MANCHESTER City wameweza kutetea taji lao la Ligi Kuu England baada ya kuweza kupindua meza mbele ya Aston Villa.
Katika dakika 45 za mwanzo Aston Villa walikuwa wanaongoza kwa mabao 2-0 lakini kipindi cha pili waliweza kushuhudia wakifungwa mabao 3-2 na kuifanya City kufikisha pointi 93 ndani ya Ligi Kuu England.
Liverpool wao wameshinda mabao 3-1 ugenini dhidi ya Wolves na wanaishia nafasi ya pili wakiwa na pointi 92 wote wakiwa wamecheza mechi 38.
Team Canada forward Jonathan David (#7) watches as his shot is saved by the Iceland goalkeeper during an international friendly match between Canada and Iceland at BMO Field in Toronto, Ontario, Canada, on March 28, 2026. (Photo by Indrawan Kumala/NurPhoto) (Photo by Indrawan Kumala / NurPhoto via AFP)