Mali Yafuzu Robo Fainali ya AFCON 2025 Baada ya Kuifunga Tunisia kwa Penalti

Djigui Diarra na wenzake wa Mali wametinga robo fainali ya Kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 kufuatia ushindi wa penalti 3-2 dhidi ya Tunisia katika dimba la Mohammed V, Casablanca kwenye hatua ya 16 bora.

FT: Mali πŸ‡²πŸ‡± 1-1 πŸ‡ΉπŸ‡³ Tunisia
⚽ 90+6’ Sinayoko
⚽ 88’ Chaouat

MATUTA:
πŸ‡²πŸ‡± Mali: βŒβœ…βŒβœ…βœ…
πŸ‡ΉπŸ‡³ Tunisia: βœ…βŒβœ…βŒβŒ

ROBO FAINALI
Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³ vs πŸ‡²πŸ‡± Mali