NUNEZ AOMBA RADHI
DARWIN Nunez, mshambuliaji wa Liverpool ameomba radhi kwa kitendo chake cha kumpiga kichwa beki wa Crytal Palace, Joachim Andersea akisisitiza kuwa amejifunza kutokana na makosa. Tukio hilo lilitokea kwenye mchezo wa Liverpool dhidi ya Crystal Palace uliochezwa Uwanja wa Anfield, juzi Jumatano na kwa tukio hilo nyota huyo alitolewa kwa kadi nyekundu. Ni mchezo wa…