Saleh

MBINU YA SIMBA KUTWAA UBINGWA IPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utapambana kuhakikisha unapata pointi nyingi mzunguko wa kwanza ili kuweza kufikia malengo ya kutwaa ubingwa. Kwa sasa mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ambaye alikiongoza kikosi cha Yanga kutwaa ubingwa bila kufungwa. Kikosi cha Simba kinanolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki aliyechukua mikoba…

Read More

KOCHA NABI AKUBALI UWEZO WA NYOTA WAKE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa viwango vya wachezaji wake ambavyo wameonyesha kwenye mechi mbili amevutiwa navyo na anahitaji waweze kuongeza zaidi. Katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Yanga iliweza kushinda mabao 2-1 dhidi ya Simba na iliweza kushinda pia mabao 2-1 mbele ya Polisi Tanzania ilikuwa kwenye mchezo wa ligi. Mabao…

Read More

IHEFU KUIKABILI NAMUNGO LEO UWANJA WA UHURU

BAADA ya kupoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Ruvu Shooting msimu wa 2022/23 kwa kufungwa bao 1-0, Agosti 19,2022 Ihefu ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya Namungo FC, Uwanja wa Uhuru. saa 10:00 jioni. Ihefu inanolewa na Kocha Mkuu Zuber Katwila ambaye aliibuka hapo baada ya kubwaga manyanga ndani ya Mtibwa Sugar leo…

Read More

NAHODHA MANCHESTER UNITED MAGUIRE KUPIGWA BENCHI

INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Manchester United, Eric ten Hag anafikiria kumpiga benchi nahodha wa timu hiyo, Harry Maguire. Itakuwa ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Liverpool unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Old Trafford. Mchezo huo ambao utakuwa na ushindani mkubwa unatarajiwa kuchezwa Jumatatu ijayo. Nyota huyo ameanza kwenye mechi mbili ambazo timu…

Read More

KOCHA NABI AMTABIRIA MAKUBWA MAKI

NASREDDINE Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa Zoran Maki kocha wa Simba anapaswa apewe muda kuiunda timu ya ushindani kwa kuwa bado kila kitu kwake ni kipya. Maki alikabidhiwa mikoba ya Pablo Franco ambaye alichimbishwa Mei 31, 2021 baada ya kuvuliwa taji la Ngao ya Jamii kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika hatua…

Read More

NUNEZ AOMBA RADHI

DARWIN Nunez, mshambuliaji wa Liverpool ameomba radhi kwa kitendo chake cha kumpiga kichwa beki wa Crytal Palace, Joachim Andersea akisisitiza kuwa amejifunza kutokana na makosa. Tukio hilo lilitokea kwenye mchezo wa Liverpool dhidi ya Crystal Palace uliochezwa Uwanja wa Anfield, juzi Jumatano na kwa tukio hilo nyota huyo alitolewa kwa kadi nyekundu. Ni mchezo wa…

Read More

SIMBA YASHINDA 3-0 GEITA GOLD

ZORAN Maki,Kocha Mkuu wa Simba amesema ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Geita Gold walistahili kwa kuwa wachezaji walicheza kwa kujituma. Mabao ya Simba kwenye mchezo wa leo Agosti 17 yamefungwa na Agustino Okra,Moses Phiri na Clatous Chama ambaye amefunga kwa mkwaju wa penalti. Ushindi huo unaifanya iweze kufikisha pointi tatu na kuongoza ligi ikiwa…

Read More

SIMBA QUEENS YAPATA USHINDI KIMATAIFA

SIMBA Queens leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Corporate FC kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa kwa Wanawake uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo ni wakuwania kupata nafasi ya kufuzu mashindano hayo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa dk zote 90. Mabao ya Simba yamefungwa na Aquino Corazone dk ya 21 akitumia…

Read More

SOPU APEWA TUZO, KUIKOSA KAGERA SUGAR LEO

KIUNGO Abdul Suleiman ambaye ni ingizo jipya ndani ya Azam FC, alipewa zawadi ya kuku na shabiki wa Azam FC hivi karibuni, leo Agosti 17 atakosekana kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar kwa kuwa alipata maumivu kwenye mazoezi. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa mchezaji huyo alipata maumivu baada…

Read More

KELVIN NASHON:TUTATUMIA PLAN B KUIKABILI SIMBA

 KIUNGO wa Geita Gold, Kelvin Nashon amesema kuwa anatambua wapinzani wao Simba ni imara lakini wao wataingia na plan mbili ikifeli ya kwanza watatumia ya pili ili kupata matokeo. Leo Agosti 17,2022 Simba inatarajiwa kuwakaribisha Geita Gold kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Mkapa. Unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa timu zote…

Read More

MZUNGU WA SIMBA ABAINISHA ATAREJESHA FURAHA KWA MASHABIKI

MZUNGU wa Simba,Dejan Georgejick amesema kuwa anaumia kuona kwamba timu hiyo imepoteza kwa kufungwa mbele ya Yanga hivyo anaahidi kwamba atarejesha furaha kwa kuwa anatambua kila kitu kinawezekana. Mshambuliaji huyo amecheza mechi mbili ilikuwa moja ya kirafiki dhidi ya St George na moja ilikuwa ni ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga ambapo walipoteza kwa…

Read More

MSAKO WA POINTI TATU ZA YANGA MBELE YA POLISI TANZANIA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara jana waliweza kuendelea pale walipoishia kwa kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wao wa kwanza wa ligi. Wakiwa ugenini Uwanja wa Sheikh Amri Abeid waliweza kushuhudia bao moja la Polisi Tanzania likifungwa na Salum Kipemba ambaye alifunga bao hilo baada ya mpira wa nahodha…

Read More

KIUNGO SERGIO GOMEZ NI MALI YA CITY

SERGIO Gomez ambaye ni kiungo amesaini dili la miaka minne kuweza kuitumikia Klabu ya Manchester City. City ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu England wameinasa saini ya nyota huyo ili aweze kupata changamoto mpya ndani ya Ligi Kuu England. Nyota huyo mwenye miaka 21 amesajiliwa kwa dau la pauni milioni 11 akitokea Klabu ya Anderlecht…

Read More