Saleh

Sloti Ya Wild 27 Kasino Ya Mtandaoni

CHEZA HAPA Alama za Ushindi sloti ya Wild 27   Tunapozungumzia alama za mchezo huu wa sloti, thamani ya chini zaidi inatolewa na miti minne ya matunda. Ambayo ni: Limau Chungwa Cheri Zabibu   Ikiwa utaziunganisha alama hizi tatu kwenye mchanganyiko wa ushindi, utashinda mara mbili ya dau lako.   Alama za nyota kijani na zambarau ndizo alama zinazofuata…

Read More

MAYELE, DIARRA, WAWAFANYE WAZAWA KUTAFAKARI UPYA

SHIRIKISHO la Soka Afrika (Caf), limetangaza timu na wachezaji kadha wa kadha wanaowania tuzo za Afrika. Hizo ni tuzo za ubora barani Afrika, Tanzania imeingia kupitia Yanga kama klabu kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania. Kabla kama Tanzania tulikuwa tuna rekodi ya kuwa na klabu iliyoivua ubingwa klabu bora ya Afrika pia bingwa…

Read More

UWANJA WA MKAPA: SIMBA 1-5 YANGA

Kipindi cha pili Yanga walionyesha wanahitaji ushindi na kufunga mabao kupitia kwa Maxi Nzengeli ambaye alifunga mawili dakika ya 64, 77, Aziz KI dakika ya 73, Pacome bao la tano dakika ya 87 kwa mkwaju wa penalti. Kariakoo Dabi Uwanja wa Mkapa upinzani ni mkubwa kwa timu zote mbili kusaka ushindi kwenye mchezo huo. Dakika…

Read More

JESHI LA SIMBA DHIDI YA YANGA HILI HAPA

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba ameanza na jeshi hili dhidi ya watani zao wa jadi Yanga. Novemba 5 2023 itakuwa ni rekodi kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu baada ya dakika 90 kukamilika. Hiki hapa kikosi cha Simba kipo namna hii:- Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein, Henock Inonga, Che Malone, Fabrice Ngoma,…

Read More

JESHI LA YANGA DHIDI YA SIMBA LIPO HIVI

KARIAKOO Dabi presha yake ipo juu kwa sasa huku kila timu ikiwa na hesabu za kukomba pointi tatu. Miguel Gamond, Kocha Mkuu wa Yanga jeshi lake ambalo amelipa kuanza dhidi ya watani zao wa jadi Simba lipo namna hii:- Djigui Diarra Yao Attouhula Joyce Lomalisa Bacca Khalid Aucho Maxi Nzengeli Mudhathir Yahya Kennedy Musonda Aziz…

Read More

JUMAPILI HII MIKWANJA UPO KAMA KAWA KWA MECHI ZA ULAYA

Najua unajua lakini nakujuza tena  sehemu pekee ambayo unaweza kuchukua maokoto yako kirahisi ni Meridianbet ambapo wameweka ODDS KUBWA katika michezo ambayo itapigwa jumapili ili kukuwezesha kupiga mkwanja wa kutosha. Unachotakiwa kufanya ni kutembelea tovuti ya Meridianbet na kuchagua timu zako Jumapili ya leo na kuweka dau lako ambalo linaanzia shilingi 100 na zaidi ili uweze kujipigia…

Read More

NYOTA HAWA WAMEWAKA KWA MKAPA

MASTAA sita kutoka Simba na Yanga nyota zao zimeonekana kuwaka kutokana na kuwa na zali katika kuhusika kwenye ushindi wa timu zao ndani ya dakika 90. Mechi mbili tofauti za watani wa jadi walizotumia Uwanja wa Mkapa walikomba pointi tatu wote kwa nyakati zao. Ni Yanga 2-0 Singida Fountain Gate ngoma ilipigwa Oktoba 27,  Simba…

Read More

SIMBA KUIMULIA YANGA VINGINE

WAKIJIANDAA na mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Simba, Robert Oliveira ‘Robertinho’ amechimba mkwara mzito kuwa wametumia uzito wa michezo yao miwili ya AFL, dhidi ya Al Ahly kujiandaa na uzito wa mchezo wa kesho. Simba wanaingia katika mchezo huu wakiwa wamecheza mchezo mmoja tu wa Ligi Kuu Bara…

Read More

WILD ICY FRUITS SLOTI RAHISI KUSHINDA

Sloti ya Wild Icy Fruits Kitu kinachonifanya niichague Meridianbet ni odds kubwa, machaguo mengi,bonasi kibao, ofa, promosheni na kubwa Zaidi michezo ya kasino ya mtandaoni na sloti rahisi kushinda, kama vile Sloti ya Wild Icy Fruits yenye mistari 40 ya malipo yaani kiufupi ina njia nyingi sana zinazorahisisha mchezaji kushinda. Matikiti na machungwa yanaongeza utamu…

Read More

ROBERTINHO AIMALIZA YANGA KIKUBWA

WAKIJIANDAA na mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Simba, Robert Olivieira ‘Robertinho’ amechimba mkwara mzito kuwa wametumia uzito wa michezo yao miwili ya AFL, dhidi ya Al Ahly kujiandaa na uzito wa mchezo wa Jumapili huku akitenga siku tano sawa na saa 120 kujiandaa na mchezo huo. Kikosi cha…

Read More

YAO BABA LAO KUELEKEA KARIAKOO DABI

MWAMBA Yao Attohoula ni baba lao kuelekea Kariakoo Dabi kwa upande wa kutengeneza pasi za mabao kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Ni Novemba 5 watani hao wa jadi wanatarajiwa kumenyana kwenye msako wa pointi tatu, Uwanja wa Mkapa. Katika nyota wenye pasi nyingi za mabao kwa watani hawa wa jadi, Yao ambaye ni beki…

Read More

ANZA VIZURI NOVEMBA YAKO NA MAOKOTO, WIKENDI YA USHINDI

Ndugu mteja mwezi Novemba tayari umeanza na leo hii mechi mbalimbali zitachezwa huku Meridianbet wakiwa tayari wamekuwekea machaguo uyapendao. Unajua kuwa kuwa Milionea ni kitu rahisi kama ukituliza akili yako kwa kusuka jamvi na Meridianbet?. Timiza ndoto zako hapa wakati ndio huu. LALIGA kuna mechi moja ya pesa leo ambayo ni kati ya Las Palmas…

Read More

MATAJIRI 8 WAITANA YANGA FASTA

YANGA wanaonekana kuutaka mchezo wa Kariakoo Dabi, ni baada ya Kamati ya Mashindano ya timu hiyo, yenye watu nane imepanga kukutana leo Jumatano kwa ajili ya kuweka mikakati ya ushindi kuelekea mchezo huo. Dabi hiyo inatarajiwa kuzikutanisha timu hizo kongwe za Simba dhidi ya Yanga ambayo itapigwa Jumapili hii saa 11 jioni kwenye Uwanja wa…

Read More