VIDEO:UJUMBE WA BARBARA HUU HAPA

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba amebainisha kwamba ni kawaida kwa Simba kuweza kuadhimisha kipekee Siku ya Wanawake Duniani ambapo Machi 8,2022 waliweza kutembelea Gereza la Wanawake pia waliwezza kutoa msaada ambapo aliweza kutoa ujumbe kwa mashabiki wa Simba pamoja na Watanzania kiujumla.