MSHINDI WA BILIONI ZA JACPOT YA SPORTPESA AWEKA WAZI MIPANGO YAKE
KIJANA Florian Valerian Massawe mshindi wa JACKPOT ya SportPesa ya shilingi 1,255,316,060 (bilioni 1.25) leo Mei 25 ameweka wazi mipango yake. Katika mahojiano maalum na Global Radio kwenye kipindi cha Krosi Dongo, Massawe amesema mpango wake mkubwa kwa sasa ni kuweza kuwekeza kwenye masuala ya Garage kwa kuwa yeye ni fundi na hana mpango wa…