Saleh

KOCHA WA AL AHLY ACHAGUA KUPUMZIKA

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Ahly ya Misri, Pitso Mosimane raia wa Afrika Kusini amesema baada ya kutumika akiwa kocha kwa miaka 21, sasa ameamua kupumzika ili kufanya mambo mengine nje ya ukocha. Pitso amesema hayo leo , Agosti 5, 2022 wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam baada ya kukaribishwa na Klabu ya…

Read More

YANGA INAHTAJI MATAJI MATATU,KUANZA NA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kukusanya mataji yote matatu iliyotwaa kwa msimu wa 2021/22. Ni Ngao ya Jamii,Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho ambayo waliyatwaa msimu uliopita yote yalikuwa mikononi mwa Simba hivyo wanakazi ya kuweza kuyatetea kwa mara nyingine tena. Ofisa Habari wa Yanga,Hassan Bumbuli amesema kuwa wanatambua kwamba…

Read More

PABLO FRANCO AIBUKA KWA MTINDO HUU SIMBA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa ripoti ya usajili amayo inatumika kwa sasa ni ileiliyoachwa na aliyekuwa kocha wa timu hiyo Pablo Franco raia wa Hispania. Pablo alikuwa ndani ya Simba msimu wa 2021/22 alipobeba mikoba ya Didier Gomes alichimbishwa hapo baada ya kushindwa kutimiza makubaliano yalikuwa kwenye mkataba na mchezo wake wa mwisho ilikuwa ni Mei 28. Katika…

Read More

MTUNISIA FRESH YANGA,KAZI INAANZA KESHO

MTUNISIA Nasreddine Mohammed Nabi ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo ya ‘Wananchi’ hadi mwaka 2024. Licha ya Nabi kuhitaji ongezo zaidi la mshahara ambao wameafikiana, kingine ni mipango yake ndani ya mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania.  Nabi anaamini anaweza kupata mafanikio aliyokosa alikopita, kama Yanga wanavyoamini pia juu yake hasa kufuatia kuimarishwa…

Read More

SHIGONGO ANOGESHA WIKI YA SIMBA DAY BUCHOSA

WANACHAMA na mashabiki wa Simba SC, Buchosa nao ni miongoni mwa wale ambao wanaendelea na shughuli za kijamii kabla ya maadhimisho ya Simba Day,Agosti 8,Uwanja wa Mkapa Wanachama hao ambao ni kutoka tawi la Simba Buchosa limeadhimisha sherehe hiyo kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii zilizohudhuriwa na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shigongo. Akizungumzia…

Read More

GEITA GOLD WASHUSHA MASHINE MPYA NNE

 KLABU ya Geita Gold imetangaza kumsajili mlinzi Shawn Oduro raia wa Ghana kwa mkataba wa miaka miwili na kufanya iwe imeshusha mashine mpya za kazi nne. Hizo ni jitihada za kukifanyia marekebisho kikosi hicho kwa ajili ya mikikimikiki ya ligi na mashindano ya CAF. Geita Gold inayonolewa na Kocha Mkuu,Felix Minziro itashiriki mashindano ya kimataifa…

Read More

MWAIKIMBA ASIMULIA ALIVYOLAMBA M 58 ZA M-BET TANZANIA

MKAZI wa mkoa wa Mbeya, Ojilloh Gadson Mwaikimba ameshinda kiasi cha Sh 58, 650,180 baada ya kubashiri kwa usahihi matokea ya mechi 12 ya ligi mbalimbali duniani kupitia droo ya kampuni ya M-BET –Tanzania. Mwaikimba ambaye ni shabiki wa timu ya Manchester City amesema kuwa haikuwa rahisi kushinda fedha hizo kutokana na ugumu wa kubashiri…

Read More

OKTOBA 23 NI SIMBA V YANGA KWA MKAPA

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) Almasi Kasongo Agosti 3, 2022 ametangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa 2022/2023 ambapo Klabu ya Yanga itafungua pazia lake la ligi hiyo kwa kuwa mgeni wa Polisi Tanzania. Kwa upande wa Klabu ya Simba wao wataanza na Geita Gold FC…

Read More

BM VITUKO KAMA VYOTE,SIKU YA TATU KAZINI

 KIUNGO wa Yanga,Bernard Morrison raia wa Ghana leo Agosti 4 inakuwa ni siku yake ya tatu ya mazoezi. Kwa sasa yupo kambini Avic Kigamboni chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi huku kocha wa viungo akiwa ni Helmy Gueldich ambaye. Kocha wa viungo amesema kuwa kabla ya kujiunga na timu kambini alikuwa amepewa mazoezi ya kufanya…

Read More

KIUNGO MNIGERIA KUNOGESHA SIMBA DAY

 KIUNGO Mnigeria,Nelson Okwa aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Rivers United uhakika ni mali ya Simba hivyo atakuwa ni miongoni mwa wale ambao watanogesha Simba Day. Nyota huyo alikuwa kwenye mazungumzo ya mwisho na mabosi wa Simba ambao walikuwa wakihitaji kuweza kuinasa saini yake. Kiungo huyo ni raia wa Nigeria anakuwa mchezaji wa kwanza ndani…

Read More

MVP BANGALA AKUNJA MAMILIONI YAKE

MVP Yannick Bangala, baada ya kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo, inaelezwa kwamba thamani ya mkataba huo ni shilingi milioni 400. Bangala mkononi ana Tuzo ya Kiungo Bora wa Ligi Kuu Bara 2021/22, kiraka huyo yupo hapo mpaka 2024 baada ya ule wa awali kutarajiwa kuisha. Nyota huyo mwenye uwezo wa kucheza beki wa kati…

Read More

MERIDIANBET WALIFURUKUTA KUCHUANA NA WAHAMASISHAJI DIMBANI!

Meridianbet walipimana nguvu na kikosi cha timu ya wahamasishaji kilichoongozwa na Jemedari Said Kazumari, na Foby wikiendi iliyopita. Kabla ya mechi hii ya kirafiki, pande hizi mbili zilitambiana kuondoka na ushindi na maandalizi yalifanyika vyema kuhakikisha kila timu inajiweka kwenye nafasi ya ushindi. Mechi hii iliyobeba dhumuni kubwa la kuwaleta pamoja wahamasishaji na wafanyakazi wa…

Read More