Saleh

KILA KITU KIWE KWA MIPANGO LALA SALAMA KWENYE LIGI

KWA sasa kila mtu anaona namna ligi ilivyo huku kila mmoja akipambana kutimiza malengo yake binafsi pamoja na ya timu ambayo haya ni muhimu kuweza kupatikana kisha mchezaji itakuwa ni baadaye katika kufanya majukumu yake. Pongezi kubwa kwa makocha kwa msimu huu wameweza kwenda na ile kasi ambayo walianza nayo tangu mwanzo wa msimu mpaka…

Read More

8 BORA LIGI YA SOKA LA UFUKWENI KUANZA

LIGI Kuu ya Soka la Ufukweni inatarajiwa kuanza rasmi baada ya uchaguzi wa timu zilizoingia 8 bora kumalizika na mashindano hayo yataaza kufanyika Juni 10 katika Viwanja vya Coco Beach. Katika hizo timu zilizochaguliwa 8 bora zimepangwa katika makundi mawili kila kundi lina timu nne na kwa siku zitachezwa mechi nne ili fainali iweze kufanyika…

Read More

PRISONS YATUMA UJUMBE HUU KWA GEITA

 KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Geita Gold ambao utapigwa kesho, Mei 26, Uwanja wa Sokoine,Mbeya, Kocha Mkuu wa Prisons, Patrick Odhiambo amesema wamejipanga vizuri kupata alama tatu. Prisons imekuwa kwenye mwendo wa kusuasua ndani ya ligi kwenye msimamo ipo nafasi ya 15 ikiwa na pointi 24 kibindoni. Mchezo…

Read More

MBAPPE AFUNGUKA SAINI YAKE KUWINDWA NA LIVER

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya PSG, Kylian Mbappe raia wa Ufaransa amesema kuwa Liverpool walihitaji saini yake ili kuweza kumpata. Mbappe ambaye tayari ameshazima tetesi zote kwa kusaini dili jipya ndani ya PSG amesema kuwa aliwahi kuzungumza na Liverpool kwa ajili ya kuweza kucheza hapo. “Tulizungumza kidogo,(Liverpool) lakini siyo sana, tulizungumza kidogo. Mbappe amefunguka kuwa Liverpool…

Read More

SERENGETI GIRLS WAREJEA SALAMA TANZANIA

LEO Mei 24 Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wasichana U 17 Serengeti Girls baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Amaan Abeid Karume, Zanzibar wakitokea Cameroon walikokwenda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Cameroon. U 17 waliweza kupeperusha vema Bendara ya Tanzania ambapo walipata ushindi wa mabao 4-1 katika mchezo huo…

Read More

YANGA KUWEKA KAMBI SHINYANGA KWA AJILI YA SIMBA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wenye pointi 64 wanatarajiwa kuweka kambi mkoani Shinyanga kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba. Huu ni mchezo wa hatua ya nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo mabingwa watetezi ni Simba walitwaa taji hilo walipocheza fainali na Yanga, Uwanja wa Lake…

Read More

KOCHA SIMBA HAELEWI KABISA MAMBO YANAVYOKWENDA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa haelewi namna mambo yanavyokwenda kwenye timu hiyo hasa katika safu ya ushambuiaji. Simba imekuwa kwenye mwendo wa kusuasa msimu huu wa 2021/22 ipo kwenye nafasi ya kupoteza ubingwa wao wa ligi ambao wanautetea kwa kuwa wameachwa zaidi ya pointi 10 na wapinzani wao Yanga. Ikiwa ipo nafasi ya…

Read More

YANGA YAIFANYIA SIMBA UMAFIA WA KAMBI

UMAFIA! Ndivyo utakavyoweza kusema, ni baada ya uongozi wa Yanga kubadili kambi mkoani Mwanza ambako watani wao, Simba watapiga hapo kujiandaa na Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama Kombe la FA. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Jumamosi hii katika mchezo huo ambao unatarajiwa kupigwa saa kumi kamili jioni kwenye…

Read More

MKALI WA MABAO MLANGONI SIMBA SC *AMEWAHI KUWEKA REKODI YA UFUNGAJI MABAO UGANDA

IMEFAHAMIKA kuwa Simba ipo katika mipango ya kumsajili mshambuliaji wa Vipers SC ya Uganda, Yunus Sentamu, ambaye raia wa Uganda. Simba imepanga kukifanyia uboreshaji kikosi chake katika baadhi ya nafasi kati ya hizo ni safu ya ushambuliaji ambayo imeonekana kutokuwa na ubora mzuri. Wakimpata straika huyu inaelezwa kuwa tatizo hilo litakuwa limekwisha rasmi. Sentamu msimu…

Read More

PRINCE DUBE KUIKOSA RUVU SHOOTING

 MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Prince Dube anatarajiwa kuukosa mchezo wa leo kati ya Ruvu Shooting v Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mabatini,Pwani. Dube ambaye msimu uliopita wa 2020/21 alikuwa kwenye ubora mkubwa aliweza kutupia mabao 14 msimu huu ameweza kutupia bao moja na pasi moja ya bao. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Azam…

Read More

AZAM FC WANASUBIRI TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa hauna tatizo ikiwa watapewa taarifa kwamba mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting utapangiwa tarehe nyingine kutokana na taarifa kueeleza kuwa Ruvu Shooting wameomba iwe hivyo. Ruvu Shooting kupitia kwa Ofisa Habari wao, Masau Bwire ameweka wazi kuwa wameiandikia Bodi ya Ligi Kuu Tanzania,(TPLB) barua ya kuomba kupewa muda…

Read More

KOCHA ARSENAL ANA MAUMIVU KWELI

MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa bado wana maumivu ndani yake kwa kuwa walifanya makosa mbele ya Newcastel United ndiyo maana licha ya ushindi mbele ya Everton haukuweza kuwasaidia. Arsenal imemaliza nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu England kama wangeweza kuchanga karata yao vema wangemaliza nafasi ya nne na kupata fursa…

Read More