JESHI LA YANGA LITAKALOANZA DHIDI YA MBEYA KWANZA

SAA 1:00 leo Mei 20,2022 Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili.

Ni kikosi kamili Yanga wameanzisha mbele ya Mbeya Kwanza ikiwa namna hii:-

Diarra Djigui

Kibwana Shomari

Farid Mussa

Yannick Bangala

Dickson Job

Khalid Aucho

Sure Boy

Jesus Moloko

Ambundo

Ntibanzokiza

Mayele Fiston