>

SIMBA JESHI LAKE DHIDI YA COASTAL UNION

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex Mwenge.

Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mechi 10 ambazo wamekutana hivi karibuni ushindi kwa Simba ni mechi 8 na walitoshana nguvu kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180.

Kkosi cha Simba ambacho kitaanza kipo namna hii:-Mussa Camara

Mohamed Hussen

Shomari Kapombe

Abdalazack Hamza

Che Malone

Okejapha

Mutale

Fernandez

Ateba

Ahoua

Kibu Mkandaji

Kwa wachezaji waliopo akiba ni :-Ally, Kijili, Chamou, Ngoma, Awesu, Mukwala, Balua,Shadrack, Benjamin

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo.