BREAKING:BIASHARA UNITED YAVUNJA BENCHI LA UFUNDI
RASMI uongozi wa Biashara United umevunj benchi la ufundi kutokana na mwendo mbaya wa timu hiyo. Ni Vivier Bahati, aliyekuwa Kocha Mkuu wa iashara United pamoja na msaidizi wake. Ofisa Habari wa Biashara United Salma Thabit amesema kuwa wanatambua mchango ambao wameweza kuongoza kwenye mechi zao. “Tunajua kwamba benchi la ufundi limekuwa na mchango mkubwa…