UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba nyota wao wawili, Dickson Ambundo na Said Ntibanzokiza wameondolewa kambini na Kocha Mkuu, Nasreddine NabI.
Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa Nabi ameamua kuwasisimamisha wachezaji hao na wakirudi Dar watafanya mazungumzo ili kujua nini ilikuwa tatizo
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura