwaya kutoa tuzo kwa wale wanaofanya vizuri ni kuongeza morali kwa wachezaji, makocha pamoja na mameneja ili wafanya kazi yao kwa uzuri zaidi. Kwa sasa tayari ligi imeanza ikiwa ni msimu wa 2021/22 na ni Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ametangazwa kuwa kocha bora wa mwezi Oktoba…

Read More

KOCHA WA SIMBA KUJA NA MASHINE MPYA

IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco anahitaji kuja na watu wake wa kazi kwa ajili ya kupata matokeo chanya kwenye mechi zake ambazo atacheza. Pablo ambaye amepewa dili la miaka miwili anatarajiwa kutua nchini muda wowote kuanzia sasa baada ya kutangazwa kuwa mrithi wa mikoba ya Didier Gomes ambaye alibwaga manyanga. Habari kutoka…

Read More

STARS KAZI NI KWENU KUWAPA RAHA MASHABIKI

MAANDALIZI yamezidi kupamba moto kwa wachezaji 27 ambao waliitwa na Kocha Mkuu, Kim Poulsen kwa ajili ya kuanza kujipanga kwa mechi za kimataifa ambazo ni ngumu na muhimu kupata ushindi. Kwa hilo kinachotakiwa kwa wale ambao wameitwa katika timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni kuwapa raha mashabiki ambayo ni ushindi hakuna namna nyingine….

Read More

UJUMBE WA MORRISON HUU HAPA

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison, amefunguka kuwa licha ya hali ngumu wanayokutana nayo mwanzoni mwa msimu huu, bado kikosi hicho kina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu. Simba kwa sasa ipo nafasi ya pili kwenye msimamo ikiwa na pointi 11 baada ya kucheza mechi tano za Ligi Kuu Bara. Mchezo wake wa tano iliibuka na ushindi wa…

Read More

HOWE KOCHA MPYA NEWCASTLE UNITED

KLABU ya Newcastle United imetaja jina la Eddie Howe kuwa mbadala wa Steve Bruce ambaye alifutwa kazi hapo hivyo kocha huyo wa zamani wa Bornemouth anatarajiwa kuanza kazi yake mpya na matajiri hao ndani ya Ligi Kuu England. Howe hakuwa kwenye kazi baada ya kuondoka  Bournemouth  2020 anarejea kwenye majukumu mapya akiwa na timu mpya…

Read More

SABABU YA KADI NYEKUNDU SIMBA IPO HIVI

Aliyekuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Hitimana Thierry, amevunja ukimya na kutaja kuwa kukamiwa na kuchezewa kwa nguvu nyingi na wapinzani wao ndiyo chanzo kikubwa cha wao kupata kadi nyekundu kwenye mechi wanazocheza nao. Hitamana ametoa kauli hiyo kufuatia kutokea kwa kadi nne nyekundu walizopewa wapinzani wao katika mechi nne kati ya tano walizocheza mpaka sasa kwenye ligi kuu.   Katika mchezo wa pili dhidi ya Dodoma Jiji, ilitoka kadi nyekundu ya kwanza…

Read More

INJINIA AFUNGUKIA ISHU YA MJADALA WA UDHAMINI

MKURUGENZI wa Uwekezaji wa GSM na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Eng. Hersi Said amesema mjadala ulioanzishwa na baadhi ya wachambuzi kuhusu udhamini wa kampuni ya GSM kwa vilabu mbalimbali ligi kuu ni siasa chafu kwa kuwa sio jambo geni katika ulimwengu wa soka.   Akizungumza na EA Radio, Injinia Hersi amesema…

Read More

KUMTOA BEKI HUYU AZAM FC, JIPANGE KWELIKWELI

MABOSI wa Simba na Yanga kwa sasa ikiwa watakuwa wanahitaji kupata saini ya beki wa kazi ndani ya kikosi cha Azam FC,Daniel Amoah lazima wajipange kwa kuwa amejifunga miaka mingine zaidi. Novemba 4, Amoah ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, George Lwandamina aliongeza dili la miaka miwili hivyo ataendelea kuwa ndani ya Azam…

Read More

HAJI MANARA:NYOTA WOTE NDANI YA YANGA NI VYUMA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa wachezaji wote ambao wamesajiliwa na kikosi hicho kwa msimu wa 2021/22 ni vyuma vya kazi jambo ambalo linawapa tabu benchi la ufundi kwenye suala la upangaji wa kikosi. Yanga ipo nafasi ya kwanza na pointi 15 huku safu yao ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao tisa na ile ya ulinzi imeokota…

Read More

SIMULIZI MUAMALA ULIOKOSEWA

SIMULIZI ya kijana aliyefanya makosa wakati wa kutuma shilingi, mkwanja kwa ndugu yake na namna muamala wake ulivyoweza kurejea. Sijawahi kuhisi jinsi nilihisi wakati mtu mmoja kwa jina Mpapale alipokea pesa yangu na kukataa kuirudisha. Nilikuwa na mgonjwa katika Hospitali moja kubwa Afrika Mashariki  na ilipangwa kutolewa Ijumaa. Nilikuwa nimepata mshahara wangu na nilidhani ni…

Read More